Browsing Category
Habari
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 10, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Utawala wa Kikatili Waanguka Nepal, Waziri Mkuu Mstaafu Apata Kipigo
Nchini Nepal, hali ya kisiasa imeingia katika sura mpya baada ya utawala uliotajwa na wananchi wengi kuwa wa kikatili kuporomoka kwa kishindo. Anguko hilo limeibua maandamano makubwa ya furaha mitaani huku wananchi wakishangilia kile…
Samia Azungumza na Wananchi wa Ikungi, Atoa Ahadi Kuu za Maendeleo (Picha +Video)
Wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Ikungi Mashariki, wilayani Manyoni mkoani Singida, wamejitokeza kwa wingi leo Jumanne, Septemba 9, 2025, kushiriki mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu…
Exim Bank Na GF Automobile Waingia Ushirikiano Kurahisisha Umiliki Wa Magari
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Shani Kinswaga (Kushoto) na Mkurugenzi wa GF Automobile Bw. Mujtaba Karmali (Kulia) wakisaini makubaliano ya ushirikiano katika ofisi za GF Automobile jijini Dar es Salaam tarehe 10 Septemba…
Wananchi Dar Watakiwa Kupaka Rangi Majengo Yao Kabla ya Septemba 30
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Elihuruma Mabelya, ametoa agizo kwa wananchi wote jijini Dar es Salaam kupaka rangi majengo yao, hususan katika maeneo ya Kariakoo, Mchikichini, Jangwani, Kivukoni, Kisutu, Gerezani,…
Alipambana sana kupata mapenzi ya huyu binti bila mafanikio ila leo hii wapo pamoja
Yona alikuwa kijana mnyenyekevu na mwenye heshima kubwa katika kijiji chao kilichopo Kagera. Alikuwa mchapakazi, akijishughulisha na biashara ndogo ndogo za kuuza vifaa vya nyumbani sokoni. Kwa umbo na tabia, Yona hakuwa mtu wa…
Dkt. Nchimbi Awahutubia Wananchi wa Jimbo la Kwela, Sumbawanga Vijijini
MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la Kwela katika Uwanja wa Laela A,Sumbawanga Vijijini katika…
NIRC Yaridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Skimu Ya Makwale-Kyela
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopord Runji, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ujenzi wa skimu ya Umwagiliaji Makwale, iliyopo Kyela mkoani Mbeya.…
Tajiri wa Madini Aliyefilisika Arejea Tena Katika Biashara kwa Kishindo
Katika kijiji kidogo kilichopo Tarime, aliishi kijana aitwaye Benedicto. Alizaliwa katika familia ya kimasikini sana, familia ambayo mara nyingi ililala njaa na kuamka bila matumaini ya kesho. Wazazi wake walikuwa wakulima wadogo wa…
Wananchi Kome Wampokea Shigongo Kwa Shangwe, Aahidi Mshikamano
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amepokelewa kwa hamasa kubwa na wakazi wa Kisiwa cha Kome mara baada ya kuwasili kisiwani hapo.
Ziara hiyo imefuata baada ya mchakato wa kura za…
Dar Yashuhudia Usiku wa Kipekee wa Amarula Sundown Sessions
Jumapili, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam lilijaa shangwe pale Amarula Sundown Sessions lilipofanyika – tukio la kipekee lililokusanya mastaa, influencers, na wageni mashuhuri kutoka kila kona ya jiji.
Usiku huo ulikuwa…
Polisi: Wanahabari Arusha washikiliwa kwa kuendesha mitandao bila usajili
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu kushikiliwa kwa wanahabari wawili, Baraka Lucas, mwakilishi wa Jambo TV mkoani Arusha, na Ezekiel Mollel wa Manara TV.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Septemba 07, 2025 na…
Video: Rostam avunja ukimya kuhusu ununuzi wa mgodi wa Mwadui
Mfanyabiashara mkubwa nchini, Rostam Aziz ameeleza jinsi alivyofanikiwa kununua mgodi wa almasi wa Mwadui uliozusha gumzo siku kadhaa zilizopita kwenye mitandao ya kijamii.
