HabariKitaifa BENKI YA CBA TANZANIA YAZINDUA VISA CARD MPYA MAHUSUSI KWA WATEJA WAKE MSIMU WA SIKUKUU Last updated Dec 14, 2017 Share Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania, Gifty Shoka akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa kitengo cha huduma kwa wateja wa benki hiyo,Hyasinta Mwimanzi wakiongea na wateja wa benki hiyo jijini Dar es Salaam, Nursiye Marhoon na Majda Mohamed wakati wa hafla ya uzinduzi wa VISA Card mpya ya ambayo itawawezesha wateja wa benki hiyo kufanya manunuzi mbalimbali kipindi hiki cha Sikukuu Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya CBA Tanzania,wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa hafla ya uzinduzi wa VISA Card mpya ya benki hiyo itakayo wawezesha wateja wa benki hiyo kufanya manunuzi mbalimbali kipindi hiki cha Sikukuu Mkurugenzi wa Mkuu Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania,Gifty Shoka (kushoto)akimkabidhi VISA Card mpya ya benki hiyo Mkurugenzi wa mauzo na masoko wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam,Seraphin Lusala wakati wa hafla ya uzinduzi wa kadi hiyo itakayowawezesha wateja wa benki hiyo kufanya manunuzi mbalimbali kwa kipindi hiki cha Sikukuu,Wanaoshuhudia ni baadhi ya wateja wa benki hiyo, Nursiye Marhoon na Majda Mohamed Benk CBABENKI ya CBACBA Share
Comments are closed.