Katika kuelekea maandalizi ya siku ya kimataifa ya mazingira duniani, Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation, Rosalynn Mworia amemtembelea, Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. Selemani Jafo ofisini kwake ikiwa ni maandalizi kuelekea siku ya kimataifa ya mazingira duniani.