Uteuzi: Maharage Chande Aondolewa Tanesco, Apelekwa TTCL
Rais Samia amefanya Mabadiliko ya Wakuu wa Taasisi na kumteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)
Anachukua nafasi ya Maharage Chande aliyehamishiwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)