Breaking News: Rosaree Afungiwa na BASATA-VIDEO
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemfungia msanii wa Bongofleva nchini Tanzania, Roza Ree kutojihusisha na muziki kwa miezi 6 kutokana na video ya wimbo wa Vitamin U aliyoshirikishwa na msanii Timmy Tdat wa Kenya.
Comments are closed.