VIDEO MPYA: THE MAFIKI – BOBO
The Mafik ni kundi linaloundwa na vijana watatu ambao ni Rhino, Hamadai na Mbalamwezi. kwa mara ya kwanza walipata nafasi ya kusikika 2/3/2018 kwenye utambulisho wa kundi na ilipofika 2/3/2018 The mafik
waliachia video yao ya Passenger kwa mara ya kwanza ktk mtandao wa Youtube ambayo ilipata mapokeo mazuri leo kupitia +255 global radio wametambulisha video ya wimbo wao mpya ‘Bobo’ iliyoongozwa na Kwetu Studio. Audio imetayarishwa na Producer John Blaze.
Itazame video ya wimbo hapa chini.
Comments are closed.