×

Habari

ALAT Yapokea Msukumo Mpya Baada ya NMB Kuchangia Sh Milioni 100

Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh milioni 100 kwa ajili ya kusaidia maandalizi na uendeshaji wa Mkutano Mkuu wa...

READ MORE

Makonda: Acheni Kubeza Nchi, Jengeni Taswira Chanya Kuvutia Fursa.

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imesaini mkataba wa kuwa mwenyeji wa mashindano ya 74 ya Miss...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Fedha za Muungano Zisaidie Ukarabati wa Barabara Nchini

Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 62...

READ MORE

Waandishi Wamwashia Moto Madam Ritha Wataka Asusiwe na Vyombo vya Habari

Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanywa na Madam Rita dhidi ya chombo...

READ MORE

Polisi Yamkaribisha Kamishna Mkama kwa Ushindi

Kikosi cha Polisi Tanzania kimeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Transit Camp ya Dar es Salaam katika mchezo...

READ MORE

Trump Amzuia JD Vance Kuongoza Mazungumzo na Iran Kwa Sababu za Kiusalama

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Makamu wa Rais, JD Vance, hataongoza ujumbe wa Marekani katika mazungumzo mapya na...

READ MORE

Yuvenali Shirima Kuitangaza Tanzania Kimataifa Kongamano Kubwa la Wahasibu Afrika Mashariki

Kongamano la 5 la Wahasibu wa Afrika Mashariki(EACOA2026) linatarajia kuanzia Aprili 22 hadi 24 Jijini Bujumbura Nchini Burundi ambalo litakutanisha...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji wa Bilioni 17 Chamwino

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 19, 2026 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Maji wa Miji 28...

READ MORE

Waziri Ulega: Nyasanho ni Mfano wa Kuigwa

Waziri Ulega akiongoza Harambee kuchangia ujenzi wa shule na Zahanati Kijiji cha Musati Waziri wa Ujenzi, Abdalah Ulega ameongoza harambee...

READ MORE

Mnara wa 4G Wafungua Milango ya Maendeleo Daluni Kisiwani, Mkinga

Wananchi wa Kijiji cha Daluni Kisiwani na vijiji vya jirani, wilayani Mkinga mkoani Tanga, wameanza kunufaika na huduma bora za...

READ MORE

Trump: Iran Haiwezi Kutuogopesha Kwa Kufunga Mlango wa Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani haitakubali kushinikizwa wala kuwekewa masharti na Iran, huku akisisitiza msimamo mkali wa...

READ MORE

Iran Yafunga Tena Mlango wa Hormuz, Yashambulia Meli Zinazojaribu Kupita

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka tena baada ya Iran kutangaza kufunga upya Strait of Hormuz na kushambulia meli...

READ MORE

Kikwete Akutana na Ruto Nairobi Kujadili Amani ya Sudan Kusini

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa...

READ MORE

Kafulila Aeleza Kwa Kina Dhana ya Ubia (PPP), Aondoa Mkanganyiko kwa Wananchi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, ametoa ufafanuzi wa...

READ MORE

Fahamu Madhara ya Kuendesha Gari Taa ya Mafuta Ikiwa Inawaka

Madereva wengi wana tabia ya kupuuza taa ya mafuta pale inapowaka kwenye dashboard ya gari, wakiamini bado wanaweza kusafiri umbali...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akagua Maendeleo Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu, Arusha

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba leo Aprili 17, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu unaojengwa mkoani...

READ MORE

Meridianbet Yawasha Tena Taa Ya Matumaini Kijitonyama Kisiwani

Mitaa ya Kijitonyama Kisiwani ilisimama kidogo, si kwa kelele za magari wala pilikapilika za kawaida, bali kwa ujio wa Meridianbet...

READ MORE

JWTZ Yatangaza Nafasi za Kujiunga na Jeshi, Mwisho Aprili 28, 2026

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania kuanzia wahitimu wa...

READ MORE

Trump Aeleza Mafanikio Makubwa Katika Mazungumzo na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani iko karibu sana kufikia makubaliano na Iran, hatua inayoweza kupunguza mvutano uliodumu...

READ MORE

Madiwani CCCM Watinga Bungeni Kwa Mwaliko wa Mbunge wa CHAUMMA

Mbunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe. Agnesta Kaiza, leo amewaalika Waheshimiwa Madiwani wa...

READ MORE

Utata Wagubika Kifo cha Waziri wa Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga Akiwa Ndani ya Gari

Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika kile...

READ MORE

Papa Leo Awashambulia “Madikteta” Wanaotumia Mabilioni Kwenye Vita, Atoa Wito wa Amani

Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Pope Leo XIV, ametoa kauli kali akiwakosoa viongozi wa dunia wanaotumia mabilioni ya fedha kuendesha vita...

