×

Habari

Trump akata rufaa kuondolewa kwenye karatasi ya kura ya Colorado

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, Jumatano aliiomba Mahakama ya Juu ya Marekani kubatilisha uamuzi wa kuzuia ugombea wake...

READ MORE

Magifti Dabo dabo Ya Tigo Yazidi Kuneemesha Wananchi, Mkazi Wa Salasala Ajiondokea na Vifaa Vya Ndani

Dar es Salaam 4 Januari 2024: Kampeni ya Magifti Dabo dabo inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi...

READ MORE

Mchezo Wenye Mandhari ya China Ndani ya Meridianbet Kasino

Meridianbet inakuletea mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa kwa mandhari ya Kichina, kama jina la sloti hii. Tiger wanajitokeza kama...

READ MORE

Kinana: CCM Hatuna Sababu ya Kutompa Rais Samia Awamu ya Pili

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amesema hakuna dhambi kwa kiongozi aliyeko madarakani anapomaliza awamu...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yashuka Dizeli, Petroli Kutumika kuanzia leo Januari 03, 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya...

READ MORE

TRA Yakusanya Shilingi Trilioni 13 Julai hadi Desemba 2023/24

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/24 (Julai hadi Septemba)...

READ MORE

Kinana Awasili Ruangwa, Kuwa Mgeni Rasmi Mkutano wa CCM wa Wilaya

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewasili wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Januari 2, 2024

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 2, 2024 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Benki ya NBC Yaunga Mkono Jitihada za Kuongeza Ufaulu Somo la Hesabu Jimbo la Ubungo

  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, kwa...

READ MORE

Zaidi Ya Watanzania 400 Watalii Na Kufungua Mwaka 2024 – Mikumi

Zaidi ya watalii 400 wa ndani wafungua mwaka 2024 katika Hifadhi ya Taifa Mikumi kufuatia kampeni kabambe iliyoendeshwa na TANAPA...

READ MORE

Mwanariadha wa kimataifa Benjamin Kiplagat Akutwa Amekufa Kenya

Mwili wa mwanariadha Benjamin Kiplagat ulipatikana ndani ya gari Jumamosi usiku kwenye viunga vya Rift Valley katika mji wa Eldoret...

READ MORE

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki na Katibu Wake Dkt Abbasi Wafika Handeni

Katika kukamilisha Mwaka Disemba 31, 2023, Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki pamoja na Katibu Mkuu, Dkt. Hassan Abbasi...

READ MORE

Halotel Yafanya Usafi Soko La Makumbusho

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel pamoja na wafanyakazi wake wemeshiriki katika zoezi la usafi soko la Makumbusho jijiji...

READ MORE

Serengeti Yatoa Elimu Kuhusu Kutoendesha Magari Ukiwa Umetumia Vilevi

Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Limited kupitia kampeni yake inayoendelea ya INAWEZEKANA mwishoni mwa wiki ikiwa Mkoani Kilimanjaro, imetoa...

READ MORE

Majaliwa: Rais Dkt. Samia Amedhamiria Kuendeleza Sekta Ya Kilimo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweka msisitizo katika...

READ MORE

Jimbo la Maine la Marekani limemuondoa Trump katika sanduku la kura

Hatua ya kuondoa jina lake inaweza kuwa na athari kubwa katika kinyang’anyiro ambacho kinatarajiwa kuamuliwa na wachache. Katibu wa masuala...

READ MORE

Dada Mrembo Alivyoibuka Na Milioni 5, Za Tigo ‘Magifti Dabo dabo’ Moshi

Meneja Mauzo wa Tigo mkoa wa  Kilimanjaro, Silas Mkuyu (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi, Dada mrembo Loveness Hidana ambaye ni...

READ MORE

Shinda Mara 2500 ya Dau Lako Ukicheza Kasino ya Mtandaoni

Mighty Empire Hold and Win ni sloti mtandaoni iliyoletwa na mtoa huduma iSoftBet. Mchezo huu una bonasi ambazo hutolewa kwa...

READ MORE

Washindi 9 wa maokoto Ndani ya Kizibo Waondoka na Laki Tano Kila Mmoja

Washindi 9 wa raundi ya 10 ya kampeni ya Maokoto Ndani ya Kizibo inayoendeshwa na Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL)...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada kwa Wajasiriamali Mbagala Rangi Tatu

Mitaa ya Mbagala Rangi Tatu jijini Dar-es-salaam leo imeneemeka baada ya kufikiwa na ile kampuni bingwa kabisa katika michezo ya...

READ MORE

Rais Samia Atunukiwa Shahada Ya Heshima Ya Uzamivu – Suza, Zanzibar (Picha + Video)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Usimamizi ya...

