The House of Favourite Newspapers

Wachawi Walinikimbiza Hadi Nikapoteza Fahamu na Kulazwa Hospitali

0

Jina langu ni Halima kutoka Tanga, Tanzania, wakati nikiwa kidato cha pili siku moja alfajiri ya saa 11 na nusu nikiwa naenda shule, nilikutana na watu ambao walikuwa wamevalia nguo nyeusi kwenye nyumba moja wanafanya mambo ya kishirikina.

Baada ya kuwaona watu wale nilishtuka sana na nilipiga kelele ambazo ziliwashtua wale watu wakaanza kunikimbiza, nilikimbia huku napiga kelele sababu nilikuwa kama mita 50 kutoka nyumbani niliongeza mbio mpaka nilipofika karibu na nyumbani nilizimia.

Nilikuja kuzinduka nipo hospitali na nilipouliza niliambiwa kuwa nina siku mbili pale hospitali, ndugu zangu walijaribu kuniuliza nini kilitokea, ukweli sikuwa nakumbuka chochote zaidi ya kuwaambia niliona watu na wakaanza kunifukuza.

Nilirudi shule baada ya kuwa sawa lakini hali ile ilikuwa inanirudia rudia na ndio ikawa sababu ya mimi kufeli kidato cha pili na niliichukia shule nikawa sipendi kabisa kusoma.

Siku moja shangazai yangu alikuja nyumbani akanichukua na kunipeleka kwa Kiwanga Doctors, mtaalamu wa tiba asilia ambaye yupo nchi jirani ya Kenya, huko nilifanyiwa matambiko na ndipo hali hiyo iliondoka maishani mwangu.

Niliweza kuendelea na masomo hadi kuja kufika chuo kikuu, kila nikikaa na kuwaza tukio lile naweza kusema ulikuwa mpango wa watu wabaya ambao hawakutaka kuona mimi ninasoma na kufika mbali kimasomo.

Kwa sasa nina degree na nimeajiriwa serikalini, bila Kiwanga Doctors sijui maisha yangu yangekuwaje.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 

Leave A Reply