×

Habari

Jacqueline Wolper Afichua Tabia za Kajala, Aunty Ezekiel na Irene Uwoya

Staa wa filamu za Bongo na mfanyabiashara, Jacqueline Wolper, amefunguka kuhusu tabia za marafiki zake wa karibu akiwemo Kajala Masanja,...

READ MORE

Iran Yadai Kushambulia Kituo cha Marekani Syria, Yatoa Tishio Jipya Hormuz

Iran kupitia Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC) imedai kuwa imefanya shambulio dhidi ya kile ilichokitaja kuwa kituo cha operesheni...

READ MORE

MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia

Kampuni ya MiXX imeendelea kuwafurahisha wateja wake kupitia kampeni ya “Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu… Golii!”, inayowapa nafasi watumiaji...

READ MORE

Hal Williams Aaga Dunia, Aacha Urithi Mkubwa Hollywood

Mwigizaji mkongwe wa Marekani, Hal Williams, anayekumbukwa zaidi kwa nafasi yake ya Afisa “Smitty” Smith katika kipindi maarufu cha televisheni...

READ MORE

Kisa cha Kusikitisha: Mwanamke Afanya Mauaji Kisa Wivu wa Mapenzi, Afungwa Maisha

Tamarac, Florida, Marekani — Mahakama nchini Marekani ilimhukumu, Sakiyna Thompson mwenye umri wa miaka 31 kifungo cha maisha jela bila...

READ MORE

Euromoney Yaitaja Nmb Benki Bora Zaidi Tanzania Kwa Wafanyabiashara

  Benki ya NMB Plc imetajwa kuwa Benki Bora Zaidi nchini kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati katika Tuzo za...

READ MORE

Umoja Wenye Malengo Kukabili Changamoto Zinazoibuka, SADC

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 16, 2026 ameongoza Kikao cha Baraza...

READ MORE

Makipa Wanne Wawania Glovu ya Dhahabu Kombe la Dunia 2026

Vita ya kuwania Glovu ya Dhahabu inaendelea kuwa kubwa kati ya walinda milango wanne ambao wanapewa nafasi kubwa kwenye Taji...

READ MORE

Mahakama Kuu Yafuta Kesi ya Kupinga Ushindi wa Ubunge wa Baba Levo Jimbo la Kigoma Mjini

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Kigoma, imeifuta kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Jimbo la Kigoma Mjini yaliyompa...

READ MORE

Urithi wa Mkapa Watajwa Kuwa Chachu ya Ushirikiano Katika Sekta ya Afya

Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuwekeza katika teknolojia na kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali ili...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM Afanya Mazungumzo na Balozi wa Norway Nchini

Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Asha-Rose Migiro, amefanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone...

READ MORE

Iran Yaionya Marekani, Yashambulia Mataifa Yanayohifadhi Vikosi Vyake

Mvutano wa kijeshi kati ya Iran na Marekani umeingia katika hatua mpya baada ya Iran kurusha makombora na ndege zisizo...

READ MORE

CHADEMA Yamsimamisha Joseph Selasini, Yampa Siku 14 Kujitetea

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemsimamisha kufanya shughuli zote za chama aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Rombo, Joseph Roman...

READ MORE

Kama Unapenda Sinema, Hizi Ndizo Filamu 7 Usizopaswa Kukosa 2026

MWAKA 2026 umeendelea kuwapa mashabiki wa filamu kazi zenye ubunifu mkubwa kutoka kwa waongozaji mahiri duniani. Kuanzia drama za kihistoria,...

READ MORE

Vodacom Yazindua Mashindano ya Golf Kuimarisha Uhusiano wa Kibiashara Nchini

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 16, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Airtel Yawapa Vijana Ujuzi wa Kubadili Taka za Kielektroniki kuwa Biashara

Dar es Salaam, Julai 15, 2026 – Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kwa kuwajengea ujuzi wa...

READ MORE

MWAUWASA Yazidi Kuimarisha Upatikanaji wa Maji Misungwi, Zaidi ya Wakazi 22,000  

Kupitia Mradi wa Kuboresha Mfumo wa Usambazaji Maji katika Mji wa Misungwi, MWAUWASA imeendelea kuboresha upatikanaji wa huduma ya Maji...

READ MORE

Nyangumi wa Bahati! Meridian Scatter Whale Yaleta Msisimko Mpya wa Kasino

Kama unatafuta mchezo wa kasino unaoweza kukupa burudani ya kiwango cha juu huku ukikusisimua kwa kila spin unayofanya, basi Meridianbet...

