×

Habari

Marekani Yaangusha Drones za Iran, Yapiga Vituo vya Rada Hormuz

Jeshi la Marekani limesema limeangusha ndege nne zisizo na rubani (drones) za Iran zilizokuwa zikielekea katika Mlango wa Bahari wa...

READ MORE

Fahamu Filamu 100 Bora Kuanzia Mwaka 2000 -2026, ‘Parasite’ Ya Korea Kusini Yaongoza

Tovuti maarufu ya mapitio ya filamu Rotten Tomatoes imetoa orodha ya filamu 100 bora za karne ya 21 (2000-2026) zilizopata...

READ MORE

Trump: Marekani Haihitaji Makubaliano Kupata Uranium Iran, Aibua Hofu Mashariki ya Kati

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani haihitaji makubaliano ya kidiplomasia na Iran ili kupata uranium iliyorutubishwa kutoka nchini...

READ MORE

Mixx Yajivunia Ongezeko la Wateja Kupitia Kampeni ya ‘Kila Muamala ni Bao la Ushindi

Kampuni ya Mixx imejivunia kuendelea kuongezeka kwa idadi ya wateja wake pamoja na matumizi ya huduma zake za kifedha kidijitali...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mazungumzo ya Kiuchumi Jijini St. Petersburg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji kati...

READ MORE

Makamu wa Rais Ahimiza Ushirikiano Katika Uhifadhi wa Mazingira (Picha +Video)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito wa kutumia Maadhimsho ya Siku...

READ MORE

Madonna Azua Taharuki Baada ya Kuning’inia Kwenye Kingo za Jukwaa

Mwanamuziki maarufu duniani Madonna amewaacha mashabiki wengi wakiwa na hofu kubwa baada ya kning’inia kwenye kingo za jukwaa akiwa kwenye...

READ MORE

Fahamu Mabasi ya Kifahari Yanayotumiwa na Timu Kubwa Ulaya

Timu kubwa za soka barani Ulaya zimeendelea kuwekeza katika usafiri wa kisasa kwa ajili ya wachezaji na benchi la ufundi,...

READ MORE

Finland na Tanzania Waimarisha Ubia wa Sekta ya Misitu Kupitia Jukwaa la Biashara na Uwekezaji

Ubalozi wa Finland nchini Tanzania, kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania kupitia Mpango wa...

READ MORE

Oryx Gas Yaongoza Usafi Soko la Feri Kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani

KATIKA kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, kampuni ya Oryx Gas imefanya usafi katika Soko la Kimataifa la Samaki Feri jijini...

READ MORE

Je, Soko la Tanzania Liko Tayari Kwa Ubunifu wa Kiwango cha Dunia?

Kwa miaka mingi, chapa nyingi nchini Tanzania zipo kila mahali lakini ni ngumu mtu kuzikumbuka. Nembo kubwa jukwaani, DJ’s maarufu,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 5, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

YAS Yaahidi Mawasiliano Bora Kwa Watalii Kupitia KiliFair 2026

Arusha, Juni 2026 – Kampuni ya Mawasiliano ya Yas imetumia Maonesho ya Utalii ya Karibu-KiliFair 2026 yanayoendelea jijini Arusha kuonesha...

READ MORE

Polisi Zanzibar Watoa Hitimisho la Kifo cha Ashlee Robinson, Uchunguzi Wabaini Alijinyonga

Jeshi la Polisi Zanzibar kupitia Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai limetoa taarifa ya uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaharakati...

READ MORE

Rais Samia Aandika Historia Atunukiwa Udaktari wa Heshima Moscow (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Peoples’...

READ MORE

Trump Kumteua Todd Blanche Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Kudumu

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kumteua Todd Blanche kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa kudumu (Attorney General), hatua inayotarajiwa...

READ MORE

Siri ya Mimba ya Mapacha: Fahamu Kwa Nini Mtoto Mmoja “Hupotea”?

Vanishing Twin Syndrome (kwa Kiswahili: pacha anayepotea) ni hali ya mimba ambapo mwanzo wa ujauzito huwa na mapacha (vijusi viwili),...

READ MORE

Spika Zungu Awashukia Wabunge Waliosafiri Morocco Bila Kibali

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu amesema Wabunge waliokwenda Rabat, Morocco kushuhudia michuano ya...

READ MORE

Wabunge wa Republican Wawaunga Mkono Democrats Kumpinga Trump

Bunge la Wawakilishi nchini Marekani limepitisha azimio la kupunguza mamlaka ya Rais Donald Trump katika vita dhidi ya Iran, hatua...

READ MORE

Video: Ajali ya Kutisha Tunduru, Lori la Mafuta Lateketea, Dereva Afariki

Dereva wa lori la mafuta, Adam Abraham (46), mkazi wa Boko-Bunju jijini Dar es Salaam, amefariki Dunia baada la gari...

