Winga wa Yanga Mwenye Spidi Dickson Ambundo Kasepa na Dakika 256
WINGA mmoja hivi mwenye spidi awapo uwanjani na ni mzawa ambaye aliweza kuwa shujaa mbele ya Polisi Tanzania alipoweza kufunga kwa mara ya kwanza.
Jina lake ni Dickson Ambundo ambaye ni mali ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, tupo naye leo kwenye mwendo wa data.
Ni mechi 7 kacheza ndani ya ligi na katika hizo hakuna mechi hata moja ambayo aliyeyusha dk 90 mazima. Huyu hapa:-
Mechi 7
Dk 256
Bao 1
Kushoto 1
Eneo ndani ya 18
Asisti 0
Kadi nyekundu 0
Njano 0
Mechi zake
Coastal Union dk 10
Polisi Tanzania dk 41
Mbeya City dk 25
Mtibwa Sugar dk 7
Kagera Sugar dk 86
Geita Gold 28
Azam FC dk 59