×

Habari

Barabara ya Jangwani Yafungwa kutokana na mafuriko, DART Wafunguka!

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka DART umewaarifu watumiaji wa mabasi ya – Mfumo wa DART kuwa leo, Juni 19, 2024,...

READ MORE

CRDB, NALA Kuwapa Diaspora Urahisi wa Kutuma Fedha Nyumbani

  Benki ya CRDB leo imetangaza ushirikiano na kampuni ya Nala kuwawezesha Watanzania waishio nje ya nchi ‘Diaspora’ kutuma fedha...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Afrika Kusini kuhudhuria hafla ya Uapisho wa Rais mteule Cyril Ramaphosa

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili katika uwanja wa Ndege wa Waterkloof Pretoria nchini...

READ MORE

Rais Samia Kushiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule, Cyril Ramaphosa Afrika Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Afrika Kusini leo jioni kwa...

READ MORE

RAS Kilimanjaro Afariki Dunia Kwa Ajali

KATIBU Tawala Mkoa wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda amefariki Dunia katika ajali ambayo imetokea eneo la Njia panda ya...

READ MORE

Makala Maalum Kuhusu ya Mafanikio ya TANROADS

MAKALA MAALUM KUHUSU MAFANIKIO YA TANROADS KWENYE UJENZI WA MIUNDOMBINU MKOANI KAGERA Mafanikio hayo hii leo yanaangazia Wakala wa Barabara...

READ MORE

Mafunzo ya BRELA Kwa Waandishi wa Habari Yazinduliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari kwa lengo la kuwajengea uwezo namna...

READ MORE

Putin afanya ziara yake ya kwanza Korea Kaskazini baada ya miaka 24

Rais wa Russia Vladimir Putin anatarajiwa kuwasili mjini Pyongyang leo Jumanne katika ziara nadra ambayo inaweza kupelekea kusainiwa “mkataba wa...

READ MORE

Watu wanane wafariki kwenye ajali ya treni ya India

Treni moja ya mizigo imegongana na nyingine ya abiria kwenye jimbo la mashariki mwa India la West Bengal mapema Jumatatu,...

READ MORE

Cheza kasino ya mtandaoni na uwe tajiri! Expanse Tournament inatoa mzigo mkubwa

Endelea kucheza kasino ya mtandaoni na uwe tajiri! Expanse Tournament inatoa mzigo mkubwa wa washindi 40, jishindie bonsai za kasino...

READ MORE

Majaliwa: Watanzania Tuendelee Kudumisha Amani, Upendo Na Mshikamano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo...

READ MORE

Rais Samia Aswali Swala ya Eid Al Adha katika Msikiti wa Mikocheni, Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia akiwa leo Juni 17, 2024 aswali swala ya Sala ya Eid Al...

READ MORE

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Swala ya Eid na Baraza la Eid Kitaifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2024 ameswali swala ya Idd El-Adh’haa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI BAKWATA,...

READ MORE

Amend Na Ubalozi Wa Uswiss Tanzania Wameendelea Kutoa Mafunzo Ya Usalama Barabarani

SHIRIKA la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswiss nchini Tanzania wameendelea na kampeni ya kutoa mafunzo ya usalama barabarani...

READ MORE

Rais Samia Asherehekea Siku Ya Mtoto Wa Afrika Pamoja Na Wajukuu Ikulu Jijini Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu,...

READ MORE

WCF Watoa Elimu Ya Mfuko wa Fidia kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari

Vyombo vya habari nchini vimehimizwa kushirikiana na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) katika kutoa elimu na habari sahihi kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza RC, DC Kufanya Mapitio Ya Vikundi Vya Jogging

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kufanya mapitio ya vikundi vyote vya Jogging...

READ MORE

Makamu wa Rais Akiwasili Malawi Kushiriki Mazishi

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege...

READ MORE

Agizo la Waziri Silaa Kutekelezwa, Waliovamia Eneo la NSSF Kuanza Kuondolewa

*Mkuu wa Wilaya ya Temeke afika eneo la tukio na kutoa angalizo. Hatimaye waliovamia ardhi ya Mfuko wa Taifa wa...

READ MORE

Waziri Ummy Akutana na Kufanya Mazungumzo na Kido, Balozi wa Kampeni ya Holela-Holela Itakukosti

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo amekutana na kufanyia mazungumzo na KIDO ambaye ni balozi wa kampeni ya Holela-Holela itakukosti....

READ MORE

Mwanajeshi Ashtakiwa Kumuambukiza kwa makusudi virusi vya Ukimwi mpenzi wake – Video

Mwanajeshi wa zamani wa Afrika Kusini akutwa na hatia ya kutaka kuua na kubaka baada ya kumuambukiza makusudi virusi vya...

