Browsing Category
Habari
Mkurugenzi wa FBI Awataka Watu Kutoombeleza Kifo cha Mama Mlezi wa Tupac
Mkurugenzi wa FBI, Kash Patel, ametoa kauli tata akiwataka watu kutoombeleza kifo cha Assata Shakur, mama mlezi wa Tupac
Assata Shakur, ambaye pia alijulikana kama Joanne Chesimard, aliefariki Alhamisi, Septemba 25, 2025, akiwa na…
FIFA Yaiadhibu Afrika Kusini kwa Kumchezesha Mchezaji Asiye na Sifa
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) imetoa adhabu kwa Chama cha Soka cha Afrika Kusini (SAFA) baada ya kubainika kumchezesha Teboho Mokoena, mchezaji asiye na sifa za kushiriki, katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia…
Dk.Mwinyi Aahidi Kujenga Masoko Mapya 5 Zanzibar
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga masoko makubwa mapya matano ili kuwawezesha…
Dkt. Samia Acheza Taarab na Mama Karume Katika Mkutano wa Kampeni Tanga – Video
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuvuta hisia za maelfu ya wananchi baada ya kujumuika na kushiriki kucheza…
Nilipoteza Wateja Wote, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinirudishia Biashara Na Wateja Wakubwa Zaidi
Wakazi wa mtaa walinishangaa sana walipoona biashara yangu ikifungwa kwa miezi mitatu mfululizo. Nilikuwa nimepoteza kila kitu. Wateja wangu wa kila siku walikuwa hawaji tena, rafu zilikuwa tupu, na akaunti yangu ya benki ilikuwa karibu…
Video: Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa na Polisi Mbeya
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, limetoa taarifa kuwa watuhumiwa watatu waliokuwa wakituhumiwa kumteka kisha kumuua Shyrose Mabula, mwanafunzi wa Shahada ya Sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Mbeya, Shyrose Mahande (21), wameuawa…
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Katoliki Bukoba, na kupokelewa kwa heshima kubwa na waumini pamoja na viongozi wa Kanisa…
Netanyahu na Trump wakutana New York kuzungumzia suluhu ya Gaza
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atatetea nia yake ya "kumaliza kazi" huko Gaza anakutana na Rais wa Marekani Donald Trump leo Jumatatu.
Mkutano huo unakuja siku chache baada ya Trump kufichua mpango wenye vipengele 21…
Mgombea Urais CCM Dkt. Samia Aahidi Maji Safi na Salama kwa Kila Mtanzania – Video
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Septemba 28, 2025 akiwa Pangani Mkoani Tanga, amempongeza Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo ambaye pia ni…
Mahakama Kuu Yaagiza CHADEMA Kuwasilisha Taarifa za Fedha na Mali
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeiagiza CHADEMA kukabidhi nyaraka muhimu za kiofisi kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, Said Issa Mohamed, na wenzake wawili, zitakazotumika kwenye marejeo…
Shambulio Kanisa Michigan: Watu 4 Wauawa, 8 Wamejeruhiwa – Video
Watu wanne wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kushambulia ibada katika Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho huko Grand Blanc Township, Michigan, Jumapili asubuhi, polisi wanasema.…
Dkt. Nchimbi Atikisa Kampeni Mwenbe Yanga jijini Dar
MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Joh Nchimbi leo Septemba 28,2025 amefanya mkutano mkubwa wa kampeni katika Uwanja wa Mwenbe Yanga jijini Dar es…
Samia Aahidi Kujenga Barabara ya Kibaha–Morogoro kwa Ubia na Sekta Binafsi – Video
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema iwapo atapewa ridhaa ya kuunda serikali katika uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba 29, 2025, serikali yake itatekeleza ujenzi…
Zari The Bosslady Apata Ajali ya Gari, Range Rover Yake Yaharibika
Mfanyabiashara na staa maarufu wa Afrika, Zari The Bosslady, amethibitisha kuwa amepata ajali ya gari akiwa ndani ya Range Rover yake. Kupitia ukurasa wake wa Snapchat, Jumamosi usiku, Zari aliweka mfululizo wa picha zinazoonyesha gari…
Kwa Nini Kula Karoti ni Muhimu kwa Afya ya Macho
Karoti zinajulikana sana kwa maudhui yake ya juu ya vitamini A, virutubisho muhimu kwa afya ya macho. Vitamini A ni vitamini mumunyifu wa mafuta ambayo ina jukumu muhimu katika kudumisha kornea, safu ya nje ya jicho.