Rostam amesema hajanunua mgodi huo kutoka kwa serikali bali…
Mgombea mwenza wa CCM, Dkt. Nchimbi, apiga kambi Kagera kusaka kura za kishindo
MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili katika uwanja wa Kashai,Bukoba mjini kuwahutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 8, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Mabilioni Kuwainua Wakulima Wa Viungo Tanzania
Wafanyakazi katika kiwanda cha kuchakata viungo Cha Horizon Group wakitayarisha mazao hayo katika mji wa Kaduna. Nigeria. Wakulima wa Viungo nchini Tanzania, Nigeria na Madagascar watanufaika na mipango kabambe wa maboresho ya…
Samia: Serikali Italipa Madai Halali ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa serikali yake itahakikisha madai yote halali ya waliokuwa wafanyakazi wa Kiwanda cha Karatasi…
Jamii Forums Yafungiwa Siku 90 na TCRA kwa Maudhui Yenye Utata
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda wa siku 90 leseni ya huduma za maudhui mtandaoni ya kampuni ya Vapper Tech Limited, wamiliki wa jukwaa maarufu la JamiiForums, kufuatia tuhuma za kuchapisha maudhui yanayodaiwa…
Iringa Yatikisika! Dkt. Samia Apokelewa Kwa Shangwe Nyororo – (Video +Picha)
Wananchi wa Nyororo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wamemiminika kwa wingi kumpokea na kumpongeza Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipowasili eneo hilo…
DAWASA Yatoa Onyo: Mradi wa Usafi Mbezi Beach Kukamilika Bila Kusuasua
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amemuagiza
Mkandarasi wa Mradi wa Usafi wa mazingira Mbezi Beach Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group…
Msanii Rose Ndauka Anusurika Ajali ya Gari, Amshukuru Mungu!
Msanii wa filamu na muziki, Rose Ndauka, amenusurika katika ajali ya gari na kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rose alishiriki picha za gari lililopata ajali huku akiandika ujumbe mfupi uliojaa…
League One Yazidi Kunoga Meridianbet Waweka Odds Kali Leo
Jumamosi ya kibabe imefika, mechi za Mataifa mbalimbali zinaendelea kwani kila timu inajifua kufuzu Kombe la Dunia 2026. Meridianbet wao wanakwmabia kuwa nafasi ya wewe kuibuka na mkwanja mrefu ipo hapa. Usingoje kupitwa na ODDS kubwa…
Thailand Yampata Waziri Mkuu Mpya Baada ya Msukosuko wa Kisiasa
Bunge la Thailand limemchagua mfanyabiashara Anutin Charnvirakul kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo, ikiwa ni kiongozi wa tatu kushika nafasi hiyo katika kipindi cha miaka miwili.
Anutin, ambaye ni kiongozi wa chama cha Bhumjaithai,…
Mataifa 26 Yajitolea Kuunga Mkono Ukraine Kijeshi
Washirika 26 wa Magharibi wamejitolea rasmi kupeleka wanajeshi “nchi kavu, baharini au angani” kwenda Ukraine, siku moja tu baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kufikiwa, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza.
Akizungumza…
Meridianbet Kuja na Meridian Bonanza Yenye Ushindi Mfululizo
Katika zama hizi ambapo michezo ya kubashiri mtandaoni inazidi kuchukua nafasi kubwa kwenye burudani ya kidijitali, Meridianbet imezidi kujiimarisha zaidi kwa wateja wake kwani hivi sasa imeizindua Meridian Bonanza, mchezo wa kasino wa…
Columbia Africa Yaingia Tanzania Kwa Kuinunua IST Clinic
Dar es Salaam, Tanzania – Septemba 7, 2025. Columbia Africa Healthcare Limited imetangaza ununuzi wa IST Clinic, kituo maarufu cha huduma za afya kilichopo Dar es Salaam. Kupitia ununuzi huu wa hisa kwa asilimia 100, Columbia Africa…
Kiwanja Kinauzwa – Bagamoyo, Kaole Magambani
Kiwanja kipo Bagamoyo, Kaole Magambani (Nyuma ya Bagamoyo Secondary School) katika eneo tulivu na salama.
Umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami
Umbali wa mita 500 pekee kutoka ufukweni mwa bahari
📏 Ukubwa…
China na Tanzania Washirikiana Kukuza Ujuzi wa Ufundi kwa Vijana
Ushirikiano wa kielimu kati ya Tanzania na China umechukua hatua mpya baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya ubunifu ya “Kichina + Ujuzi wa Ufundi”, yanayotekelezwa kwa pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na VETA Kipawa.
Mafunzo…
Nmb bank Yatambuliwa Katika Maadhimisho ya Miaka 10 ya JKCI
Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imesema imeokoa zaidi ya Sh. bilioni 172 ambazo awali zilitumika kupeleka wagonjwa wa moyo nje ya nchi. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na…
Samia: Serikali ya CCM Inafanya Kazi kwa Kuheshimu Utu wa Mtanzania
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 5, 2025, amesimama kuwasalimia na kuomba kura kwa maelfu ya wananchi wa Jimbo la Uyole, Mbeya, waliokuwa…
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Atunuku Tuzo Ya Chakula Barani Afrika
Wanasayansi wanawake wawili – Profesa Mary Abukutsa-Onyango kutoka Kenya na Mercy Diebiru-Ojo kutoka Nigeria – wametangazwa washindi wa Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025 (Africa Food Prize 2025).
Tuzo hiyo, yenye thamani…
Rais Mwinyi aungana na Waislamu Maulid ya Kitaifa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, usiku wa Septemba 4, 2025, ameungana na maelfu ya waumini wa Kiislamu katika Maulid ya Kitaifa ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W), yaliyofanyika…
SBL Yaendeleza Uwekezaji Kwa Vijana Kupitia Programu Ya Learning For Life Arusha
Arusha, 6 Septemba 2025: Kampuni ya Bia ya Serengeti kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) wamezindua rasmi awamu ya pili ya programu ya Learning for Life katika Tawi la NCT Arusha. Wakitanua ushirikiano ulioanzishwa jijini…
Magari 15 Yanaswa kwa Kubeba Namba Moja ‘SSH 2530’ – Video
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata jumla ya magari 15 kwa kosa la kubandika namba za usajili bandia “SSH 2530”, kinyume cha sheria za usalama barabarani.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Septemba 04,…
Nilichekwa Kwa Kutupa Kila Kitu Kwenye Betting, Lakini Siri Niliyopata Imenigeuza Milionea
Jina langu ni Kevin kutoka Nakuru. Wakati mwingi watu walinitazama kama mjinga na mpotevu. Nilipoacha kazi yangu ya kawaida ili kuingia kwenye betting, marafiki walinikimbia, familia ilinikemea na hata jirani zangu walinicheka mchana…
Mpenzi wangu kila mwezi ananipa milioni 1.5 ya matumizi ila nina wasiwasi
Jina langu ni Aisha, nina umri wa miaka 23. Kwa bahati au majaliwa, nimejikuta kwenye mahusiano na mwanaume Amani, mwenye umri wa miaka 43. Amani ana nafasi kubwa kitaifa, lakini kazi zake nyingi zipo nje ya nchi.
Kwa upande wa…
Dkt. Samia Aingia Mbeya Kwa Kishindo, Maelfu Wajitokeza Mbalizi (Picha +Video)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 4, amewasili wilayani Mbalizi, mkoa wa Mbeya, na kupokelewa kwa shangwe na maelfu ya wananchi.
Wananchi…
Ukraine Yapinga Pendekezo la Putin la Mkutano Moscow
KIEV, Ukraine – Ukraine imekataa pendekezo la Rais wa Urusi, Vladimir Putin, la kwamba Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, aende Moscow kwa ajili ya mkutano wa pamoja.
Taarifa hiyo imetolewa mapema leo, Alhamisi Septemba 4, 2025, na…
CHAUMMA Jimbo la Segerea Kwazidi Kuwaka
Chama cha CHAUMMA katika Jimbo la Segerea, kumezidi kuwaka. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia makundi ya wanachama kuzidi kukihama chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho, Agnesta Kaiz.…
Kuelekea Siku Ya Kuzuia Kujiua Duniani Dkt. Kimambo Azindua Kliniki Mahsusi Ya Afya Ya Akili Kwa…
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani tarehe 10 Septemba, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, amezindua kliniki mahsusi ya afya ya akili kwa ajili ya wafanyakazi wa hospitali hiyo…