×

Habari

Wakazi Wa Mtwara Kunufaika Na Huduma Za Kidijitali Kupitia Duka Jipya La Yas

Mtwara, 14 Aprili 2026 – Wakazi wa Mtwara na maeneo ya jirani wanatarajiwa kunufaika na upatikanaji rahisi na wa haraka...

READ MORE

Yas Tanzania Yawafikia Wakazi 4,000 Iramba kwa Huduma za Macho

Kampuni ya Mawasiliano Yas kwa kushirikiana na Taasisi ya Bilal Muslim Mission of Tanzania, imefanya kambi maalum ya huduma za...

READ MORE

Fahamu Bajeti na Maandalizi ya Safari ya Kihistoria ya Artemis II

Safari ya kurudi Mwezini kwa binadamu kupitia mpango wa NASA inaendelea kuvutia hisia za dunia, hasa kupitia misheni ya Artemis...

READ MORE

China Yapuuza Vikwazo vya Marekani Hormuz, Meli Yake Yapita Karibu na Manowari za Marekani Bila Kuzuiwa

Mvutano wa kimataifa umeongezeka baada ya China kuonekana kupuuza hatua ya Marekani ya kuweka kizuizi katika Mlango wa Strait of...

READ MORE

Airtel Yahamasisha Malipo ya Kidijitali, Mwalimu Ashinda Mazda ya Tatu

Airtel Tanzania imemtangaza Jogrey Pascal Paul, mwalimu wa Jiografia kutoka Shule ya Sekondari Hai, kuwa mshindi wa tatu wa gari...

READ MORE

Polisi Wamshikilia Mpenzi wa Marehemu Ashly Jenae Uchunguzi wa Kifo Nungwi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja linaendelea kuimarisha usalama wa raia na mali zao kwa kushirikiana na vyombo vingine...

READ MORE

Papa Atembelea Msikiti Mkuwa Algeria, Ahamasisha Mazungumzo ya Dini na Amani

Papa Leo XIV ameanza rasmi safari yake ya kitume barani Afrika kwa kutembelea Msikiti Mkuu wa Algiers, ambapo alisisitiza umuhimu...

READ MORE

Trump Aondoa Picha ya AI Iliyoonyesha Akiwa Kama Yesu Kwenye Mtandao Wake wa Kijamii

Rais wa Donald Trump ameondoa picha ya akili mnemba (AI) aliyoiweka kwenye mtandao wake wa kijamii baada ya kukosolewa vikali...

READ MORE

Kiongozi wa Hezbollah Akataa Mazungumzo ya Israel na Lebanon Nchini Marekani

Kiongozi wa Hezbollah, Naim Qassem, ametangaza wazi kupinga mazungumzo yanayotarajiwa kufanyika kati ya mabalozi wa Lebanon na Israel jijini Washington,...

READ MORE

Dokta Cheni Aeleza Mazingira ya Kifo cha Mdogo Wake Aliyefariki Kwa Ajali – Video

Msanii wa filamu na mshereheshaji maarufu wa Bongo, MC Dr Cheni, ameeleza kwa masikitiko makubwa mazingira ya kifo cha mdogo...

READ MORE

UNDP na Finland Wawekeza Katika Biashara Endelevu Tanzania

United Nations Development Programme (UNDP) Tanzania, kupitia programu yake ya ubunifu ya FUNGUO, imezindua rasmi Biashara Ndogo, Ndogo na za...

READ MORE

Marekani Yapendekeza Kusimamishwa kwa Miaka 20 kwa Urutubishaji wa Uranium wa Iran

Marekani imependekeza kusimamishwa kwa angalau miaka 20 kwa shughuli za urutubishaji wa uranium za Iran, ikiwa ni sehemu ya mazungumzo...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Nchemba Ateta na Balozi wa Slovakia Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa Mwigulu Nchemba Aprili 13, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo rasmi na Balozi wa Slovakia nchini Tanzania, Ivan...

READ MORE

Rais wa Iran Alaani Kauli za Trump Dhidi ya Papa Leo XIV

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amejiingiza katika mjadala unaoendelea kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Kanisa...

READ MORE

Fahamu Wasifu wa Wanaanga wa Artemis II na Elimu Zilizowafikisha Mwezini

Safari ya kihistoria ya Artemis II haikuwategemea tu teknolojia ya hali ya juu, bali pia uwezo, taaluma na uzoefu wa...

READ MORE

Pipijojo Aachia Video ya “Siachiki” Kazi Yake Ya Kwanza Chini ya Nandy

Msanii Pipijojo ameachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa “Siachiki”, ikiwa ni kazi yake ya kwanza tangu kujiunga na lebo...

READ MORE

Askofu Barron Amtaka Trump Kumuomba Radhi Papa Leo XIV

Askofu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani, Robert Barron, amesema Rais wa Marekani Donald Trump anapaswa kumuomba radhi Kiongozi wa Kanisa...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Nchemba Aongoza Harambee ya Mei Mosi 2026 – Yachangwa Bilioni 1.105

Waziri Mkuu wa Mwigulu Nchemba ameongoza rasmi harambee ya kuchangia maandalizi ya sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)...

READ MORE

Papa Amjibu Vikali Trump Baada ya Kauli Zake, Asema Haogopi Vitisho

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Pope Leo XIV, amemjibu vikali Rais wa Marekani Donald Trump kufuatia kauli kali zilizotolewa dhidi...

