Zitto Kabwe Aungana na Chadema Rufaa Ya Mbowe (Picha+Video)
MBUNGE wa Tarime Mjini (Chadema), Esther Matiko na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wameshawasili katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo Jumatano kusikiliza rufaa ya dhamana yao iliyofutwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Novemba 23.
Kiongozi wa chama cha ACT–Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe amefika katika mahakama hiyo akiwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt. Vicent Mashinji.
PICHA: DENIS MTIMA | GPL
Comments are closed.