Vodacom Yaungana na Wananchi wa Uganda Wanaoishi Tanzania Kusherehekea Siku ya Uhuru
Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania, imeungana na wananchi wa Uganda wanaoishi nchini kusherehekea Siku ya Uhuru wa Uganda, tukio lililofanyika katika Ubalozi wa Uganda jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.