BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda maalum vya kujifungulia pamoja na mashuka katika Hospitali ya Mnazi mmoja, mjini Zanzibar vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 10. Vifaa hivyo vimepokelewa na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi, Ayoub Mohamed Mahmoud ambaye alikuwa ni mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Comments are closed.