
Browsing Category
Habari
CBE Yashika Nafasi ya Nane Ubora Vyuo Elimu ya Juu
CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE),kimesema kimeendelea kufanya vizuri kitaaluma ambapo utafiti uliofanyika mwaka jana ulikiweka kwenye nafsi ya nane kati ya vyuo 47 vya elimu ya juu.
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na…
Tenga Aeleza Umuhimu wa Ubia Sekta ya Umma na Binafsi
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria waPPP Centre, Flora Tenga, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha Ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP) kama chachu ya kuvutia uwekezaji na kukuza viwanda vinavyoongeza pato la Taifa.
Tenga…
Oryx Gas Yakabidhi Zawadi kwa Wateja Waliojishindia Kampeni ya ‘Gesi Yente’
Hafidhi Madunda ambaye ni mkazi wa Chanika Jijini Dar es Salaam akiwa na pikipiki ambayo amekabidhiwa na baada ya kutangazwa mshindi wa Kampeni ya GESI YENTE inayoendeshwa na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania ikiwa na lengo la kuhamasisha…
Vodacom Yagawa Makapu Ya Sikukuu Kwa Wateja Wake Mkoani Mbeya
Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc imeendelea na zoezi lake la kugawa makapu ya sikukuu kwa wateja wake katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea msimu wa sikukuu na kutoa shukrani kwa uaminifu wa wateja.
Katika tukio…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kwenye Kituo cha Polisi Kikatiti Arusha
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani Arusha.
Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Mheshimiwa Dkt.…
Video Vixen Genno Acharuka “Nilikopwa Kwenye Video ya Diamond na Baba Levo” – Video
Video vixen maarufu Genno ameibua gumzo baada ya kufichua kuwa aliwahi kukopwa malipo katika moja ya video aliyocheza akiwashirikisha wasanii wakubwa, akiwemo Diamond Platnumz na Baba Levo.
Genno amesema alipata nafasi hiyo kupitia…
Dkt. Mwigulu Awasili KIA Kukagua Madhara ya Vurugu za Arusha
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo atakagua uharibifu uliosababishwa na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025 mkoani Arusha.
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amepokelewa na…
Waziri Ulega Akutana na RC Makalla Kujadili Kasi ya Miradi ya Miundombinu Jijini Arusha
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa huyo kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa Miundombinu jijini Arusha.…
Exim Inajivunia Kuwa Sehemu Ya Msimu Wa Nne Wa Korosho
Exim inajivunia kuwa sehemu ya msimu wa nne wa Korosho Marathon mkoani Mtwara, kama mdhamini mkuu wa mbio za Kilomita 5—ikiwa ni sehemu ya mchango wao endelevu katika kuunga mkono michezo, ustawi wa vijana na afya ya jamii.
Mgeni…
Mambo ya Kuepuka Kwa Wagonjwa wa Kisukari kwa Udhibiti Bora wa Sukari
Ingawa vyakula vingine vinaweza kusaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari, vingine vinaweza kuharibu usawa wa sukari ya damu na kuongeza hatari ya matatizo. Kuzuia au kuepuka yafuatayo kunaweza kusaidia udhibiti bora wa glukosi mwilini na…
Afrika Kusini Yalaani Hatua ya Trump Kutaka Kuiweka Kando Kutoka G20 2026
Afrika Kusini imelaani nia ya rais wa Marekani Donald Trump ya kuizuia nchi hiyo kuhudhuria Mkutano wa Kundi la 20 (G20) huko Miami, Florida, mwaka ujao.
Trump amesema kwamba hataialika Afrika Kusini kuhudhuria Mkutano wa G20 wa…
Samia Aongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya CCM Zanzibar, Wagombea wa Umeya na Uenyekiti Wateuliwa
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi Kisiwani Unguja, Zanzibar Novemba 29,…
Exim, Simba Developers Waingia Makubaliano Kurahisisha Umiliki wa Nyumba Tanzania
Benki ya Exim Tanzania na Simba Developers Limited wametia sahihi ya makubaliano ya kimkakati yanayolenga kurahisisha upatikanaji wa makazi kwa Watanzania.
