The House of Favourite Newspapers

Yote haya utayapata kwenye Gazeti la Risasi, leo Jumatano

0

MbungeMbunge Viti Maalum afumaniwa

-Alimpangia chumba hotelini mchepuko wake

-Mumewe aunasa mchongo mzima

-Awaibukia

-Mgoni achezea kichapo

-Soo latinga polisi

-Unataka kumjua mbunge mwenyewe sasa, na movie nzima ilivyochezwa?

Siku chache baada ya kumbadili dini….Uchumba wa wema, Mnamibia chali!

-Mnamibia alia machozi

-Idris atajwa

–Unataka kujua sekeseke hilo?

Mke wa kigogo apagawa jumba lake likivunjwa

-Ni la mil. 500

-Mumewe ampigia simu mtoto wa rais, ampotezea

Kufahamu undani wa haya na mengine, soma Gazeti la Risasi Mchanganyiko, leo Jumatano.

Leave A Reply