Browsing Category
Habari
Waliotaka Kumteka Tarimo Wafungwa Miaka Saba Jela
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni imewahukumu vijana wanne, akiwemo askari mmoja na mabondia wawili, kifungo cha miaka saba jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo.
Hata…
Rais mpya wa Madagascar ateua Waziri Mkuu wa kiraia baada ya mapinduzi ya kijeshi
ANTANANARIVO, Madagascar — Rais mpya wa muda wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amemteua Herintsalama Rajaonarivelo kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyomng’oa madarakani aliyekuwa Rais Andry…
RC Chalamila Amkabidhi Hati ya Nyumba Mjane wa Marehemu Rugaibula, Atoa Pia Milioni 10 – Video
Dar es Salaam, Oktoba 20, 2025 — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi rasmi hati ya nyumba Mjane wa marehemu Justus Rugaibula, Bi Alice Nyamwiza Haule, iliyopo eneo la Msasani Beach, Kiwanja Na. 819, baada ya…
Ndege Ya Mizigo Ya Emirates Yatumbukia Baharini Hong Kong, Watu Wawili Wafariki
Ndege ya mizigo iliyokuwa ikielekea kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hong Kong imepoteza mwelekeo na kutumbukia baharini leo alfajiri.
Kwa mujibu wa mamlaka za usafiri wa anga, ndege hiyo aina ya Boeing 747-400(BDSF) ilikuwa…
Kilimanjaro International Marathon 2026 Ilivyozinduliwa Dar
Toleo la 24 la Mbio za Kimataifa za Masafa Marefu za Kilimanjaro Premium Lager limezinduliwa rasmi leo Ijumaa wakati wa hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam, tukio ambalo limekuwa likisubiriwa kwa hamu.…
Dkt. Samia: Rukwa Ni Hazina ya Madini, Serikali Itaendelea Kuwezesha Wachimbaji Wadogo
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema mkoa wa Rukwa una utajiri mkubwa wa madini ukiwemo makaa ya mawe, vito, dhahabu na shaba, huku akibainisha kuwa…
Dkt. Mpango Awataka Viongozi wa Dini Kuendelea Kukuza Maadili na Uadilifu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa taasisi za dini kutambua wajibu wa kuendelea kusimama katika nafasi yake ya kuombea taifa, kufundisha imani ya kweli ya Mungu, kukemea maovu katika…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 20, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Usikose Mkwanja wa Ligi Mbalimbali na Meridianbet
Unakuwaje tayari kukosa mkwanja ukiwa na Meridianbet?. Mechi kibao zitaendelea leo hii huku wewe pia ukiwa na nafasi ya kuibuka mshindi. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanakusubiri sasa.
Ligi ya itaendelea ni hii ya Uturuki, yaani…
Mwili wa Hayati Raila Odinga Wazikwa Kwa Heshima Siaya – Video
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Hayati Raila Amolo Odinga, umezikwa leo katika makazi yake ya nyumbani, Kang’oka Ka Jaramogi, Kaunti ya Siaya.
Mazishi hayo ya kitaifa yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje…
Uhamiaji Yatoa Kauli Rasmi Kuhusu Safari ya John Heche
Idara ya Uhamiaji nchini imetoa taarifa ikieleza kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Wegesa Heche, alondoka nchini kupitia mpaka wa Sirari, wilayani Tarime, bila kufuata taratibu na kanuni za…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 19, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Dkt. Nchimbi Awasalimia Wananchi wa Mikumi Akielekea Kilombero
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasalimia na kuwahutubia Wananchi wa kata ya Kidoma,Mikumi wakati akielekea kwenye mkutano wake mwingine wa…
Wanawake Wajasiliamali Wanufaika Na Kampeni Ya “Jambo Kubwa Linakuja, Bluu Inatawala”
Taasisi isiyo ya kiserikali ya Bluu imeendelea na kampeni yake ya "JAMBO KUBWA LINAKUJA, BLUU INATAWALA" kwa kutoa msaada wa kifedha kwa wanawake wajasiriamali katika masoko ya Makumbusho na Kawe, ili kuwawezesha kukuza mitaji yao na…
Street University Yarejea kwa Kishindo Kikubwa Jijini Mwanza
Baada ya kipindi kirefu cha kusubiri, Street University imerudi tena kwa kishindo kikubwa!