Ushirikiano huu unalenga kutoa suluhisho la mikopo ya makazi yenye masharti…
Shinda Simu Mpya Kabisa ya Samsung Galaxy A26 na Meridianbet
Je, uko tayari kwa burudani na zawadi kemkem? Meridianbet inakuletea sababu ya kubashiri kupitia promosheni kabambe. Watumiaji wote walio jisajili kupitia tovuti au app ya simu ya meridianbet wanayo nafasi ya kuingia kwenye droo na…
TPSF Kuongoza Uwekezaji Utakaozalisha Maelfu ya Ajira
Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania TPSF limepanga kuhamasisha uwekezaji kwa kiwango kikubwa ili kupanua biashara zao kwa lengo la kuongeza uzalishaji kuendana na mabadiliko ya teknolojia huku ikizalisha mamilioni ya ajira kwa…
Waziri Kikwete Asisitiza Uweledi na Uwajibikaji kwa Wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete ameielekeza Bodi ya Ushauri na Menejimenti ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kujikita zaidi katika kufundisha kozi zitakazoenda…
Juhudi za Kimataifa Hazitasimama Sudan Hadi Vita Iishe
Licha ya jeshi lililoko Port Sudan kusisitiza kuendeleza vita ya Sudan, juhudi za kimataifa zinaendelea kusukuma mbele mipango ya kumaliza mzozo wa umwagaji damu unaoendelea tangu katikati ya Aprili 2023.
Katika maendeleo ya hivi…
Mfahamu Azzan Zungu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mussa Azzan Zungu ndiye Spika mpya wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka 2025 mpaka 2030. Ni kiongozi mwenye uzoefu mkubwa katika siasa na utumishi wa umma.
Zungu Novemba 11, 2025, alichaguliwa kuwa Spika wa…
Hakutekwa! Polisi Wathibitisha Winfrida Malembeka Kukamatwa kwa Tuhuma za Uchochezi – Video
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limesema mwanamke anayesambazwa mitandaoni akidaiwa kutekwa na watu wanaodaiwa kujitambulisha kama askari wa Kibiti, Winfrida Charles Malembeka, hajakumbwa na tukio la utekaji bali amekamatwa kwa…
Vitu Muhimu 9 vya Kuzingatia Wakati wa Kununua Gari
Kununua gari ni uamuzi mkubwa wa kifedha na unahitaji uangalifu mkubwa. Iwe unanunua gari jipya au lililotumika, kuna mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha unapata gari lenye thamani bora, salama, na linalokidhi mahitaji yako. Hapa…
Nafasi 14 za Ajira Zafunguliwa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Mwisho wa maombi Disemba 03
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi kumi na nne (14) za ajira baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Nafasi hizo ni kama…
Kizazi cha Gen-Z Chatajwa na Kagame Kama Changamoto Mpya kwa Serikali Afrika
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amesema kuwa Bara la Afrika linaweza kushuhudia wimbi jipya la mapinduzi endapo viongozi wake hawatashughulikia changamoto zinazowakabili wananchi, hususan vijana wa kizazi kipya (Gen-Z) ambao wanaonyesha…
Tanzania Kuendeleza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Jumuiya ya Kimataifa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kuzungumza na Jumuiya ya…
DART Yarejesha Huduma Za Mabasi Yaendao Haraka Awamu Ya Kwanza
WAKALA wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam (DART) imerejesha huduma za usafiri wa umma katika awamu ya kwanza, kuanzia Ubungo Terminal kuelekea Gerezani, Kivukoni na Muhimbili.
Huduma hiyo imerejea rasmi leo Novemba 28, 2025…
Usiyoyajua Kuhusu Toyota Land Cruiser Gx-R, Gr-S Na Zx (Lc300 Series)
Toyota Land Cruiser 300 (LC300) imekuwa gumzo barani Afrika tangu kuingia sokoni, ikiwa imebeba jina kubwa la uimara na uwezo uliotokana na historia ya zaidi ya miaka 70. Ndani ya familia hii, kuna matoleo matatu makuu ambayo watumiaji…
Waziri Kombo Apokea Magari Mawili kutoka Qatar
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea magari mawili aina ya Land Cruiser Prado kutoka Taifa la Qatar kwa ajili ya kuhudumia viongozi wanaokuja kwa ziara za kitaifa na kikazi nchini.
