×

Habari

Wanafunzi 22, 131 wasajiliwa Vituo vya Elimu ya Watu Wazima

WANAFUNZI 22,131 WASAJILIWA VUTIO VYA ELIMU YA WATU WAZIMA Serikali imefanikiwa kusajili wanafunzi 22,131 wakiwemo wasichana 2,794 wa elimu ya...

READ MORE

Ukikatwa Usianze Nongwa Tulia

UKIKATWA USIANZE NONGWA TULIA   Katibu mkuu wa Jumuiya ya wazazi CCM Taifa Comred Ally Salum Hapi amewatahadharisha watu wenye...

READ MORE

Madereva Bodaboda 145 Jiji La Dodoma, Wamepatiwa Mafunzo Ya Usalama Barabarani Awamu Ya Pili

Madereva bodaboda 145 katika Jiji la Dodoma- wamepatiwa mafunzo ya usalama barabarani awamu ya pili yalioanza Aprili 15 Aprili na...

READ MORE

Benki ya NBC Yaingia Makubaliano na SILABU Kufikisha Elimu ya Fedha Majumbani

    Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na kampuni ya SILABU APP inayotoa...

READ MORE

Katibu Mkuu Maganga Aipongeza WCF Kwa Utendaji Unaofuata Viwango Vya Kimataifa

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bi. Mary Maganga ameupongeza Mfuko wa Fidia...

READ MORE

Trilion 1.15 Kujenga Shule Za Msingi Na Madarasa Mapya

Serikali imetenga jumla ya Shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi...

READ MORE

Wakurugenzi Watakiwa Kusimamia Makusanyo Ya Halmashauri

Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kusimamia makusanyo kupitia vyanzo mbalimbali vilivyo kwenye maeneo yao ili kuwezesha...

READ MORE

Rais Samia Ateua Kamishna wa Uhifadhi Ngorongoro na Mwenyekiti wa Bodi ya Maabara ya Mkemia Mkuu

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro...

READ MORE

Shigongo Awashukuru viongozi wa dini kwa maombi ya Kimbunga Hidaya

Mbunge wa Buchosa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo amewashukuru viongozi wote wa dini nchini, waumini na...

READ MORE

Miezi Mitatu Kazini Aongeza Mapato Kutoka Mil 59 Kwa Mwezi Hadi Mil 170

Halmashauri ya wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma imefanikiwa kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kutoka wastani wa shilingi milioni hamsini...

READ MORE

Boniface Jacob, Malisa Wapandishwa Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapandisha kizimbani Boniface Jacob na Godlisten Malisa wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuchapisha na...

READ MORE

Idris Sultan Anogesha Msimu wa Tatu Wa Bridgerton

STAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha ujio mpya wa tamthiliya ya Bridgerton, katika onesho kabambe lililowakusanya...

READ MORE

Hii Siri Nitakufa Nayo, Kamwe Siwezi Kumwambia Mume Wangu

Naitwa Lulu, mkazi wa Tegeta jijini Dar es Salaam, kuna kipindi nilikuwa na ugomvi na mume wangu. Nyumbani kulikuwa hakukaliki...

READ MORE

TAMA Kwa Kushirikiana Na UNFPA Katika Kuadhimisha Siku Ya Mkunga Duniani Na Mkutano Mkuu Wa Chama

Dar es Salaam 5 Mei 2024: Maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani na Mkutano Mkuu wa Chama yameratibiwa na TAMA...

READ MORE

RE/MAX Coastal, Coral Property Zazindua Mradi Wa Nyumba Za Gharama Nafuu Jijini Dar

Dar es Salaam 6 Mei 2024: Katika mpango unaolenga kuunga mkono juhudi serikali za kuhakikisha kunakuweko na nyumba za makazi ...

READ MORE

DC Mwanziva Abeba Agenda ya Kumtua Mama Ndoo Lidewa, Aweso Apiga Simu Kutoa Kauli ya Wizara ya Maji

Mkuu wa wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amewataka watendaji kata pamoja na madiwani kuungana na ajenda ya Rais Dkt. Samia...

