×

Celebrities

Usaliti wa Mwijaku somo kwa Harmonize

KITENDO cha mtangazaji na mwigizaji Mwijaku kuungana na msanii Diamond Platnumz na kuwa balozi wa kampuni yake ya michezo ya...

READ MORE

Wazazi wa Nandy Wamkubali Nenga

ILIKUWA ni miaka mitano ya mapenzi na uchumba uliogubikwa na milima na mabonde tangu mwaka 2016, lakini hatimaye wazazi wa...

READ MORE

Ebitoke: Idris ni Tofauti na Wasanii Wengine

KOMEDIANI maarufu Bongo, Ebitoke anasema kuwa, komediani mwenzake, Idris Sultan ndiye msanii ambaye anautangaza zaidi utalii na nchi kupitia umaarufu...

READ MORE

Fahyma Kuzaa Mapacha 2022

BABY mama wa msanii Rayvanny, Faima au Fahyma inaaminika kuna vitu havijakaa sawa kwa upande wake kwani miezi miwili iliyopita...

READ MORE

Mwonekano wa Mondi Kama Rapa Rick Ross

MIONGONI mwa mambo yaliyozua minong’ono pale Mlimani City jijini Dar, wikiendi iliyopita wakati staa wa muziki Afrika, Diamond Platnumz akizindua...

READ MORE

G- Nako Aachia Mini-tape Mpya ya ‘Kitimoto’

Msanii wa kizazi kipya, G-Nako ‘Warawara’ kutoka Kundi la Weusi lenye maskani yake jijini Arusha, ameachia Mini-Tape yake aliyoipa jina...

READ MORE

Familia: Nandy Hakai na Nenga

UNAAMBIWA licha ya kwamba staa wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ kuoneshana mahaba mazito hadharani na mchumba wake wa...

READ MORE

Baada ya Kufeli Mara 3, Hatimaye Kim Afaulu Mtihani wa Sheria

MREMBO na Mjasiriamali huyo jana ametangaza kupitia Instagram kuwa amefaulu mtihani wa wanasheria wa jimbo la California nchini Marekani ujulikanao...

READ MORE

Makala Agness: Nililipwa Mil 11 Kwenda Kufanya Mapenzi Nigeria

KAMA ni mfuatiliaji wa mambo yanayoendelea mitandaoni, basi jina la Aggy Baby siyo geni kwako. Akifahamika zaidi kwa jina la...

READ MORE

Koffi Olomide Ahukumiwa Kwenda Jela

MAKAHAMA ya rufaa ya Versailles nchini Ufaransa imemfutia shitaka la unyanayasaji wa kingono na kumtia hatiani kwa makosa ya kuwashikilia...

READ MORE

Mkubwa Fella: Siyo Kama Hatuwaoni

MENEJA wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz. Said Fella Mkubwa Fella anasema kuwa, mara nyingi...

READ MORE

Minaj Ajitetea Tena Tuhuma za Kuandikiwa Nyimbo

Nicki Minaj ameamua kujitetea tena kuhusu tuhuma za kuandikiwa Nyimbo December 11 Rapa huyo alitweet nyimbo chache ambazo ameandika mwenyewe...

READ MORE

Harnaaz Mrembo wa India Taji la ‘Miss Universe’

MREMBO Harnaaz Sandhu kutoka nchini India ameibuka mshindi kwenye mashindano ya ulimbwende ya ‘Miss Universe’ siku ya jana Desemba 12, 2021...

READ MORE

Diamond Anyakua Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume AFRIMMA

SUPASTAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” ameshinda tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Africa Mashariki katika sherehe za...

READ MORE

Nandy Anyakua Tuzo ya Msanii Bora wa Kike AFRIMMA

Tuzo ya pili ya #AFRIMMA2021 (African Muzik Magazine Awards) msimu wa 8 imetua ndani ya ardhi ya Tanzania kufuatia mwanadada...

READ MORE

Chillah: Kuna Kitu Nikiongea Nitagawa Nchi

MKONGWE kunako Bongo Fleva, Abubakari Shaban Katwila almaarufu Q-Chief au Chillah anafunguka kuwa, kuna kitu anacho ambacho akikiongea kinaweza kusababisha ...

READ MORE

Willy Paul na Diana Marua Kimeuamana

MSANII maarufu wa Kenya, Willy Paul ambaye miaka ya nyuma aliwahi kutamba na wimbo wake wa ‘Jigi Jigi’, ametupiana maneno...

READ MORE

Nyashinski Afunga Ndoa

MWANAMUZIKI Nyamari Ongegu maarufu Nyashinski amefunga ndoa na mpenzi wake Zia Bett katika hafla ya faragha iliyofanyika mapema jana Desemba...

READ MORE

Kim Kardashian Amchanganya Kanye

KANYE West ameweka wazi kuwa anajaribu kumrudisha mke wake. Hata hivyo, bado inaonekana Kim Kardashian ana mpango mbadala kwenye mahusiano...

READ MORE

Mobeto Ajibu Kumkomoa Diamond

MWANAMITINDO wa kimataifa na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto amejibu madai kwamba amekuwa akionekana na mastaa wakubwa duniani kwa...

