Habari TUSUA MAPENE NA VODACOM,YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WAKE Last updated May 17, 2020 0 Share Mshindi wa wiki wa shindano la TUSUA MAPENE NA VODACOM, Neema Laiser ( katikati) mfanyabiashara, mkazi wa mtaa wa Uswahilini Jijini Arusha, akikabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 toka kwa Meneja mkakati wa Masoko Vodacom kanda ya Kaskazini, Abednego Mhagama (kulia) na Meneja Mauzo mwandamizi wa Vodacom kanda hiyo, Nathanael Pedigando Habari 0 Share