Vodacom Yazindua Lipa kwa Simu Dodoma
KAMPUNI ya simu za mkononi nchini Vodacom, imezindua huduma ya Lipa kwa Simu yako katika Ofisi za Shabiby jijini Dodoma.
Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto pamoja na mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya Shabiby, Mohammed Shabiby.
Stori: Neema Adrian/GPL
Comments are closed.