WASANII WALIVYOMUAGA MASOGANGE VIWANJA VYA LEADERS
Wasanii mbalimbali nchini wakiwemo Jacqueline Wolper, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Anti Ezekiel, leo wameungana kuuaga mwili wa Masogange kwenye viwanja vya Leaders jijini.
Marehemu Masogange amesafirishwa leo kuelekea Mbeya ambako anatazamiwa kuzikwa kesho (Jumatatu).
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.