READ MORE

Exclusive: Carina – “Mwili Umedhoofika Naona Aibu Kuomba Msaada Nahitaji Mifuko Kuokoa Uhai Wangu” – Video

Global Tv imefanya mahojiano kwa mara nyingine na Msanii wa Bongo muvi Carina Hussein nyumbani kwao Magomeni jijini Dar es...

READ MORE

Mbio Za Urafiki Tanzania Na India Kurindima Dar Mpaka Bagamoyo Keshokutwa

Dar es Salaam 28 Desemba 2023: Mbio za urafiki zitakazoshirikisha wakimbiaji wa hapa nchini na India zinatarajiwa kutimua vumbi kesho...

READ MORE

Wakili Wa Gekul Athibitisha Kuwa Gekul Anaweza Kukamatwa Tena Endapo Kutakuwa Na Uthibitisho -Video

Ephraim Philemon Kisanga wakili wa Pauline Gekul amesema Gekul anaweza kukamatwa tena. Wakili huyo amesema baada ya Kesi ya mteja...

READ MORE

Burkina Faso: Waziri wa zamani wa mambo ya nje aliyehamia upinzani atoweka

Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Burkina Faso Ablasse Ouedraogo iliyehamia upinzani hajulikani alipo kwa muda wa siku...

READ MORE

Puma Energy Yakabidhi Msaada Wa Vifaa Vya Ujenzi Kwa Waathirika Wa Mafuriko Katesh- Hanang

Kampuni ya Puma Energy Tanzania imekabidhi mifuko 600 ya cement, Mabati 800 na Nondo 1000, vyote vikiwa na gharama isiyopungua...

READ MORE

Mahakama Yamfutia Pauline Gekul kesi ya unyanyasaji dhidi ya mfanyakazi wake

Mahakama ya Wilaya ya Babati imemfutia Pauline Gekul kesi ya unyanyasaji dhidi ya mfanyakazi wake, Hasim Ally. Hakimu Mfawidhi wa...

READ MORE

Dada Auawa Kwa Kupigwa Risasi Katika Mzozo Wa Zawadi Ya Krismasi Florida

Ndugu wawili wamekamatwa baada ya dada yao kupigwa risasi na kuuawa wakati wa mabishano kuhusu zawadi za Krismasi. Msichana huyo...

READ MORE

Watu Saba Wakamatwa na Dawa za Kulevya Kilogramu 3,182, DCEA Yafunguka – Video

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini( DCEA) imefanikiwa kukamata jumla ya Kilogramu 3,182 za dawa za...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Zambia Stanley Kakubo Ajiuzulu

Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Zambia, Stanley Kakubo amejiuzulu nafasi hiyo saa chache baada ya kukumbwa na kashfa katika...

READ MORE

Muonekano wa Uwanja wa Kisasa wa AMAAN Zanzibar uliojengwa na Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar – Picha

Muonekano wa Uwanja wa Kisasa wa AMAAN Zanzibar, uliojengwa na Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar Chini Ya Mhe Rais @dr.hmwinyi ....

READ MORE

Basi La Mwendokasi Lateketea Kwa Moto eneo la Kibamba Chama, Dar (Picha +Video)

Basi la Mwendokasi limewaka moto na kuteketea eneo la Kibamba Chama, Dar es salaam usiku wa kuamkia leo Desemba 27,...

READ MORE

Uganda kuondolewa kwenye orodha ya nchi dhaifu dhidi ya ulanguzi wa fedha

Baada ya kufuata viwango vya kimataifa, Uganda inatarajia kuondolewa katika orodha ya ‘Grey List’ ya nchi dhaifu katika sheria za...

READ MORE

Ijue Teknolojia ya Kuchaji Simu ya Infinix Hot 40 Pro kwa Haraka

Simu ya Infinix HOT 40 pro ndio toleo la funga mwaka kwa kampuni ya simu @infinixmobiletz, simu hii ina features...

READ MORE

Tshisekedi aongoza matokeo ya awali uchagzi DR Kongo

Matokeo yaliyotangazwa na CENI kufikia sasa yanatokana na takriban kura milioni 1.9, kati ya jumla ya wapiga kura milioni 44...

READ MORE

Askofu Kassala Ampinga Papa Kuhusu Ndoa Za Jinsia Moja -“Bora Nibariki Jiwe, Lakini Siyo Uchafu Huo”

Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki Geita, Flavian Kassala amesema kwamba hayuko tayari kubariki ndoa ya jinsia moja kwa sababu ni...

READ MORE

LATRA Yawataka Mawakala Kuandika Taarifa Kamili Za Abiria Ili Wananchi Wapate Haki Zao Inapotokea Malipo

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) na Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani kwa pamoja wamesema serikali itaendelea Kusimamia...

READ MORE

Bashungwa Awanyooshea Kidole Viongozi Wanaorudisha Nyuma Maendeleo Kagera

Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameendelea kuwanyooshea kidole baadhi ya viongozi wanaochangia kurudisha nyuma...

READ MORE