The House of Favourite Newspapers

Ufaransa Yakata Tiketi ya Kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia

0

Doha, Qatar — Iliwachukua Ufaransa dakika 17 tu kupata bao lao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji Aurelien Tchouameni

Na Uingereza waliendelea kupambana na katika dakika ya ..ya kipindi chab pili walifanikiwa kupata penati na Harry Kane alisawazisha katika dakika ya 54.

Ufaransa waliendelea na mashabulizi na kujipatia bao la pili katika dakika ya 78 mpira wa kichwa uliopigwa na Olivier Giroud ulikwenda moja kwa moja na kutinga wavuni kutokana na makosa yaliofanywa na Harry Maguire.

Uingereza itabidi wajilaumu wenyewe kwani walikosa penalti ambayo wangeweza kusawazisha baada ya Harry Kane kupiga juu mpira huo na kutoa mpira nje.

Kwa maana hiyo sasa ufaransa itakwaana na wawakilishi pekee wa Afrika Morocco katika nusu fainali ya pili Jumatano Desemba 14.

Leave A Reply