×

Habari

Kutoka Simu Janja Mpaka Runinga, Umuhimu wa Usalama wa Taarifa Zako Mitandaoni

Nani alishawahi kufikiria kwamba itafika siku ambayo vile unavyolinda simu yako dhidi ya uhalifu wa mtandaoni ndivyo itakavyokuja kuwa sawa...

READ MORE

Mwanamke wa Marekani atuhumiwa kuiba vitambulisho ili kuwapa kazi Wakorea

Waendesha mashtaka wa Marekani wamemshutumu mwanamke wa Marekani kwa kuwasaidia Wakorea Kaskazini kupata kazi nchini Marekani wakiwa mbali na kisha...

READ MORE

Kassim Majaliwa: Tanzania Imepiga Hatua Kwenye Mawasiliano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na teknolojia...

READ MORE

Serikali ya Rais Samia Yaishukuru Canada Kwa Misaada Inayotoa

Tanzania imeishukuru Canada kwa misaada inayotoa kwa Serikali ambayo imekuwa ikiunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Anadi Utamaduni Wa Tanzania China

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ametoa rai kwa watanzania waishio nje ya nchi kutangaza Utamaduni wa...

READ MORE

Benki Ya CRDB Yamkabidhi RC Makonda Pikipiki 20 Kuimarisha Usalama

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amekabidhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda jumla ya Pikipiki...

READ MORE

Jukwaa Sekta ya Madini Kufanyika Arusha Mei 22

  JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024...

READ MORE

Mkuu Wa Wilaya Ya Karatu Apokea Misaada Ya Waathirika Wa Mafuriko Kutoka Kwa Wadau

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mh. Dadi Harace Kolimba amepokea misaada ya vitu mbalimbali kutoka Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo...

READ MORE

Roboti Eunice Awa Gumzo Mitandaoni, Awakaribisha wageni Bungeni

Miongoni mwa mambo yaliyokuwa kivutio kikubwa nje ya Ukumbi wa Bunge asubuhi ya leo, ilikuwa ni uwepo wa roboti Eunice...

READ MORE

Shigongo: Mkitupa Ruzuku Mtatufunga Midomo, Kwa Nini TBC Ishindane Na Private Kwenye Matangazo – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema vijana wengi wa Kitanzania wana vipaji vikubwa vya ubunifu lakini wanakosa mitaji na kusisitiza...

READ MORE

Waziri Nape Awasilisha Makadirio Ya Bajeti Wizara Ya Habari – Video

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema serikali imedhamiria kuleta mapinduzi ya Kidigitali kupitia Mpango wa...

READ MORE

Amazing Tanzania Yazinduliwa Kwa Kujaza Mastaa Beijing Opera House

Nyota wa filamu nchini China Jin Si Sui, akijulikana zaidi kwa jina la Jin Dong, ambaye ndiye mgeni mashuhuri katika...

READ MORE

Mwili Wakutwa na Silaha Bila Kibali Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili Nerbat Mwasile (33) Mkazi wa Ifumbo na Isaya Julias Zumba (38) Mkazi...

READ MORE

TENMET Wachanga Zaidi ya Mil 18.6 Kutatua Changamoto Za Elimu, Geita

Mwenyekiti wa Bodi ya wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TenMeT), Bi. Faraja Nyalandu akitoa hotuba yake kwenye kilele cha Madhimisho ya Juma...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Slovakia Apigwa Risasi Mashariki Mwa Bratislava

Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico anapambania maisha yake hospitalini baada ya kupigwa risasi katika mji mdogo kaskazini-mashariki mwa Bratislava....

READ MORE

Wakulima Wa Chai Nchini Kuwezeshwa Na Benki Ya Azania Kupitia Akaunti Maalum

Benki ya Azania hii leo imetiliana saini na Chama kilele cha Ushirika wa Wakulima wa Chai, TASTGCU, mkataba ambao Benki...

READ MORE

App Ya Kisasa Kabisa Ya Kufanya Miamala ‘Super App’ Yazinduliwa Na Tigo

Kadili siku zinavyozidi kusonga ndivyo teknolojia nayo inavyozidi kushika kasi na hapo ndipo Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo...