Bila vitamini A ya…
Vodacom Tanzania Foundation Na JKCI Washirikiana Kupanua Huduma Za Moyo Kwa Watoto
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc Philip Besiimire akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Heart Team Africa Foundation (HTAF) Dkt. Naizihijwa Majani baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano yenye lengo la…
Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo – Video
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoongoza endapo atachaguliwa katika…
Kikwete Awaasa Watanzania Kudumisha Umoja Na Amani – Video
KIBAHA, PWANI – Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akihutubia wananchi wa Kibaha katika kampeni, amesisitiza kuwa Tanzania inabaki kuwa mfano wa amani na mshikamano barani Afrika licha ya kuwa na makabila zaidi ya 120, watu wa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 29, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
NMB Yazindua Tawi Maalum la Nmb Tinde Mnadani
BENKI ya NMB imezindua tawi maalum la NMB Tinde Mnadani mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya kuzingatia dhamira yake ya muda mrefu ya kusambaza huduma za kifedha kwa jamii ambazo hazijafikiwa.
Uzinduzi huu umeambatana pamoja na…
AICC Yaendelea Kuboresha kumbi Zake, Yawakaribisha Wadau wa Kitaifa na Kimataifa
KITUO cha Kimataifa cha Mikutano (AICC)kimesema kuwa kinaendelea kuboresha kumbi zake mbalimbali huku kikiwakaribisha wadau wa kimataifa na kitaifa kufanya shughuli zao za mikutano katika kumbi zao kutokana na madhari uwepo wa madhari…
Nilikuwa Napoteza Kila Wiki EPL, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Ninishinde Jackpot Ya Mamilioni
Nilikuwa shabiki mkubwa wa soka na kila wiki nilikuwa nabashiri mechi za EPL. Nilihisi najua kila kitu kuhusu ligi hiyo wachezaji, form ya timu, hata hali ya majeraha lakini kila mara nilipoweka bet, nilipoteza. Haikujalisha kama odds…
Mixx, TCCIA na Yas Business Waungana Kuharakisha Mapinduzi ya Malipo Kijiditali
Dar es Salaam, 26 Septemba 2025. Kampuniyahuduma za kifedhakwanjiayasimu, Mixx imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) pamoja na Yas Business kwa lengo la kuimarisha malipo ya kisasa…
Majaliwa Aongoza Mbio za Saifee Marathon Jijini Dar es Salaam
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 28, ameshiriki katika mbio za hisani za Saifee Marathon zilizoanzia na kuishia katika viwanja vya green park Oysterbay, jijini Dar es Salaam.
Lengo la marathon hizo ni kuhamasisha jamii…
Elimu ya Usalama na Afya Kazini Yawafikia Wasioona Pwani na Dar
Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi.Khadija Mwenda, akihitimisha mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi kwa watu wasioona ambao ni wanachama wa Jumuiya ya Wasioona Tanzania (TAB) wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani. Mafunzo hayo…
Tuzo za Serengeti Awards Kufanyika Disemba 19 jijini Arusha
KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema Tuzo za Uhifadhi na Utalii maarufu kama Serengeti Awards zitafanyika Disemba 19, 2025 jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari Septemba 27, 2025 katika…
Rais Samia ampongeza Simbu kwa ushindi wa Dunia, Amkabidhi Nyumba jijini Dodoma
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amempongeza Mwanariadha Alphonse Simbu kwa kuwa Bingwa wa Dunia wa mbio za marathon za Tokyo na kwamba ataendelea kutoa kipaumbele katika sekta ya michezo ili itoe mchango zaidi katika kukuza uchumi wa nchi…
Mgombea Ubunge Buchosa Asisitiza Kuthamini Rasilimali Za Nchi – Video
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa kwa tiketi ya CCM, Eric Shigongo, amesema anajivunia kuwa Mtanzania na kuwataka wananchi wa Kata ya Kafunzo kuthamini utajiri wa rasilimali zilizopo nchini.