Qatar kama mshirika wa…
Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Kesi dhidi ya Viongozi wa CHADEMA – Video
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kesi ya kudharau amri ya Mahakama iliyokuwa imefunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake dhidi ya viongozi waandamizi wa…
Dkt. Migiro Aongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Alhamis, tarehe 27 Novemba 2025, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.…
BoT yauza dola milioni 20 katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni
Benki Kuu imeuza Dola za Marekani milioni 20.00 kupitia mnada wa ushindani kwa kiwango cha wastani cha kubadilisha fedha za kigeni cha Shillingi 2,447.55 kwa Dola moja ya Marekani. Lengo la mnada huu lilikuwa ni kuongeza ukwasi katika…
Dkt. Mwigulu Awataka Wakuu wa Mikoa Kuimarisha Utekelezaji wa Majukumu Nchini
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, Novemba 27, 2025 ameongoza kikao kazi maalum kilichowakutanisha Wakuu wa Mikoa wa Tanzania Bara, kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini…
Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja
Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya biashara mpya hufa ndani ya miaka miwili ya kwanza. Swali muhimu ni: Kwa nini watu wengi wanaanguka…
Mkama: Mazingira Wezeshi Yachochea Rekodi Mpya ya Uuzaji wa Hisa Tanzania
Ofisa Mtendaji Mkuu wa CMSA, CPA Nicodemus Mkama, amesema Kampuni ya Saruji Tanga imeweka rekodi ya kuwa kampuni ya kwanza nchini kuuza hisa stahiki zenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutolewa—shilingi bilioni 203.74—na…
Maswali 7 magumu kwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuhusu vurugu za Oktoba 29 Tanzania
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Novemba 25, 2025 alikutana na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, na maswali mazito yakielekezwa moja kwa moja kwake kuhusu kile kilichotokea Oktoba 29, 2025.
Siku hiyo ya uchaguzi na siku…
Puma Yatangaza Mshindi Wa Drop ya Vilainishi, Atwaa Elite Card ya SH Million 5
Puma Energy imemtangaza mshindi wa droo ya vilainishi, ambapo Boaz Aywayo ameibuka na Elite Card yenye thamani ya shilingi milioni 5 ambayo itamuwezesha kufanya manunuzi ya vilainishi au gesi katika kituo chochote cha Puma nchi nzima.…
Sanlam Allianz Yaendelea Kuwashukuru Mawakala Wake.
Kampuni ya Bima ya SanlamAllianz imewashukuru mawakala wao kwa kufanya kazi nao
Akizungumza wakati wa halfa ambayo imefanyika Novemba, 28,2925 jijini Dar-es-Salaam, Meneja mkuu wa biashara na mawakala, Geofray Masige amesema kuwa…
Dkt. Homera Aridhishwa RITA Kuwajengea Uwezo Wadhamini Katika taasisi ili kuepusha migogoro
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Juma Zuberi Homera afungua Mkutano WA wajumbe amefurahishwa na mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kutoa elimu na kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za Wadhamini kutoka…
Msimu Wa Sikukuu Waanza Rasmi: Vodacom Yaiburudisha Magomeni kwa Zawadi na Upendo
Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi Msimu wa Sikukuu za Mwisho wa Mwaka kwa kushirikiana na wateja wake na wafanyabiashara, wakiwasilisha furaha ya msimu huu kupitia makapu ya sikukuu. Katika hafla iliyofanyika Magomeni Sokoni, Vodacom…
Bunge la Tanzania, UAE Kuanzisha Kamati Maalum ya Ushirikiano
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akiwa na Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Mheshimiwa Lt. Jen. (Mst) Yacoub Hassan Mohamed walifanya mazungumzo na Spika wa Bunge la umoja wa Falme…
Benki Ya Stanbic Yatoa Misaada Ya Vifaa Tiba Mkoani Mwanza
Mwanza Novemba 27,2025. Benki ya Stanbic imekabidhi vifaa tiba ikiwemo vitanda, mashuka na viti mwendo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 19 kwa uongozi wa Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya Hospitali za Halmashauri ya jiji la Mwanza na…
Sababu 8 Zinazowafanya Watu Wapende Magari ya Toyota Zaidi ya Magari Mengine
Toyota imejijengea jina la ubora, uthabiti, na thamani ya muda mrefu, hali inayowafanya wengi kuipendelea ikilinganishwa na makampuni mengine ya magari. Hapa chini ni sababu kuu zinazofanya Toyota kuwa chaguo la kwanza kwa wateja wengi:…