LICHA ya kuanza mazoezi, kiungo mnyumbulifu wa Simba, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda, ameibuka na kuweka bayana kwamba mashabiki wa...
READ MOREBAADA ya Simba kutolewa katika Kombe la Shirikisho Afrika, mastraika wa timu hiyo John Bocco na Emmanuel Okwi kwa pamoja...
READ MOREKOCHA wa Yanga, George Lwandamina ni mjanja sana kwani ametengeneza kikosi ambacho sasa hakimtegemei mchezaji mmoja katika kupata mafanikio. ...
READ MOREDAKTARI Mkuu wa Yanga, Edward Bavu amemruhusu mshambuliaji wao Donald Ngoma kucheza dhidi ya Wolayta Dicha ya Ethiopia kwa kumuanzishia...
READ MOREKAMPUNI ya Katani Limited yenye makao makuu yake jijini Tanga, imesema kadiri itakavyokuwa na uzalishaji wa kiwango cha juu, itaidhamini...
READ MOREKOCHA wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema Simba ina kibarua kigumu katika mbio za ubingwa msimu huu kutokana na...
READ MORENI mmoja kati ya wachezaji ambao wamekuja na kuweza kuinusuru Lipuli FC ambayo ni wazi licha ya kupambana lakini jahazi...
READ MOREWAKATI wanariadha kutoka duniani wamekusanyika hapa Valencia, Hispania tayari kwa Mashindano Makubwa ya Dunia ya Riadha Nusu Marathon, Tanzania imekosa...
READ MOREUONGOZI wa benchi la ufundi la Simba umeweka sheria kali ambapo kila mchezaji akichelewa kwenye matukio maalum anakatwa shilingi laki...
READ MORESHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeanika wazi vigezo vipya watakavyovizingatia mara baada ya kuanza rasmi kupitia ‘CV’ mbalimbali walizopokea...
READ MOREPOLE sana kwa Simba ambao kwa sasa wamebaki na Ligi Kuu ya Tanzania Bara tu likiwa ndiyo kombe wanaloweza kulichukua...
READ MOREMCHEZO wa soka ni biashara kubwa katika mataifa mengi duniani, kuna wachezaji ambao wanalipwa mishahara mikubwa na malipo mengine ya...
READ MOREHALI ya Rais wa Simba, Evans Aveva, si nzuri na anaendelea kutibiwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Jana,...
READ MOREAZAM FC imepanga kucheza mchezo mmoja wa kirafiki katika kujiandaa na mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA dhidi...
READ MOREBAADA ya kikosi cha Yanga hivi karibuni kutupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kocha mkuu wa...
READ MOREHATIMAYE kiungo wa Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, rasmi anaendelea na mazoezi binafsi kwa kujifua ufukweni baada ya kuwa nje kwa...
READ MOREKATIKA kukifanyia marekebisho madogomadogo kikosi chake, Kocha Mkuu wa Simba, Pierre Lechantre, taratibu ameanza kumpumzisha kiungo wake, Shiza Kichuya na...
READ MOREKUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga ambao awali ulipangwa kuchezwa Aprili 7, mwaka huu, tayari...
READ MOREKIUNGO wa Yanga, Thabani Kamusoko raia wa Zimbabwe amefunguka kuwa anafurahia baada ya kupona kwa jeraha lake la goti na...
READ MORESTRAIKA kiwembe wa Simba, raia wa Uganda, Emmanuel Okwi, amesema kuwa tangu mechi yao imalizike, hajapata usingizi mzuri kutokana na...
READ MOREMSHAMBULIAJI wa Difaa El Jadida ya nchini Morocco, Mtanzania, Simon Msuva, amezidi kuongeza thamani yake baada ya dau lake kufikia...
READ MOREBAADA ya kuondoshwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Klabu ya Township Rollers ya Botswana, Yanga imepata pigo zaidi...
READ MOREMSHAMBULIAJI Emmanuel Okwi amekuwa gumzo kubwa hapa jijini Port Said kutokana na kiwango alichokionyesha katika mechi dhidi ya Al Masry...
READ MOREPAMOJA na mwamuzi kutoka Eritrea kumlamba kadi ya njano nahodha wa Simba, John Bocco akimtuhumu kumkanyaga mtoto, mashabiki wa...
READ MOREBEKI wa pembeni wa Yanga, Hassan Kessy, amesema kuwa hajutii kutua kuichezea timu hiyo, huku akitamba kuwa, anajiandaa kubeba ubingwa...
READ MOREBAADA ya kung’olewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho, Simba wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu. Simba inarejea...
READ MORETIKETI za mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba dhidi ya Al Masry, zimezua kizazaa kikubwa. Mashabiki wamekuwa...
READ MORENAHODHA msaidizi na beki wa kati tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani amesema wanataka kuwashangaza mashabiki wao kwa kuweka bonge la...
READ MOREWAPINZANI wa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Township Rollers ya Botswana ni kama wamewakimbia Yanga baada ya kukimbilia...
READ MOREMWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Hussein Niyika amesema endapo timu hiyo itaibuka na ushindi dhidi ya Township Rollers...
READ MOREWAPINZANI wa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Township Rollers ya Botswana ni kama wamewakimbia Yanga baada ya kukimbilia nje...
READ MOREKOCHA Msaidizi wa Simba Mrundi, Masoud Djuma amesema nguvu zao wamezielekeza kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi...
READ MORELEO itakuwa siku nyingine ambayo mbabe mmoja kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya ataondoka wakati wakali Chelsea watakapovaana na Barcelona....
READ MOREKITENDO cha Kagera Sugar kuwa na matokeo mabaya msimu huu, kimetajwa kuwa ni kukosekana kwa mfungaji mahiri ndani ya...
READ MOREBEKI wa Simba, Shomary Kapombe, ameanza kupigia hesabu za kupambana kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baada...
READ MOREUONGOZI wa Klabu ya Simba umefunguka kuwa umejipanga kikamilifu kuhakikisha wanazikwepa hujuma zote ambazo watafanyiwa na wapinzani wao Al Masry...
READ MOREBENCHI la ufundi la Yanga chini ya kocha wake mkuu, George Lwandamina raia wa Zambia limeeleza kutofurahia ratiba ya kikosi...
READ MOREUONGOZI wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) umesema kuwa unajipanga kuhakikisha unazisaidia timu za Simba na Yanga ili zifanye vizuri...
READ MOREKOCHA Msaidizi wa Yanga, Shadrack Nsajigwa, amesema wengi hawataamini kitakachotokea kwani wamepanga kushangaza mashabiki wao kwa matokeo mazuri watakayopata katika...
READ MOREMANCHESTER United inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Liverpool, leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Old Trafford, mchezo huo ni mkubwa na...
READ MORE