READ MORE

Hospitali ya Ebola Yateketezwa Baada ya Kisa cha Kijana Kufariki

Umati wenye hasira umechoma moto sehemu ya hospitali inayowahudumia wagonjwa wa Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...

READ MORE

Exclusive: Mchungaji Msigwa Afichua Mazito, Sababu Kurudi Chadema Tume Ya Chande -Video

Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo aliyerejea ndani ya chama hicho baada ya awali kuhamia CCM, Peter Msigwa amesema...

READ MORE

Video: Dada wa Mtanzania wa Aliyekamatwa Oman Afunguka Mazito Global TV

Dada wa Mtanzania, Ashura Abdul Salum, amezungumza na Global TV kupitia kipindi cha #Mapito na kueleza hali ya mdogo wake...

READ MORE

Trump Ataka Kukutana na Kiongozi wa Iran, Afunguka Vita Israel na Lebanon – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema angependa kukutana na kiongozi wa juu wa Iran, Mojtaba Khamenei, huku akibainisha kuwa huenda...

READ MORE

Fahamu Kicheche: Mnyama Mdogo Mwenye Tabia za Kuvutia

Kicheche ni mnyama mdogo jamii ya Nguchiro wanaopatikana sehemu mbalimbali duniani. Wanyama hawa hutofautiana mwonekano kutokana maeneo walipo lakini kimsingi...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Rolls-Royce Phantom 2026, Ustadi, Utulivu na Hadhi ya Kifahari

Kwenye ulimwengu wa magari ya kifahari, kuna majina machache tu yanayobeba hadhi ya juu kiasi cha kusababisha watu kusimama na...

READ MORE

Rais Mwinyi Aipongeza Nmb Kwa Kuunga Mkono Uchumi wa Zanzibar

Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea banda la Benki ya...

READ MORE

Video: Makonda Awaomba Watanzania Kuwapa Morali Serengeti Boys

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha anawatunza, anawalea na...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mazungumzo na Putin Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo rasmi na Rais...

READ MORE

Kafulila: Ubunifu na Taasisi Imara Ndio Nguvu ya Uchumi wa Taifa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema moja ya...

READ MORE

Rais Samia Aweka Shada la Maua Kaburi la Askari Asiyejulikana Moscow

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka shada la maua katika Kaburi la Askari Asiyejulikana...

READ MORE

Mashambulizi ya Makombora Yazidisha Hali ya Taharuki Mashariki ya Kati – Video

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka kwa kasi baada ya Iran kudai kuhusika na mashambulizi dhidi ya maeneo ya...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Petroli Yashuka Dar, Serikali Yaweka Ruzuku Kwenye Dizeli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi bei mpya za kikomo za bidhaa za mafuta...

READ MORE

Senegal Watwaa Ubingwa wa AFCON U-17 Baada ya Kuifunga Tanzania Kwa Penalti (Picha +Video)

Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika...

READ MORE

Mambo 8 ya Kujua Kabla ya Kuchukua Gari la Kukodi ‘Usifanye Makosa’

Kukodisha gari kumekuwa suluhisho rahisi kwa watu wengi wanaosafiri kikazi, kitalii au kwa matumizi ya muda mfupi. Iwe unasafiri ndani...

READ MORE

Fahamu Tofauti Kati ya UTI na Malaria Unazopaswa Kuzijua

Kuna watu hujikuta wakiwa na homa na kudai wana malaria kumbe ni ugonjwa wa UTI. Tunawalete tofauti za magonjwa hayo....

READ MORE

Kesi Mpya Yaibuka Dhidi ya Diddy, Ofisi ya D.A. Yachunguza Ushahidi

Los Angeles, Marekani — Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Jimbo la Los Angeles (D.A.) inaendelea kufanya mapitio ya kesi mpya...

READ MORE

Waliokosa Fursa Serena Watakiwa Kufika GEL Kupata Huduma Kama za Maonesho

WAZAZI na wanafunzi nchini wamefurahishwa na maonesho ya vyuo vikuu Malaysia ambavyo vimewapa fursa mbalimbali za masomo nchini humo kwenye...

READ MORE

Mfumo wa Pamoja wa Kielektroniki Kurahisiha Mazingira Ya Biashara Zanzibar

NAIBU Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar, Saleh Haji Pandu, amesema kuwa Mfumo wa Pamoja wa Uondoshaji wa...

READ MORE

Rais wa Tanzania Samia Apokelewa Kwa Heshima Urusi Katika Ziara ya Kitaifa (Picha +Video)

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa inayotarajiwa kuanza rasmi Juni 3 hadi Juni...

READ MORE