×

Championi

Straika Mtogo Awalainishia Yanga

STRAIKA Mtogo, Djako Arafat ambaye aliwalaza Yanga na viatu waliporudiana na Wolayta Dicha nchini Ethiopia amewaita rasmi mezani kwa kuwatajia...

READ MORE

Yanga Yaweka Rekodi Mbaya Afrika

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga, wameanza vibaya michuano hiyo kufuatia kuweka rekodi mbaya katika mechi za...

READ MORE

Yanga Jifunzeni Kupokea Hata Vidogo

KW A N Z A kabisa nichukue nafasi hii kuipongeza timu ya Simba kwa kuwa karibu kabisa kutwaa ubingwa wa...

READ MORE

Akilimali Atoa Neno Baada Ya Kipigo Cha Yanga

    LICHA ya kuanza vibaya kwa kuchapwa mabao 4-0 dhidi ya USM Alger katika mchezo wa Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Okwi: Simba Tulieni, Tunashinda Mechi Zote

MSHAM-BULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kusema kuwa watahakikisha wanashinda mechi zote zilizobakia...

READ MORE

Ghafla! Tambwe Apewa Tano Simba

WAKATI kikosi cha Simba kikikaribia kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, mshambuliaji wa timu hiyo, Mganda, Emmanuel Okwi...

READ MORE

Kwasi: Haikuwa Rahisi Sisi Kufika Hapa

  BEKI Mghana wa Simba, Asante Kwasi amefunguka kuwa, haikuwa kazi rahisi kwao kufikia hapo walipo mpaka sasa wanaona wa­naelekea...

READ MORE

Championi Lambana Hans Poppe, Asisitiza Hajakimbia

BAADA ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar kutoa amri ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya...

READ MORE

Yondani Azua Hofu Yanga

SIKU chache baada ya beki wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani, kumtemea mate beki wa Simba, Asante Kwasi na suala...

READ MORE

Kinachotokea Yanga Kinaweza Kuwa Funzo Kwa Timu Nyingine

YANGA usiku wa kuamkia leo ilicheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika bila...

READ MORE

YONDANI AINGIA KWENYE RADA ZA SIMBA

Wakati Yanga wakihaha kum­bakisha beki mkongwe wa kati, Kelvin Yondani watani wao wa jadi Simba nao wame­ingia rada za kuhakikisha...

READ MORE

Straika Simba: Ajibu, Chirwa Wasaliti

BAADA ya nyota saba wa Yanga wakiwemo Ibrahim Ajibu na Obrey Chirwa juzi hawakuondoka na timu hiyo kwenda Algeria, straika...

READ MORE

Yanga Yaporwa Bonge La Kiungo

  IKIWA katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa JKU ya Zanzibar, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Yanga...

READ MORE

Nyoni: Sasa Waje Wengine

MFUNGAJI wa bao pekee la Simba dhidi ya Yanga, Erasto Nyoni amesema sasa wamesahau juu ya mchezo huo na wanajipanga...

READ MORE

Lechantre Abakisha Saa 648 Tu Simba SC

WAKATI kesho Simba ikicheza na Ndanda FC, kocha wake mkuu Mfaransa, Pierre Lechantre amebakisha siku 27 sawa na saa 648...

READ MORE

Ni Fedheha Kuiacha Yanga Ikitaabika Caf

YANGA kesho Jumapili inacheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ugenini nchini Algeria...

READ MORE

Daktari Afichua Siri Ya Majeraha Ya Ngoma, Tambwe

MASTAA wa Yanga, Donald Ngoma na Amissi Tambwe, bado ni majeruhi na hawatarajii kurejea uwanjani hivi karibuni, sasa daktari mmoja...

READ MORE

AMBANI ATAKA YONDANI ATIMULIWE

STRAIKA wa zamani wa Yanga, Boniface Ambani ameshtushwa na taarifa za baadhi ya wachezaji wa timu yake hiyo ya zamani...

READ MORE

Yondani Atoweka Yanga…Viongozi Wahaha Kumsaka

  WAKATI Yanga wakihaha kum­bakisha beki mkongwe wa kati, Kelvin Yondani watani wao wa jadi Simba nao wame­ingia rada za...

READ MORE

Mkude Atajwa Namba Sita Bora 2017/18

KIUNGO mkabaji wa Simba, Jonas Mkude ametajwa kuwa ndiye kiungo bora mkabaji msimu huu kuliko wote.   Hali hiyo inatokana...

READ MORE

Yanga Yakwea Pipa, Saba Wagomea Safari -Video

KIKOSI cha Yanga kimeondoka kwenda nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Af­rika dhidi ya...

