Azam Fc wametinga fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuichapa Taifa Jang’ombe bao 1-0. Mfungaji wa bao hilo ni Frank Domayo mechi imepigwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam wanasubiri mshindi kati ya Simba na Yanga ili wacheze naye fainali.
Azam Fc wametinga fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuichapa Taifa Jang’ombe bao 1-0. Mfungaji wa bao hilo ni Frank Domayo mechi imepigwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam wanasubiri mshindi kati ya Simba na Yanga ili wacheze naye fainali.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.