READ MORE

Kenani: Uamuzi wa Mahakama Kuhusu CHADEMA Ni Ushahidi wa Uhuru wa Mahakama

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi (Mwenezi), ameeleza kuwa uamuzi wa mahakama kuruhusu CHADEMA kuendelea na...

READ MORE

Milioni. 500/- Zachangwa na Nmb Kupanua Huduma za Hospitali ya Benjamin Mkapa

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akishuhudia makabidhiano ya mfano wa hundi ya Sh. Milioni 250 kati ya...

READ MORE

Marekani Yaitishia Iran Kutumia Nguvu Endapo Haitatii Zuio la Baharini, Iran Yajibu

Marekani imeongeza presha kwa Iran baada ya kutoa onyo kali kuwa iko tayari kutumia nguvu endapo haitatii zuio la baharini...

READ MORE

SBL Yazindua Serengeti Apple, Kinywaji cha Kwanza Chenye Ladha na Hadhi ya Kipekee Kilichotengenezwa Tanzania

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kinywaji kipya cha Serengeti Premium Apple, kikitajwa kuwa bidhaa ya kwanza ya aina...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Afungua Kongamano la Biashara na Uwekezaji Ziwa Tanganyika

  WAZIRI MKUU Mwigulu Nchemba leo Aprili 16, 2026 amefungua Kongamano la Biashara na Uwekezaji la Ziwa Tanganyika (The Lake...

READ MORE

Malema Ahukumiwa Miaka Mitano Baada ya Kupatikana na Hatia ya Kufyatua Risasi

Mwanasiasa wa upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya...

READ MORE

Rais Samia Afungua Mkutano Wa Kimataifa Wa Madaktari Bingwa Wa Upasuaji Wa Ubongo Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 16, 2026 amefungua rasmi Mkutano wa Pili wa...

READ MORE

Israel na Lebanon Kusitisha Mapigano kwa Muda wa Siku 10

Leo, Alhamisi, Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, alitangaza kuwa makubaliano ya kihistoria yamefikiwa kati ya Israel na Lebanon...

READ MORE

Watuhumiwa Sita Wakamatwa kwa Tuhuma za Mauaji ya Polisi Arusha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Askari Polisi Roland Mollel,...

READ MORE

Trump Aibua Mabishano Baada ya Kushare Picha ya Yesu Akimkumbatia Mtandaoni

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kushirikisha picha inayodaiwa kutengenezwa kwa teknolojia ya AI, ikimuonesha...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasili Kigoma Kufungua Kongamano la Uwekezaji Ziwa Tanganyika

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili mkoani Kigoma hii leo, Alhamisi Aprili 16, 2026, ambako anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika...

READ MORE

Iran Yatoa Onyo la Kufunga Red Sea na Njia za Biashara Baharini

Jeshi la Iran limetoa onyo kali likisema huenda likazuia shughuli za biashara katika Bahari ya Shamu (Red Sea), Ghuba ya...

READ MORE

Papa Leo XIV Aendelea Kusisitiza Amani na Umoja Wakati Trump Akiendelea Kumkosoa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Pope Leo XIV ameendelea kusisitiza ujumbe wa amani, mazungumzo na umoja wa watu, huku ukosoaji...

READ MORE

Mbunge Eric Swalwell Ajiuzulu Baada ya Tuhuma Nzito za Unyanyasaji wa Kingono

Mbunge wa Marekani, Eric Swalwell, ametangaza rasmi mpango wake wa kujiuzulu kutoka Bunge la Marekani kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa...

READ MORE

Familia ya Ashly Yachangisha Pesa Mtandaoni Kurejesha Mwili Marekani

Familia ya Ashly Robinson, anayejulikana pia kama Ashlee Jenae, inaendelea kukabiliana na mshtuko mkubwa kufuatia kifo chake cha ghafla huku...

READ MORE

Mahakama ya Rufani Yarejesha Shughuli za Kisiasa za Chadema

Mahakama ya Rufani Kanda ya Dodoma, Aprili 15, 2026 imetengua maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyokizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

China Yakana Madai ya Trump Kuhusu Msaada wa Silaha kwa Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump amedai kuwa China imekubali kutosambaza silaha kwa Iran, kauli ambayo imezua mjadala mpya katika siasa...

READ MORE

Spearhead Studios Yazindua Zaidi ya Michezo 90 Mpya ya Kasino

Kama ulikuwa unahisi Meridianbet tayari wamefika mwisho wa ubora, basi bado hujaona kitu. Mchezo umebadilika rasmi baada ya Spearhead Studios,...

READ MORE