Michezo Wafanyakazi Wa Zantel Wafanya Mazoezi Uwanja Wa Malindi Zanzibar Last updated Dec 21, 2017 Share Wafanyakazi Wa Zantel Wafanya Mazoezi Uwanja Wa Malindi Zanzibar Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya kushiriki shindano la mpira wa miguu katika uwanja wa Malindi hivi karibuni mjini Zanzibar, baada ya wafanyakazi hao kukutana mjini humo katika hafla ya kupanga mikakati ya Kampuni hiyo kwa mwaka 2018. Zantel Share
Comments are closed.