READ MORE

Rais Samia Amteua Thobias Makoba kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Afanya Uteuzi Viongozi Mbalimbali – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali...

READ MORE

Ramaphosa kutangaza baraza la mawaziri jumuishi katika serikali ya umoja wa kitaifa

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, aliyechaguliwa tena kwa muhula wa pili baada ya chama chake cha ANC kudhoofika na...

READ MORE

Kampuni Na Ubalozi Wasitisha Mkataba Na Kipanya Kisa Tuhuma Za Mwijaku – Video

Wanasheria wanaomwakilisha Masoud Kipanya, wamewaambia waandishi wa habari kwamba kwene barua walitomuandikia Mwijaku, walimueleza kuwa anatakiwa kumlipa mteja wao kiasi...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa amezindua Kiwanda cha kutengeneza virutubishi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua Kiwanda cha kutengeneza virutubishi (premix blending plant), cha kampuni ya SANKU – PHC Tanzania. Viongozi...

READ MORE

Wanafunzi wa Kike 2000 Kunufaika na Mradi wa ‘Code Like a Girl’

  ZAIDI ya wasichana 2000 wenye umri kati ya miaka 14-18 kutoka shule za sekondari zilizopo kutoka mikoa ya Mwanza,Mbeya...

READ MORE

Cyril Ramaphosa Achaguliwa Tena kuwa Rais wa Afrika Kusini

Bunge nchini Afrika Kusini limemchagua tena Rais Cyril Ramaphosa kuwa Rais wa nchi kwa muhula mwingine tena baada ya kufanyika...

READ MORE

Waziri Silaa Aingilia Mgogoro wa Ardhi Mapinga Uliotaka Zaidi ya Nyumba 100 Zivunjwe

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa ardhi uliozua taharuki katika eneo la...

READ MORE

Chongolo Amwapisha Elias Mwandobo Kuwa Mkuu Mpya wa Wilaya ya Momba

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemwapisha Mkuu Mpya wa Wilaya ya Momba, Elias Mwandobo, uapisho uliofanyika Juni 14,2024...

READ MORE

Mwijaku Amuomba Radhi Mtangazaji Mwenziye Masoud Kipanya – Video

Mtangazaji na muamasishaji wa mambo mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii Burtoin Mwenda ‘Mwijaku’ amemuomba radhi Mtangazaji mwenziye Masoud Kipanya kwa...

READ MORE

ALAF Limited Yazindua Maonyesho Ya Kazi DIT

ALAF Limited, kampuni inayoongoza na inayoaminiwa kwa kuzalisha vifaa vya ujenzi Tanzania, Jumamosi ilizindua Maonyesho ya kazi kwenye Taasisi ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 15, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Soma Hapa… Makadirio Na Matumizi Ya Bajeti Kuu 2024/2025 – Video

Waziri wa Fedha ,Mwigulu Nchemba amesema serikali imesikia kilio cha kikokotoo kutoka kwa wastaafu ambapo sasa Rais Samia Sukuhu Hassan…

READ MORE

Naibu Waziri Chande Aipa Kongole Benki ya Mkombozi

NAIBU Waziri wa Fedha, Hamad Chande ameipongeza Benki ya Biashara ya Mkombozi,kuwa imepanda kutoka hatua moja kwenda nyingine ndani ya...

READ MORE

Jeshi la Sudan lauwa kamanda wa RSF, Darfur

Jeshi la Sudan limesema Ijumaa kwamba limemuua Ali Yagoub Gibril, kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kijeshi la...

READ MORE

Picha ya Pamoja ya Zuhura Yunus na Mhe. Rais Samia Baada ya Kuapishwa

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, akiwa kwenye picha ya...

READ MORE

Sahara Ventures Yaitangaza Rasmi Sahara Sparks 2024

[Juni 14, 2024, Dar es Salaam] – Sahara Ventures yatangaza rasami tukio la Sahara Sparks 2024 litakalo fanyika tarehe 27...

READ MORE

Mrembo Aliyemuibia Mpenzi Wake Mamilioni Akamatwa Hotelini

Kuna muda mwingine msamaha huchukuliwa kama aina fulani ya udhaifu, na hayo ndio yaliyompata Jones Ouko ambaye anafanya kazi ya...

READ MORE

Waziri wa Fedha, Dk Mwingulu Ataja Takwimu za Kutisha Ajali Barabarani

Waziri wa Fedha, Dk Mwingulu Nchemba ameweka hadharani takwimu za kustaajabisha kuhusu ajali za vyombo vya moto 10,093 zilizosababisha vifo...

READ MORE

Bilioni 136.2 Zimetumika Urejeshaji Wa Miundombinu Barabara Na Madaraja

Serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 136.2 kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakala ya Barabara za Mijini na Vijijini...

READ MORE