Yanga Yaiwekea Kambi ya Nguvu Azam
KIKOSI cha Yanga leo kimeendelea kujifua kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja ya hatua ya kujiandaa na mchezo wao wa Ligi Kuu Bara, dhidi ya Azam FC utakaochezwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Azam Complex uliyopo Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar.
Wakati huo Yanga ambao ni mabingwa wa tetezi wa kobe hilo tayari wameingia kambinitanguja jana jioni ili kuwaweka wachezaji wao kwenye hali sawa kufuatia mchezo huo mgumu kwao.
HABARI/PICHA: MUSA MATEJA/GPL
Comments are closed.