READ MORE

Kuanzia Madrid Hadi Uingereza, Burudani Na Ushindi

Wikiendi bomba kabisa ya ushindi inaanzia kule Hispania, kwenye dabi ya Madrid, wakati Real Madrid anapovaana na Atletico Madrid. Hii...

READ MORE

Diamond Amwajiri Mwijaku, Asema Anampenda – Video

STAA wa Bongo Fleva, Diamond platinumz amemwajiri rasmi Mwijaku kuwa balozi wa Kampuni ya Wasafi Bet ambayo itakuwa ikijihusisha na...

READ MORE

Mwijaku: Diamond Tafuta Mwanamke Uoe – Video

MTANGAZI wa Cluds FM, Mwijaku amemshauri bosi wa Wasafi, Diamond Platinumz kuona ili aione raha ya maisha badala ya kuendelea...

READ MORE

Diamond Azindua ‘WASAFI BET’ Usiku wa Leo – Video

MWANAMUZIKI Diamond Platinumz, leo Desemba 10, amefanya hafla katika ukumbi wa Mlimani City ya kuzindua kampuni yake ya kubashiri aliyoipa...

READ MORE

Kufuru ya Pesa! Davido Ajinunulia Lamborghini ya Bil 1.26

IKIWA ni wiki chache tu baada ya kuchangiwa pesa na mashabiki zake mtandaoni kiasi cha Naira 250,000,000 (Tsh Bilioni (1.4)...

READ MORE

Kiba: Harmonize Sio Rafiki Yangu, Siijui Dini ya Diamond

NYOTA kutoka nchini Tanzania , Ali Kiba amewasili Kenya kwa ajili ya tamasha lake la ‘Only One King’ litakalofanyika Naivasha...

READ MORE

Kanye West kurithi mikoba ya Abloh Louis Vuitton

MWANAMUZIKI Kanye West anapigiwa chapuo kurithi nafasi ya marehemu Virgil Abloh ya kuwa mbunifu mkuu wa mavazi ya kiume katika...

READ MORE

Smollett Akutwa na Hatia, Huenda Akafungwa Jela

MUIGIZAJI Jussie Smollett aliyetambulika kama Jamal Lyon kwenye Empire Series amepatikana na hatia kwenye makosa matano kati ya sita ya...

READ MORE

Dr Dre Asherehekea Talaka na Mkewe

HATIMAYE rapa maarufu na mtayarishaji wa muziki, Andre Romelle Young ‘Dr Dre’ (56) amefanikisha talaka ya kuachana na mkewe Nicole...

READ MORE

Boris Johnson na Carrie Wapata Mtoto Mwingine Ndani ya Miezi 20

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson na mkewe Carrie Johnson wametangaza kuzaliwa kwa binti, mtoto wao wa pili tangu awe...

READ MORE

Monalisa Atwaa Ubalozi Bodi ya Filamu Nchini

    MSANII nguli wa filamu Tanzania, Ivon Cherry ‘Monalisa’ jana ametangazwa kuwa balozi wa kuitangaza Bodi ya Filamu Tanzania...

READ MORE

Diamond Analipa Kodi Tsh bil 1.7 kwa Mwaka

Staa wa muziki Tanzania na Africa kwa ujumla Diamond Platnumz ameweka wazi kiasi cha kodi anacholipa kwa mwaka ambapo ni...

READ MORE

Albamu Harmo Tishio Boomplay

ALBAMU ya High School ya staa wa Bongo wa Fleva, Harmonize imefikisha zaidi ya Streams milioni 10 kwenye mtandao wa...

READ MORE

Penzi la Wolper na Rich Lipo Saiti

MWANAMAMA wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper au Mama P amefunguka mazito juu ya penzi lake na baba wa mtoto wake,...

READ MORE

French Montana Amfollow Mobetto Instagram

Mambo yanazidi kumnyookea mwanamitindo na ‘socialite’ maarufu Bongo, Hamisa Mobetto baada ya staa mkubwa kutoka nchini Marekani mwenye asili ya...

READ MORE

Mzunguko Wa Sita Hatua Ya Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Kumalizika Wiki Hii

Baadhi ya timu zimeshafuzu hatua ya Mtoano kunako Ligi ya Mabingwa, zingine, bado zinajitafuta na michezo ya mwisho itaamua. Wiki...

READ MORE

Zuchu Amtunishia Misuli Diamond

JANUARI 30, mwaka huu msanii kutoka kiwanda cha Bongo Fleva, Zuchu aliachia wimbo wake wa SUKARI, ndani ya miezi 10...

READ MORE

Lukamba Afuta Utambulisho wa Mpiga Picha wa Diamond

NI headlines kutoka kwa mpiga picha maarufu wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Lukamba ambaye amefuta utambulisho uliokuwa ukimtambulisha kama mpiga picha...

READ MORE

Vanessa Apigwa Tukio Kama Zuchu

MWANAMAMA aliyetundika daruga kunako Bongo Fleva, Vanessa Mdee au V-Money anawatahadharisha wasanii Bongo juu ya kukubali kutumika vibaya na kupigwa...

READ MORE

Tamaa Maisha Ya Kifahari… Mastaa, Watoto wa Mjini Wasota Magereza kwa Unga

MORINE Amatusi Liyumba ni binti mrembo wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu...

READ MORE