Video: Morrison Aomba Radhi Kwa Mashabiki Kisa Yanga
NYOTA wa Simba, Bernard Morrison amesema kuwa anaomba msamaha kwa mashabiki wa Simba kutokana na kushindwa kupata matokeo mbele ya Yanga, Julai 3 baada ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-1 Yanga.