READ MORE

Kifo cha Mwanasoka Kijana Nolan Wells Chazua Maswali, Uchunguzi Bado Unaendelea

KIFO cha mwanasoka kijana wa Marekani, Nolan Wells, mwenye umri wa miaka 18, kimeendelea kuzua maswali mengi huku uchunguzi wa...

READ MORE

Trump Aondoa Mpango wa Kutoza Ada ya 20% kwa Meli Zinazopita Hormuz

WASHINGTON: Rais wa Marekani, Donald Trump, ameondoa mpango wa kutoza ada ya asilimia 20 kwa meli zinazotumia Mlango wa Bahari...

READ MORE

Oryx Yazindua Kitabu cha Matumizi Salama ya LPG, Yasaini Mkataba na Skauti

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imezindua rasmi Kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG na wakati huohuo...

READ MORE

Netanyahu Atoa Onyo Kali kwa Iran “Tutalipiza Kisasi Mara Mbili”

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameonya kuwa nchi yake italipiza kisasi kwa “nguvu zaidi” iwapo itashambuliwa tena na Iran,...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kula Machungwa Kila Siku

Machungwa ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi, lakini nyuma ya ladha yake tamu kuna...

READ MORE

Airtel Yaimarisha Upatikanaji Wa Huduma Za Kidijitali Kwa Wananchi Kwa Ajili Ya Kukuza Uchumi Endelevu

Dar es Salaam, 15 Julai, 2026 – Airtel Tanzania imezindua duka la kisasa la Airtel eneo la Shekilango lililopo Wilaya...

READ MORE

Osha Yatajwa Miongoni Mwa Taasisi za Kimkakati Nchini

Mkurugenzi Msaidizi wa Sehemu ya Usimamizi Rasilimali Watu katika Taasisi za Umma-Ofisi ya Msajili wa Hazina, Bw. Hussein Kakurwa, akiwasilisha...

READ MORE

NMB Yatambuliwa Marekani Kwa Ubunifu wa Bima Kidijitali

  Benki ya NMB imetwaa tuzo ya Best Bancassurance Innovation and Partner of the Year – Tanzania 2026 kutoka World...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 15, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Rubio azindua kampeni ya kupinga Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema serikali ya Marekani imeanzisha kampeni ya kupinga Mahakama ya Kimataifa...

READ MORE

Matunda 5 Yanayosaidia Kuimarisha Afya ya Figo

Lishe sahihi ina mchango mkubwa katika kulinda na kuboresha afya ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, uchaguzi wa...

READ MORE

Bakwata Yawasimamisha Kazi Masheikh Watatu wa Mikoa, Yumo Sheikh Walid wa Dar

Baraza la Ulamaa la Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewasimamisha kazi masheikh watatu wa mikoa baada ya kubaini kuwa...

READ MORE

RC Chalamila Akutana na Ujumbe Kutoka Jiji la Yokohama-Japan

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 14, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe...

READ MORE

Simulizi ya Kusikitisha: Mwanamke Aua Wanaume 11, Ahukumiwa Kifo na Kifungo cha Miaka 10

Wakati wengi huingia kwenye ndoa wakiamini ni mwanzo wa maisha mapya yaliyojaa upendo, kwa baadhi ya wanaume nchini Iran safari...

READ MORE

Rais Samia Amteua Asha Dachi Kuwa Mkurugenzi Mkuu Mpya wa TBC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Asha Dachi kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la...

READ MORE

Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataja Eneo la Siri la Pickaxe Mountain

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani itaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran na kutangaza kuwa moja ya maeneo yanayolengwa...

READ MORE

Iran Yajibu Pendekezo la Trump la Ushuru Hormuz “Asilimia 20 Ni Kubwa, Tutatoza Nafuu Zaidi”

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejibu pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutoza ushuru...

READ MORE

CCM Yamkosoa Othman Masoud Kwa Kutaja Ajenda za Vikao vya Pamoja Zanzibar

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimeeleza kutoridhishwa na kauli ya Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, kwa kutaja baadhi...

READ MORE

Houthis Warusha Makombora Saudi Arabia Baada ya Miaka Minne ya Utulivu – Video

Harakati za Houthi nchini Yemen zimerusha makombora kuelekea Saudi Arabia, hatua iliyovunja kipindi cha takribani miaka minne cha utulivu kati...

READ MORE

Trump: Tutachukua Usimamizi wa Mlango wa Hormuz na Kulipwa Mabilioni

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani inaweza kuchukua jukumu la kuusimamia na kuulinda Mlango wa Bahari wa Hormuz (Strait...

READ MORE