The House of Favourite Newspapers

WATEJA WA VODACOM NA TECNO WALETEWA PHANTOM 8 MSIMU WA SIKUKUU

0
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(kushoto)na Mkuu wa maduka ya rejareja wa kampuni hiyo,Brigita Stephan(kulia)wakimsikiliza Afisa Mawasiliano wa Tecno,Eric Mkomoye akiongea na waandishi wa habari na kuwaonesha simu aina ya Tecno Phantom 8,Wakati wa uzinduzi wa simu hiyo kwa kushirikiana na Vodacom ambapo simu hiyo inaambatana na ofa ya kifurushi cha 5GB,SMS 300 pamoja na dakika 300 kwenda mitandao yote na inapatikana katika maduka yote ya kampuni hizo kwa bei nafuu.
Mkuu wa matukio wa Tecno,Anuj Khosua(kushoto) Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(wapili kushoto)na Mkuu wa maduka ya rejareja wa Vodacom,Brigita Stephan pamoja na Afisa Mawasiliano wa Tecno,Eric Mkomoye wakionesha simu aina ya Tecno Phantom 8,Wakati wa uzinduzi wa simu hizo kwa kushirikiana na Vodacom ambapo simu hizo zinaambatana na ofa ya kifurushi cha 5GB,SMS 300 pamoja na dakika 300 kwenda mitandao yote na inapatikana katika maduka yote ya kampuni hizo kwa bei nafuu.
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(kushoto) na Afisa Mawasiliano wa Tecno,Eric Mkomoye,wakimpongeza mwaandishi wa habari baada ya kubahatika kushinda simu aina ya Tecno Phantom 8,Wakati wa uzinduzi wa simu hizo kwa kushirikiana na Vodacom ambapo simu hizo zinaambatana na ofa ya kifurushi cha 5GB,SMS 300 pamoja na dakika 300 kwenda mitandao yote na inapatikana katika maduka yote ya kampuni hizo kwa bei nafuu.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na Tecno wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa simu aina ya Tecno Phantom 8 ambapo simu hizo zinaambatana na ofa ya kifurushi cha 5GB,SMS 300 pamoja na dakika 300 kwenda mitandao yote na inapatikana katika maduka yote ya kampuni hizo kwa bei nafuu.
Leave A Reply