Video: Mondi, Ummy, Kigwangalla, Wasira, Dewji Kwenye Mjadala Mzito
MAWAZIRI Ummy Mwalimu, Liberata Mulamula, Mbunge Hamis Kigwangala, mfanyabiashara Azim Dewji na mwanamuziki Diamond Platinumz, leo Desemba 07, wameshiriki kwenye mjadala wa miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.