×

Championi

Ndugu wa Niyonzima wawasili kwa mafungu Mwanza

  KIUNGO anayemaliza mkataba Yanga, Haruna Niyonzima ni raia wa Rwanda, sasa kikosi cha timu yake ya Taifa leo kinacheza...

READ MORE

Azam Yawaita Mezani Yanga

UONGOZI wa Azam FC umewaita mezani mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga ili kuzungumza nao kuhusu usajili wa mchezaji wao...

READ MORE

Omog Aweka Ngumu Ndugu wa Tambwe Kutua Simba

SIMBA imeamua kufuta mpango wa kumleta nchini Kocha Mrundi, Niyongabo Amars raia wa Burundi sawa na Amissi Tambwe wa Yanga,...

READ MORE

Msuva arejea Taifa Stars, aahidi kuwatungua Rwanda

  JUZI Alhamisi winga Simon Msuva hakushiriki mazoezi ya Taifa Stars na kuzua sintofahamu, lakini jana asubuhi alishiriki mazoezi hayo...

READ MORE

Yanga Yaleta Beki Mnigeria Usiku Mnene

HENRY Tony Okoh ni yule beki raia wa Nigeria ambaye tulimtaja jana kwenye Championi Ijumaa kwamba Yanga imepanga kumsajili ili...

READ MORE

Okwi Kuifuata Simba Sauzi

  MSHAMBULIAJI wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi anatarajia kukifuata kikosi hicho Afrika Kusini kwa ajili ya kambi ya...

READ MORE

Kamwamba: Chichi Mawe Hamalizi Raundi 10

Israel Kamwamba – Malawi.   ISRAEL Kamwamba raia wa Malawi ni mpinzani wa Francis Miyeusho ‘Chichi Mawe’ ambaye anarekodi ya...

READ MORE

Yanga Yamfuata Juuko

  KIKOSI cha Simba tayari kimeanza mazoezi yake ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza Agosti,...

READ MORE

Yanga Yashusha Beki Mnigeria

  WAKATI mbiombio za usajili zikiendelea, habari ni kuwa Klabu ya Yanga imeamua kuachana na mpango wa kumsajili beki wa...

READ MORE

VIDEO: Mtazame Wayne Rooney Alivyotikisa Nyavu za Gor Mahia

  Mjasiri haachi asili na akiacha asili si jasiri tena hiyo imedhihirika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam...

READ MORE

Pluijm: Hakuna Wa Kuisumbua Singida United

SINGIDA United ipo jijini Mwanza kwa maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara ambapo tayari kocha wake, Hans van...

READ MORE

Chelsea Kumpeleka Matic Inter Milan

KLABU ya Inter Milan inatarajiwa kutuma ofa ya kumsajili kiungo Nemanja Matic wa Chelsea baada ya klabu hiyo kukataa kumuuza...

READ MORE

Cannavaro: Kwa Mcameroon huyu, Kichuya hatufungi…

SIKU chache tangu uongozi wa Yanga ukamilishe usajili wa kipa Mcameroon, Rostand Youthe, nahodha na beki wa kati wa timu...

READ MORE

Wayne Rooney Ndani ya Bongo ni Fursa Kwa Wabongo

TAYARI nchi imeshatikisika kutokana na ujio wa timu ya Everton ambayo kesho Alhamisi itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya mabingwa...

READ MORE

Tambwe: Tukimpata Himid, Kazi Wanayo!

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe, amesikia taarifa za kiungo mkabaji wa Azam FC, Himid Mao kutua katika timu hiyo...

READ MORE

BANDA: OKWI, BOCCO WATAITESA YANGA SC

  LICHA ya kwamba msimu ujao Abdi Banda hatakuwepo katika kikosi cha Simba, lakini amefunguka kuwa kikosi hicho kitatisha zaidi...

READ MORE

Omog Ashangaa Mayanja Kutaka Kutimuliwa Simba

HIVI karibuni uongozi wa Simba ulikuwa na mpango wa kutaka kuachana na kocha msaidizi wa timu hiyo, Mganda, Jackson Mayanja....

READ MORE

Mo aifanyia Umafia Yanga, Aipora Kiungo

HAKIKA vita ya wakubwa watoto wanatakiwa kukaa mbali, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya bilionea wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’,...

READ MORE

Rooney Yupo Bongo… Ukitaka Kumuona Buku 3

  STAA wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney ambaye ametua nchini leo Jumatano na kikosi cha timu yake mpya...

READ MORE

Lwandamina amfungia kazi Ibrahim Ajibu

KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Ibrahim Ajibu, jana alitambulishwa na kuanza mazoezi ya pamoja na wenzake chini ya Kocha wa...

READ MORE

MIKANDA YA UBINGWA WA GLOBAL TV HADHARANI (Video)

KAMISHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanza­nia (TPBO) imeiweka hadharani mikanda itakayogombaniwa katika mapambano ya Tubing wa Global TV, Afrika Mashariki...