READ MORE

Hatifungani ya Kijani ya Tanga UWASA Yasajiliwa Rasmi Soko la Hisa

    Hatifungani ya Kijani ya Miundombinu ya Maji Tanga inayosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga...

READ MORE

PSSSF Yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania Jinsi ya Kuwasilisha Nyaraka Kidijitali

  MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo ya namna ya kuwasilisha madai kupitia mifumo ya...

READ MORE

Waziri Ndejembi Atembelea OSHA, Asisitiza Uwekezaji Zaidi Katika TEHAMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi amefanya ziara katika Ofisi za...

READ MORE

Jeshi la Polisi, PSSSF Wawajengea Uwezo Maafisa Namna ya Kushughulikia Mafao Kidigitali

KAMISHNA wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali watu, CP. Suzan Kaganda Mei 13, 2024, Jijini Dar es Salaam, amefungua mafunzo...

READ MORE

Vodacom kuwarejesha Vifurushi Wateja Waliokosa Huduma ya Intaneti Tangu ilipokatika

Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania imesema imefanikiwa kurejesha Mawasiliano yote ikiwemo Huduma ya...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali, Tume ya Utumishi, TADB, TCB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Viongozi kama ifatavyo:-

READ MORE

Hati Fungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hati fungani ya NMB Jamii (NMB...

READ MORE

Rais Biden Atangaza Ongezeko la Ushuru kwa Magari ya Umeme ya China

Katika juhudi za kufufua viwanda vya ndani, Rais Joe Biden alitangaza Jumanne kwamba anaweka ongezeko kubwa la ushuru kwa magari...

READ MORE

Rais Samia Afanya mazungumzo na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron – Video

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron katika...

READ MORE

Benki ya NBC Yaitambulisha Rasmi ‘NBC Connect’  Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya...

READ MORE

Meridianbet Yafikia Makubaliano na Nasdaq Marekani

Umepita Mwaka mmoja tangu yafanyike makubaliano ya maridhiano ya kibiashara kati ya Meridianbet na Golden Matrix Group, ilikuwa ni Januari...

READ MORE

NMB Yazindua Akaunti ya Uwekaji Kifuta Jasho Kidijitali kwa Wajasiriamali

BENKI ya NMB imezindua akaunti maalum ya kidijitali iitwayo ‘NMB Niwekee,’ inayolenga kuleta ukombozi wa maisha ya baadaye ya watu...

READ MORE

Chama Cha Msalaba Mwekundu Na EXIM Bank, Wapanda Miti Na Kuchangisha Damu

Dodoma, 11th May 2024: Exim Bank imeshirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) pamoja na Mpango wa Damu Salama...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi, Jenerali Mkunda Akutana na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la...

READ MORE

NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’, Yakabidhi Trekta kwa Mshindi

 BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imehitimisha msimu wa tatu wa kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ maalum kwa...

READ MORE

Watu watatu wamefikishwa mahakama ya London kwa kusaidia ujasusi

Watu wote kutoka kusini mashariki mwa Uingereza walikamatwa mwezi huu na kushtakiwa kwa uingiliaji wa kigeni Watu watatu walifikishwa katika...

READ MORE

TRA, ZRA Zaweka  Mikakati ya Kuimarisha Utendaji Kazi

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani...

READ MORE

NBC Yazindua Kadi Uanachama Msalaba Mwekundu, Dkt Biteko Aguswa na jitihada zake

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuunga...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe La Msingi Sekondari Ya Mbeya Girls

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mbeya (Mbeya Girls) na...

READ MORE

Kukosekana Kwa Intaneti Shida Ni Mkongo Wa Baharini

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) amesema kukosekana kwa huduma ya Mtandao wa...

READ MORE

Putin Amuondoa Sergei Shoigu kama Waziri wa Ulinzi wa Urusi

Rais wa Urusi Vladimir Putin amemuondoa mshirika wake wa muda mrefu Sergei Shoigu kama waziri wa ulinzi katika mabadiliko aliyoyafanya...

READ MORE

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Geita Afunga Maadhimisho Juma la Elimu Kitaifa

Sehemu ya wanafunzi toka sshule za msingi na Sekondari wakiwa kwenye maandamano ya kilele cha Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa...

READ MORE