Waziri Kabudi: “Mnaikejeli Mahakama? Nitaleta Marks Zenu Hapa” – Video
Share
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amesimama Bungeni leo katika mkutano wa 12 na kutoa ufafanuzi kuhusiana na matumizi ya bajeti yake inayopitishwa Bungeni hapo huku akiwataka wabunge kutoudharau wala kuukejeli mhimili wa Bunge.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.