Mwasisi wake, Eric James Shigongo, amewaalika vijana kutoka vyuo na vyuo vikuu kushiriki katika kongamano maalum litakalowasha moto wa fikra,…
Padre Aliyepotea Apatikana Akiwa Hai Mkoani Ruvuma – Video
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limethibitisha kumpata Padre Camillus Nikata, wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) – Mwanza, baada ya kuripotiwa kupotea tangu Oktoba…
Jaji Mkuu Masaju amuapisha Hillary Massala kuwa Hakimu Mkazi
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju Oktoba 17, 2025 amemuapisha Hillary Massala Kuzenza kuwa Hakimu Mkazi kwenye ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma.
Masaju amemtaka Hakimu huyo…
Nmb Yawano Wananchi, Vikundi Vya Kijamii Kimanzichana
PROGRAMU Endelevu ya usambazaji wa Elimu ya Fedha, Huduma Jumuishi za Kibenki, Utunzaji Mazingira na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi vijijini ‘NMB Kijiji Day,’ imeendelea wikiendi iliyopita katika…
Makamu wa Rais Dkt. Mpango Atoa Heshima za Mwisho kwa Raila Odinga Jijini Nairobi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ametoa heshima za mwisho kwa mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, marehemu Raila Amolo Odinga, katika Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo, tarehe 17…
Ibada ya Kitaifa ya Kumuaga Raila Odinga Yafanyika Nairobi
Ibada ya kitaifa ya kumuaga Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, marehemu Raila Amolo Odinga, imefanyika leo jijini Nairobi, ikiunganisha maelfu ya waombolezaji, viongozi wa kitaifa na wageni wa kimataifa waliokuja kutoa heshima zao za…
Odinga Alipokutana Live na Mwandishi wa Global na Kumshangaza
Nikiwa mwandishi na mpiga picha wa kawaida sana nisiye na makuu Novemba 27 mwaka 2011 nilikuwa mpiga picha wa matukio uzinduzi wa iliyokuwa Mall ya kisasa kabisa ya kwa kipindi hicho napengine hata sasa kama ingeendelea kuwepo lakini…
Mkulima Singida Ahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Kumbaka Mjukuu Wake
Mahakama ya Wilaya ya Singida imemhukumu Hamis Said Debwa (65), mkulima na mkazi wa Mnung’una, kifungo cha maisha jela kwa kosa la ulawiti na kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na maharimu.
Mshitakiwa alitenda makosa hayo…
Serikali Yapandisha Kima cha Chini cha Mshahara kwa Sekta Binafsi kwa Asilimia 33.4
Serikali imetangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa sekta binafsi kwa wastani wa asilimia 33.4, kutoka Sh275,060 hadi Sh358,322 kwa mwezi.
Akizungumza leo Oktoba 17, 2025, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu…
TBL Yafanya Maadhimisho ya Global Beer Responsible Day
Dar es salaam, 17 Oktoba, 2025. Kampuni ya bia Tanzania Breweries Plc (TBL), ambayo ni kuwa sehemu ya familia ya AB InBev, leo imefanya maadhimisho ya Global Beer Responsible Day katika mikoa minne: Mwanza, Mbeya, Arusha na Dar es…
Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaahirishwa Ili Shahidi Atumie Kompyuta Kutambua Vielelezo
Kesi ya Uhaini inayomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu imeahirishwa kwa muda mpaka saa tisa kamili Alasiri baada ya Mahakama kutaka shahidi apate kompyuta itakayomuwezesha kutambua kama vielelezo alivyokabidhiwa ni sahihi.