READ MORE

Mkutano Mkuu Yanga Wasogezwa Mbele

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuhusu mambo mbalim­bali ikiwemo mkutano mkuu uliokuwa ufanyike wikiendi hii. Katibu Mkuu wa Yanga,...

READ MORE

John Stephen Akhwari Mwanariadha Shujaa Wa Tanzania

  MCHEZO wa ri­adha ni mchezo wa tatu unaopendwa zaidi na Watanza­nia, ukiondoa soka na ndondi bila shaka riadha ndiyo...

READ MORE

MASTAA WENYE MI-FEDHA YA KUMWAGA

LICHA ya kuwa Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ inasifika kwa kuwa na wachezaji wengi mastaa wanaolipwa mishahara mikubwa mfano...

READ MORE

Diego Costa Amstaafisha Vibaya Wenger…Arsenal Yaondolewa Europa

AKIITU-MIKIA Arsenal kwa miaka 22 hatimaye ni rasmi Kocha Arsene Wenger amehitimisha safari ya kuinoa timu hiyo akiwa hana taji...

READ MORE

TFF YAGOMA KUIPA POINT TATU YANGA KISA MBEYA CITY

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi (Kamati ya Saa) katika kikao chake cha Mei 1, 2018 chini ya Mwenyekiti...

READ MORE

Mkongo Yanga SC: Hatufungwi Kizembe Tena

KOCHA mpya wa Yan­ga mzaliwa wa DR Con­go, Zahera Mwinyi, baada ya kufanya tathmini dhidi ya Simba amewaahidi mashabiki kwamba...

READ MORE

Nyoni Afunguka Alivyoiua Yanga

BAO pekee katika mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga alilofunga beki Erasto Nyoni limehamisha kutoka mchezaji maarufu hadi...

READ MORE

Nyoni Apewa Ufalme Simba

ACHANA na bao alilolifunga dhidi ya Yanga, Kocha wa Simba, Pierre Lechantre amemtangaza beki wake kiraka Erasto Nyoni kuwa ndiye...

READ MORE

Lechantre: Wamebaki Singida United, Ninayo Dawa Yao

BAADA ya kuvuna pointi tatu kwa watani wao wa jadi Yanga, Kocha wa Simba, Pierre Lechantre amesema amebakiza mechi moja...

READ MORE

Yanga SC Kuwafuata Waarabu Kesho

KIKOSI cha Yanga, kesho Alhamisi kinatarajiwa kwenda Algeria kwa ajili ya mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi ya...

READ MORE

Pointi 5 tu, Simba bingwa

KOCHA wa Simba, Pierre Lechan­tre amesema kuwa wanahitaji kupambana kufa na kupona ili ku­fanikiwa kupata pointi tano zitaka­zowawezesha kutwaa ubingwa...

READ MORE

Chuji Awachana Wachezaji Yanga SC

BAADA ya Yanga kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Simba, kiungo wa zamani wa timu hiyo, Athuman Idd ‘Chuji’,...

READ MORE

Kocha Mfaransa Simba Azuia Kambi Hoteli ya Nyota Tano Dar

KATIKA kupunguza pre­sha ya mechi ya watani wa jadi Yanga, Kocha Mkuu wa Simba Mfaran­sa, Pierre Lechantre am­ezuia kambi ya...

READ MORE

YONDANI AZUIA ‘SUB’ YA TSHISHIMBI

PRESHA ya mchezo inaweza kukufanya ukafanya maamuzi ambayo ni magumu, ndivyo ilivyokuwa baada ya nahodha wa Yanga, Kelvin Yondani kuonekana...

READ MORE

Mashabiki Simba na Yanga Watamba Kushinda

MECHI ya kibabe! Si Simba wala Yanga kila upande umetamba kushinda mechi yao ya kesho Jumapili ya Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Niyonzima: Sipo Ila Yanga Watakufa Tu

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Haruna Niyonzima raia wa Rwanda ameweka wazi kuwa anaamini klabu yake itapata matokeo mazuri mbele ya...

READ MORE

Kwasi Achekelea Kuwavaa Yanga

  WAKATI Simba na Yanga zikitarajiwa kuvaana siku ya Jumapili ya Aprili 29, beki Mghana wa Simba, Asante Kwasi, amefunguka...

READ MORE

Tambwe Aifungia Kazi Simba, Ajiongezea Programu

KATIKA kuhakikisha anakuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa watani wa jadi Simba, mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe, anajifua kikamilifu...

READ MORE

Bocco, Okwi Wazua Balaa La Miaka Sita Simba

WAKATI kikosi cha Simba kikijiandaa kupambana na Yanga, Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, washambuliaji wa timu...

READ MORE