READ MORE

Ngoma arudi kutibiwa Sauz

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma, atachelewa kujiunga na timu hiyo baada ya madaktari kumhitaji kwa ajili ya kumfanyia vipimo...

READ MORE

YANGA: NAFASI YA DIDA BADO IPO WAZI

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa bado nafasi ya aliyekuwa mlinda mlango wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’, ipo...

READ MORE

Pluijm ataka kipa mpya Singida United

KOCHA Mkuu wa Singida United ya Singida, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, raia wa Uholanzi, ameutaka uongozi wa timu hiyo...

READ MORE

Sikia Busara za Paul Pogba

PAUL Pogba bado anasubiriwa kuanza kufanya vitu vyake vilivyoifanya Manchester United ivunje rekodi ya dunia ili kumnasa msimu uliopita. Katika...

READ MORE

Mjadala wa kijinga wa Kingereza cha Mayanga na ulimbukeni wetu

INAWEZEKANA ikawa ni vizuri sana kuwa mtu ambaye unajivunia sana kujua lugha ya wenzako wakati ya kwako huijui vizuri? Mtu...

READ MORE

HUYU JAMAA KACHEZA SOKA MIAKA 25, HAKUPEWA KADI

STRAIKA wa zamani wa timu ya taifa ya England, Gary Lineker, ndiye mchezaji anayeshikilia rekodi ya kuwa mcheza soka ambaye...

READ MORE

Mshahara mpya wa Lionel Messi kufuru tupu

  LIONEL Messi amesaini mkataba mpya unaomfanya alipwe mshahara ambao umevuka kiwango kinachotakiwa kulipwa kwa mchezaji, lakini Rais wa Barcelona,...

READ MORE

ARSENAL YAONGEZA DAU KWA LEMAR

ARSENAL imerudi mezani na ofa ya pauni milioni 40 (Sh bilioni 114.4) kwa ajili ya kumnasa winga matata wa Monaco,...

READ MORE

MAHREZ AONYWA KUPIGWA CHINI LEICESTER

KOCHA Craig Shakespeare amepanga kuzungumza na Riyad Mahrez lakini amekusudia kumuonya winga huyo kuwa kama akionyesha kutofanya juhudi ili kushinikiza...

READ MORE

SHABIKI MWANAMKE ASEMA ‘JAMANI NAMPENDA MOURINHO MPAKA NAUMWA’

Shabiki wa soka, Vivien Bodycote, 59, ameamua moyo wake ufanye kazi mbili kwa wakati mmoja, kwanza ni kusukuma damu, pili...

READ MORE

Tambwe: Kwa mziki huu Yanga…

SIKU chache baada ya Yanga kumtambulisha Ibrahimu Ajibu aliyetokea Simba, straika wa timu hiyo, Amissi Tambwe amesema kwa usajili walioufanya...

READ MORE

Kaseke arejeshwa Dar kwa ndege, asubiria kumwaga wino Yanga SC

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke, amewasili jijini Dar es Salaam akitokea nyumbani kwao Mbeya na wakati wowote atamwaga wino...

READ MORE

Yanga Yaifunika Simba

KWA mara nyingine Yanga imeifunika Simba kwa gharama za mishahara kwa wachezaji wake wa kikosi cha kwanza ambao wamesajiliwa hadi...

READ MORE

Mkude: Ajibu kaacha pengo? Aaa wapi

NAHODHA wa Simba, Jonas Mkude, amesema kuondoka kwa mshambuliaji wa timu hiyo, Ibrahim Ajibu ndani ya kikosi chao hakutakuwa na...

READ MORE

Mayanga: Cosafa itatubeba Chan

KOCHA wa Taifa Stars, Salum Mayanga amesema michuano ya Baraza la Vyama vya Soka Kusini mwa Afrika (Cosafa) itakisaidia kikosi...

READ MORE

Ngumi za Global TV… Idd Pialali Achimba Mkwara Kibabe!!

    BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Idd Pialali ni mmoja kati mabondia watatu wa Tanzania watakaopanda ulingoni Julai...

READ MORE

Lwandamina Aagiza Ajibu Apelekwe Hospitali Fasta

MUDA mfupi baada ya Yanga kumtambulisha mshambuliaji, Ibrahim Ajibu aliyetokea Simba, kocha wa timu hiyo, George Lwandamina ameagiza mchezaji huyo...

READ MORE

SAMATTA KUVAA JEZI NAMBA 10 MSIMU UJAO

STRAIKA Mbwana Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji kuanzia msimu ujao atavaa jezi namba 10 katika kikosi hicho akiachana na...

READ MORE

Ujumbe Muhimu kwa Ibrahim Ajibu

  UKIONA mwenyeji wako anakukaribisha halafu anakueleza jambo kuonyesha ana hofu nawe kuhusiana na jambo fulani basi ujue una shida...

READ MORE