Bibi Msela ‘Chalii wa Arusha’ Akimuelezea Babu wa Loliondo – Video
Bibi maarufu katika jiji la Arusha mwenye misemo yote ya vijana wa Arusha, ambaye ni mfanyabiashara wa ndizi anayefahamika kwa jina maarufu kama ‘Chalii wa AR’ amefunguka kuhusu mkwanja ambao aliutengeneza Babu wa Loliondo kupitia kikombe cha cha Tsh 500 kwa ajili ya kuponya magonjwa yote sugu.
Comments are closed.