Rais Magufuli Ampokea Rais wa Malawi, Mhe. Chakwera
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amempokea Rais wa Jamhuri ya Malawi Dkt Lazarius Chikwera aliyeongozana na mkewe Monica Chikwera kuitembelea Tanzania katika ziara ya siku 3 kwa mwaliko rasmi wa Rais Magufuli.