BREAKING | Rais Magufuli Akutana na Marais Wenziye A. Mashariki – VIDEO
Ni Mkutano wa ishirini wa wakuu wa nchi na Jumuiya ya Afrika Mashariki unafanyika katika ukumbi wa AICC Jijini Arusha na umehudhuriwa na Marais kutoka nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Tanzania, Dkt John Magufuli, Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na wengine wengi.
Comments are closed.