The House of Favourite Newspapers

Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-11

0

ILIPOISHIA GAZETI LA WIKIENDA:
“Yetu ninayotaka kuendelea na wewe ni kukuomba twende tukachukue chumba hotelini japo kwa leo tu, naami nitafurahi sana kama utanikubalia.”
SHUKA NAYO SASA…

Mama Pilima alishtuka kwanza, akamtumbulia macho baba Pili kisha akaachia tabasamu laini…

“Unajua unaniingiza kwenye majaribu makubwa sana?”
“Najua…lakini sina jinsi mama Pilima…unajua ninavyokupenda sana.”
“Najua…lakini kupenda huko kuendane na utayari wa kila mmoja wetu.”
“Kama mimi niko tayari,” alisema baba Pili…

“Hata mimi niko tayari ila kwenye eneo moja la kukutana kitandani nadhani ndilo kizingiti kwangu,” alisema mama Pilima.Moyoni alitamani sana kumridhisha mwanaume huyo kwani kusema ukweli alimpenda lakini sasa alishazidiwa kete na baba Pilima feki kiasi kwamba alijiona kama atakubali angeanza tabia mbaya ya uhuni kama si umalaya…

“Tulishaongea mimi na wewe ukasema kwamba, itakuwa mara moja tu na si vinginevyo. Sasa ninacholilia kutoka kwako mpaka sasa ni hiyo mara moja tu mpenzi wangu,” alisema baba Pili kwa sauti iliyojaa utulivu wa hali ya juu.

Palipita utulivu wa kama sekunde kumi nzima, mama Pilima alikuwa akimwangalia baba Pili kwa macho yaliyojaa kujiuliza na ugumu wa kutatua ya moyoni…
“Baba Pili,” aliita mama Pilima kwa sauti iliyojaa mahaba…
“Nakusikiliza…”

“Uko tayari kwa leo tu lakini?”
“Niko tayari hata kwa sekunde kumi tu,” alisema baba Pili, mama Pilima akacheka…
“Sekunde kumi!? Sekunde kumi umekuwa nanihii…”
Walicheka wote, mama Pilima akawahi kumaliza…

“Eee! Basi sawa baba Pili, hata mimi ni binadamu kama wewe. Kwa jinsi unavyolalamika sina namna. Uwezo wa kukufurahisha ninao, sababu ninazo na nia pia imebidi niwe nayo,” alimaliza mama Pilima.

Palepale baba Pili alisimama, akaenda upande wa mapokezi wa hoteli hiyo, akachukua chumba. Baada ya dakika tano tu akarudi, akamwinua mama Pilima. Wakaenda…
“Karibu sana chumbani,” alisema baba Pili huku akiwa amemshika mkono mwanamke huyo.

Walifikia kukaa, baba Pili hakuwa akiamini kama kweli mama Pilima yu mikononi mwake muda huo. Waliangaliana, mama Pilima akakimbiza macho kwa aibu ya kianamke.

“Mama Pilima,” aliita baba Pili…
“Abee,” mama Pilima aliitikia kwa kandokando…
“Eee! Usingenitendea haki kama usingenikubalia na zoezi hili linaloendelea,” alisema baba Pili kwa ile sauti yake ya upole na unyenyekevu.

Mama Pilima akaachia tabasamu na kumkumbatia baba Pili, akauweka uso wake sawa, akatoa ulimi lakini hakuupeleka kwa baba Pili akitaka amwone kama yeye mwenyewe ataupokea au la! Baba Pili naye hakuona sababu ya kuuchuna, alipeleka midomo mbele na kuupokea.

Walizama ndani ya denda la kiutuuzima huku wakisikika kuhema kwao tu.
Ghafla, baba Pili akajisindikizia na mkono kwa kumshika kifuani mwanamke huyo huku akikipapasa kifua hicho laini.

Mama Pilima alianza kutoa ishara kwamba anakoelekea siyo kuzuri hivyo baba Pili ajue hilo mapema. Kuhema kulikuwa kwa wingi sasa, macho yalikosa nguvu na kuona mazingira ya chumba kwa hafifu.

Hilo alipolibaini baba Pilima alizidisha ujuzi, alitoka kwenye kitanda na kupiga magoti kisha akaendelea na kuufanyia utalii mwili wa mama Pilima huku akimsifia kwa sifa mbalimbali za uumbwaji.

Mama Pilima hoi, hakuweza kusema wala kuangalia. Hakuwa amefumbua macho kumwangalia baba Pili. Mwili ulimuisha nguvu.

Baba Pili hakuona sababu ya kuwahi kuanzisha mechi, alizidi kumtesa mwanamke huyo kwa kumchezea mwili mzima, wakati fulani mpaka kwenye nyayo.

Mama Pilima alipoona hali inazidi kuwa mbaya aliamua kumvutia kwake baba Pili kama ishara kwamba mwili umeshapata moto tayari kwa mpira.
Mchezo ulianza bila mwamuzi, wawili hao waliingia uwanjani na kutikisa nyasi huku chumba kikirudisha utulivu wa hali ya juu.

Mama Pilima alianza kuweweseka, akapagawa, akapiga kelele zote huku akimwaga sifa kemkemu kama siyo nyingi. Ilifika mahali ilibidi atubu kwa mwanaume huyo kwamba, hatakubali siku ile iwe ndiyo ya kwanza na ya mwisho…

“Au we bado unataka leo ndiyo iwe siku ya kwanza na ya mwisho?” mama Pilima alisema kwa shidashida…
“Sawa…yaani nashukuru sana kwa kubadili msimamo wako wa awali,” baba Pili alishadadia kwa sauti ya kiume.

Walikaa kimya, sasa ikawa gwaride kwelikweli. Kwa vile baba Pilima alishajua ishu ya mama Pilima kuhusu ndoa yake, alitumia muda huo kuhakikisha hafanyi kosa lolote katika siku hiyo ya kwanza.
“Baba Pili… uwe basi baba Pilima moja kwa moja,” alisema mama Pilima akiwa na maana yake.

Baba Pili alikubali, akaitikia kwa kichwa huku akihema sana.
Ghafla, mama Pilima alimsukuma baba Pili, kule mpaka akaanguka chini!

Je, unajua nini kilitokea hapo? Usikose kusoma kwenye Gazeti la Ijumaa Wikienda, siku ya Jumatatu.

Leave A Reply