Yaliyomo kwenye Gazeti la Ijumaa, leo
Ziara zake za kushtukiza… Magufuli azua kizaazaa Moro
-Kimenuka, Maafisa wa Mahakama wahenyeshwa
-Kweli hapa kazi tu!
-Unataka kufahamu tukio zima lilikuwaje?
Ray C arekodiwa Video ya X
-Mwenyewe akiri
-Afunguka ya moyoni kuhusu tukio hilo
-Unataka kujua ilikuwaje, video hiyo nani kamrekodi na imesambaaje?
Mke amfanyia mwanaye umafia
-Amfungia ndani kwa saa tano usiku
-Atokomea
-Majirani wamuokoa mtoto
-Unataka kufahamu ni wapi na ilikuwaje?
Hii sasa ni fedheha…
-Msanii Bongo avua nguo studio
-Apiga picha za nusu utupu
-Unataka kumjua ni msanii gani?
Kufahamu undani wa yote haya na mengine mengi, soma Gazeti la IJUMAA, leo