READ MORE

Marekani Yatoa Onyo Kali Kwa Meli Zitakazokiuka Zuio Dhidi ya Iran Zitakamatwa

Jeshi la Marekani kupitia U.S. Central Command (CENTCOM) limetoa onyo kali kwa meli zote zinazosafiri katika eneo la Ghuba ya...

READ MORE

Polisi Zanzibar Watoa Taarifa Rasmi Kuhusu Kifo cha Mtalii wa Marekani

Polisi Zanzibar wamethibitisha kuwa kifo cha mwanamke raia wa Marekani mwenye umri wa miaka 31, Ashly Robinson maarufu mtandaoni kama...

READ MORE

Rais Samia na Katibu Mkuu wa EAC Wajadili Ushirikiano wa Kikanda Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya...

READ MORE

Sababu Zilizofanya Mazungumzo ya Amani Iran na Marekani Kuyeyuka Islamabad – Video

Mazungumzo ya kihistoria kati ya Marekani na Iran yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan, yamehitimishwa bila mafanikio, yakiacha taswira ya matumaini yaliyodumu...

READ MORE

Mtoto wa Miaka Miwili Afariki Baada ya Kula Nepi Marekani, Wazazi Wakamatwa

Tukio la kusikitisha limeripotiwa katika Jimbo la Indiana, Marekani, ambapo mtoto wa miaka miwili amefariki dunia kutokana na kile kinachoshukiwa...

READ MORE

DCEA Yakamata Kilo 1,983 Za Dawa Za Kulevya, Yabaini Mitandao Mipya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema imefanikiwa kukamata jumla ya kilogramu 1,983.31 za dawa za...

READ MORE

Taharuki ya Mafuta: Meli Zakimbia Hormuz Baada ya Zuio la Marekani Kuanzia leo Jumatatu

Wasiwasi umeongezeka katika masoko ya nishati duniani baada ya meli kadhaa za mafuta kuanza kubadili njia na kuepuka kupita katika...

READ MORE

Burudani Mpya Mtandaoni: Leprechaun Wish Waja na Fursa Nyingi za Ushindi

Kama unatafuta raha ya kweli kwenye ubashiri, basi Meridianbet wamekuja na kitu kipya kinachowasha moto zaidi. Mchezo wa Leprechaun Wish...

READ MORE

Katibu Mkuu Migiro Awasilisha Salaam Za Dkt. Samia Kwa Rais wa Sahrawi

Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara (SADR),...

READ MORE

Mboga 5 za Mizizi Zinazofanya Macho Yako Kuangalia Vizuri Kila Siku!

Vyakula vyenye antioxidants na vitamini vina mchango mkubwa katika kulinda afya ya macho. Kwa mujibu wa Dkt. Duong Minh Phuc...

READ MORE

Lalji Foundation Yaendesha Kambi Ya Matibabu Ya Macho Bure Kigoma

Taasisi ya Lalji Foundation, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo Kigoma Hilltop Hotel, Ahlulybayt Academic Center, Vision 4 All Eye...

READ MORE

Mwigulu Akagua Ujenzi wa Barabara Kubwa Chamwino, Atoa Maagizo

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Ntyuka–Mvumi–Kikombo yenye urefu wa kilomita 76...

READ MORE

NASA: Artemis II Yaleta Hamasa kwa Kizazi Kijacho cha Wanasayansi

Meneja wa Programu ya Orion katika NASA, Howard Hu, amesema anatumaini mafanikio ya misheni ya Artemis II yatahamasisha watoto wengi...

READ MORE

NASA Yaandika Historia: Artemis II Yamalizika Baada ya Safari ya Siku 10 Kuelekea Mwezi na Kurudi

Misheni ya Artemis II ya Shirika la anga la Marekani NASA imekamilika rasmi Aprili 11, 2026 baada ya wanaanga wanne...

READ MORE

Yas Yaongoza Mageuzi ya Kidijitali, Yachangia Asilimia 33 ya Mradi

Dar es Salaam, 10 Aprili 2026 – Muungano wa watoa huduma za mawasiliano nchini (Telco Operators Consortium) umekamilisha rasmi ujenzi...

READ MORE

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu. Asidi hii...

READ MORE

Waziri Homera Akabidhi Magari Mawili TANESCO Kuboresha Huduma ya Umeme

Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Dk. Juma Zuberi Homera, Aprili 11, 2026, amekabidhi rasmi magari mawili kwa ofisi ya TANESCO...

READ MORE

Chalamila: Hakuna Tatizo la Mafuta, Mwenge wa Uhuru Kuwasili Dar Aprili 13 – Video

Serikali imetoa uhakika wa upatikanaji wa mafuta nchini kwa asilimia 100, ikisisitiza kuwa hakuna upungufu unaotarajiwa kwa sasa na kwamba...

READ MORE

Trump Awakaribisha Wanaanga wa Artemis II White House

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anatarajia kukutana na wafanyakazi wa misheni ya Artemis II katika Ikulu ya Marekani baada...

READ MORE

BAKITA Yamteua Hersi Said Kuwa Balozi wa Kiswahili Duniani

Bodi ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) imemteua rasmi Rais wa Klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said, kuwa balozi wa...

READ MORE

NASA Yajipanga kwa Misheni ya Artemis III Baada ya Mafanikio ya Artemis II

Baada ya kufanikiwa kwa misheni ya Artemis II na kurejea salama kwa wanaanga wake, Shirika la anga la Marekani (NASA)...

READ MORE