The House of Favourite Newspapers

Caf Yambana Matola, Atakiwa Kusoma

0
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa mwongozo kwa klabu zitakazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu ujao kuwa kocha Mkuu LAZIMA awe na Leseni A na Msaidizi wake B.
Hii inamaanisha kuwa kocha msaidizi wa Simba, Selemani Matola mwenye Leseni C ya CAF hataruhusiwa kukaa kwenye benchi mpaka atakapohitimu mafunzo ya Leseni B.
Leave A Reply