Shigongo alitoa kauli hiyo alipokuwa…
Tanzania Yalaani Matumizi Ya Nguvu Katika Migogoro – Video
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inalaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa na kupelekea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro hali inayopelekea ukatili…
Kiwanja Kinauzwa – Bagamoyo, Kaole Magambani
Kiwanja kipo Bagamoyo, Kaole Magambani (Nyuma ya Bagamoyo Secondary School) katika eneo tulivu na salama.
Umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami
Umbali wa mita 500 pekee kutoka ufukweni mwa bahari
📏 Ukubwa…
Pumzi za Moto Wikiendi Hii, Ligi Kuu ya Uingereza na Meridianbet
Ligi Kuu ya Uingereza inageuka kuwa uwanja wa mapigano wikiendi hii, mechi zimejaa mvutano, vita ya kupigania alama tatu na nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi. Meridianbet imeweka odds za kuvutia, sasa ni wakati wa kuchukua hatua na…
Askari Wajengewa Uwezo Kwa Kupatiwa Elimu Ya Uchaguzi
Jeshi la Polisi wilaya ya Arusha kwa kushirikiana na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), limetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa, Wakaguzi na Askari kwa ajili ya kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu katika mchakato…
DC Kigamboni Apokea Vifaa Tiba Kutoka Benki ya NMB
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya jana September 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika Jamii.
DC Dalmia amesema vifaa vilivyotolewa ni…
Jinsi ya Kujua Kiasi cha Maji Kinachofaa kwa Mwili Wako, Soma Hapa
Maji ni msingi wa afya ya mwili. Yana jukumu la kusafisha sumu mwilini, kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kulinda afya ya ngozi, kudhibiti presha, na kuweka mwili ukiwa na nguvu. Ndiyo maana kila mtu anatakiwa kunywa maji ya kutosha kila…
Wasira Aungana na Dkt. Nchimbi Katika Mazishi ya Abbas Mwinyi
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Stephen Wasira ameungana na Mgombea mwenza wa Urais Dkt. Emmanuel Nchimbi na viongozi mbalimbali kushiriki mazishi ya Mtoto wa Rais Mstaafu Hayati Ali Hassan Mwinyi, Abbas Ali…
Benki Ya Exim Ikishirikiana Na Mind Matters Yaunga Mkono Mafanikio Ya Wanawake Kupitia Mafunzo Ya…
Dar es Salaam, 27 Septemba 2025: Benki ya Exim Tanzania, kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (Women Empowerment Program – WEP) chini ya ‘Exim Cares’, imejitokeza kama Mdhamini Mkuu wa Mafunzo ya ‘Mindful Leadership Training…
Meridianbet Yagawa Vifaa Kinga kwa Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi
Ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuchangia maendeleo ya jamii, kampuni ya Meridianbet imeonesha moyo wa huruma kwa kugawa vifaa kinga kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), ikiwa ni hatua ya kuwalinda dhidi ya athari kali za jua.…
Mgogoro Wa Nyumba Msasani: Mjane Aomba Zuio La Muda
Alice Hause ambaye ni Mjane wa marehemu Justice Rugaibula leo September 25,2025 amewasilisha maombi madogo Na.24541/2025 katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, akiomba zuio la muda la kutoondolewa kwenye nyumba iliyopo Kiwanja Na.819,…
Rais Samia Na Viongozi Wengine Wamfariji Dkt. Mwinyi Kufuatia Kifo Cha Kaka Yake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amepokea mkono wa pole kufuatia kifo cha kaka yake, Abbas Ali Mwinyi, kilichotokea jana tarehe 25 Septemba 2025.
Katika kuonesha mshikamano wa…
Yas na ZTE Wazindua BLADE A36 na A76 Kukuza Matumizi ya Simu za Mkononi na Huduma za Kidigitali
Dar es Salaam – 26 Septemba 2025: Katika jitihada za kuongeza upatikanaji wa simu za mkononi na kukuza matumizi ya huduma za kidijitali nchini Tanzania, kampuni inayoongoza kwa huduma za kidijitali zaidi, Yas, ikishirikiana na ZTE,…