Hii…
Vodacom Tanzania Kupitia VTV Yazindua Filamu Ya “NIKO SAWA” Inayochochea Mazungumzo Muhimu Kuhusu…
Dar es Salaam, 17 Oktoba 2025: Vodacom Tanzania PLC imetangaza uzinduzi wa filamu ya “NIKO SAWA”, filamu ya kipekee ya Kitanzania inayopatikanaw kupitia VTV, programu inayokuwezesha kuangalia tamthilia na filamu mbalimbali kwa njia ya…
Dkt. Philip Mpango Awasili Nairobi Kumuwakilisha Rais Samia katika Mazishi ya Raila Odinga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 17 Oktoba 2025 amewasili Nairobi nchini Kenya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mazishi ya…
Bluu Yagusa Maisha Ya Wagonjwa Hospitali Ya Mwananyamala Na Amana
Taasisi isiyo ya kiserikali ya Bluu imeendelea kurudisha kwa jamii kwa kuwasaidia watu wenye uhitaji katika maeneo mbalimbali, ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwananyamala na Hospitali ya Amana, kwa kuwapatia kiasi cha fedha kwa ajili…
Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Ashiriki Mkutano Wa Dharura Wa Wakuu Wa Nchi Wa SADC Kuhusu Hali Ya…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ Troika Summit)…
Mahakama yakataa ombi la kusitisha mazishi ya Raila Odinga – familia yapata ruhusa kuendelea
Mahakama Kuu nchini Kenya imekataa ombi lililowasilishwa na kundi la watu waliotaka kusitishwa kwa muda kwa mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, wakidai kuwepo kwa sababu maalum zinazohitaji uchunguzi zaidi kabla ya…
Mke wa Akon Atikisa Dunia Afungua Kesi ya Talaka, Adai Euro Milioni 100
Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Akon, anakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kifamilia na kifedha baada ya mke wake, Tomeka Thiam, kufungua kesi ya talaka kufuatia ndoa yao ya miaka 29.
Kilichowashangaza wengi ni kwamba nyaraka za…
Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali Yapanga Mageuzi Makubwa Sekta ya Kilimo
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Amesema…
Rc Chalamila Atembelea Na Kukagua Miundombinu Ya Tanesco Dsm
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea kituo kikuu cha kuzalisha umeme TANESCO kilichopo Ubungo Jijini Dar es salaam pamoja na vituo vya kupoza umeme vya mabibo na Mbagala ikiwa ni katika kukagua…
Rais Ruto Aongoza Viongozi Kuuaga Mwili wa Raila Odinga Kasarani
Shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Amolo Odinga, imeanza leo katika Uwanja wa Kasarani, jijini Nairobi, ambapo maelfu ya wananchi na viongozi mbalimbali wamejitokeza kutoa heshima zao za mwisho.…
Jeshi la Ulinzi la Wananchi latoa tamko kuhusu uchaguzi
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tamko rasmi likieleza kuwa linaendelea kufuatilia kwa karibu hali ya Ulinzi na Usalama nchini katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 na 29 Oktoba…
Puma Energy Yazindua Kituo Cha Mafuta Mbezi Beach
Dar-es-Salaam, Puma energy Tanzania imezindua kituo cha mafuta na huduma za ziada ili kurahisha huduma za ziada kwa wateja wao.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Leo, Octoba 17, 2025, jijini hapo, Mkurugenzi Mtendaji wa Puma…
Mwili wa Raila Odinga Wawasili Nchini Kenya, Wapokelewa na Rais Ruto JKIA – Video
Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga, umewasili nchini Kenya leo asubuhi kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA), ukitokea nchini India ambako alikuwa akipokea matibabu.
Rais wa Kenya…
Waziri Mkuu Majaliwa Mgeni Rasmi Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Chakula
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 16, 2025 ni mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Tanga, kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari Usagara.
Madhimisho hayo ambayo…
Ratiba ya Mazishi ya Raila Odinga Yatolewa – Maziko Kufanyika Jumapili Bondo, Siaya
Ratiba ya Mazishi ya Raila Jumapili Yatolewa Kamati ya Kitaifa inayoandaa Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga imetangaza kwamba mazishi yake yatafanyika Jumapili nyumbani kwake Bondo, Kaunti ya Siaya,…
Meridianbet Virtuals: Burudani isiyo na kikomo, ushindi wa papo kwa papo!
Katika ulimwengu wa michezo unaokua kwa kasi, Meridianbet inasalia mstari wa mbele kwa ubunifu na teknolojia. Kupitia Virtual Betting, chapa hii imeleta mapinduzi makubwa katika burudani ya michezo ya kubashiri, ikiunganisha kasi,…