Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Philemon Namwenga (wa tatu kulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mnara mpya wenye uwezo wa 3G katika kijiji cha Idete, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja wa Tigo kanda ya Kusini, Abbas Abdulrahman, na wa kwanza kulia ni diwani wa viti maalum kata ya Idete, Elina Kivegele, akifuatiwa na Meneja Mauzo wa Tigo Iringa, Samwel Chanai.
…Wakibadilishana mawazo baada ya uzinduzi.
…Wakisalimiana na baadhi ya wananchi wa Idete waliofika katika uzinduzi huo.
Comments are closed.