Video: JPM Awaombea Msamaha Mafisadi – “DPP Waliokiri Wasamehe”
“Wapo watu wamekaa mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi, inawezekana wapo tayari kuomba msamaha,nakurejesha pesa, DPP katika kipindi cha siku 7 ningeshauri kama sheria inaruhusu wakatoke humo ndani,haya nimapendekezo sijaingilia Mahakama”-JPM
“Wapo waliotakatisha pesa atubu kwamba sitotakatisha tena alipe hela aachiwe, anapowekwa mahabusu miaka 3 inaumiza, nisingependa kuongoza na kuna wanaotoa machozi, ningekuwa na uwezo kusingekuwa na mfungwa hata mmoja Mahabusu ili askari Magereza wafanye kazi nyingine” – JPM
Comments are closed.