READ MORE

Serikali Kuwakopesha Wajasiriamali 18.5bn/- Kupitia NMB

Serikali imetenga kiasi cha TZS bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti nafuu kupitia...

READ MORE

Waziri Bashungwa, Mkuu wa Wilaya Wapanda Boti Kuwafikia Wananchi Lindi – Picha

  Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo pamoja na Wataalam wengine Mei...

READ MORE

Stamina Afichua Kilichomuua Dairekta Khalfani – Video

Staa wa Bongo Fleva, Stamina ‘Shorobwenzi’ amesema kifo cha Dairekta Khalfani ni pigo kubwa kwa sanaa ya muziki wa kizazi...

READ MORE

ATCL Yapeleka Marubani Kusimamia Ndege Mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ibom

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake kufundisha na kusimamia  ndege mpya za Airbus A220 za...

READ MORE

Hemed: Dairekta Khalfani Ameacha Mke Ana Ujauzito WA Miezi 7, Wiki 2 Nyuma Tulipanga Mipango – Video

 MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’ amefunguka baada ya maziko ya rafiki yake...

READ MORE

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha, Ndejembi awafunda

  Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya...

READ MORE

Diamond, Mastaa Walivyomzika Director Khalfani Makaburi ya Kisutu – Video

Safari ya mwisho ya dairekta maarufu wa video za muziki Bongo, Dairekta Khalfan imehitimika katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar...

READ MORE

Expanse Tournament Meridianbet Kasino, Kamata Mgao Wako wa Mamilioni Chap

Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna shindano la Expanse ambalo mwanzo maokoto yalikuwa mengi lakini, Bosi kacheka ameamua kuongeza pesa na...

READ MORE

TANROADS Lindi Waendelea Kurejesha Mawasiliano ya Barabara ya Lindi – Dar- es Salaam

Timu ya Watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakandarasi wanaendelea na kazi ya kurejesha miundombinu ya Barabara ya Lindi...

READ MORE

Director Khalfani Afariki Hospitali ya Muhimbili, Kuzikwa leo Makaburi ya Kisutu

Muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro’ amefariki Dunia leo asubuhi  Mei 5, 2024 katika Hospitali ya...

READ MORE

Mawaziri Eac Waazimia Kuongeza Ushirikiano Katika Sekta Ya Afya

Mawaziri wanaosimamia Sekta ya Afya katika Nchi Wanachama wa Jumuiya Afrika Mashariki wameweka mikakati na kukubaliana kuongeza ushirikiano zaidi katika...

READ MORE

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Yatangaza mwisho wa Kimbunga Hidaya

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)  Mei 4, 2024 imetangaza mwisho wa Kimbunga Hidaya baada ya vipimo kuonesha kuwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 5, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Absa Dar City Marathon 2024 Zatimua Vumbi jijini Dar es Salaam

Benki ya Absa yaahidi kuendeleza udhamini wake MBIO za Absa Dar City Marathon 2024 zimetimua vumbi lake jijini Dar es...

READ MORE

Uzinduzi wa Sinza Kwa Wajanja Marathon watikisa Dar

*Kusaidia wodi ya wazazi ya Hospitali ya Palestina Uzinduzi wa mbio za Sinza Kwa Wajanja Marathon umefanyika jijini Dar es...

READ MORE

Exim Bank Yaendeleza Malipo ya Kidijitali kwa Kushirikiana na Chef’s Pride Dodoma

Katika kuendeleza ushirikiano na wateja wake, Exim Bank imeingia makubaliano na Mgahawa wa Chef’s Pride ikiwa ni pamoja na kutoa...

READ MORE

Shigongo, Chatanda Washiriki Mazishi ya Aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Sengerema

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) Taifa, Mary Chatanda amemwaga machozi alipokuwa akiaga mwili wa Jane Msoga aliyekuwa Mwenyekiti wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Matembezi Kuhamasisha Ufanyaji wa Mazoezi Kuzuia Magonjwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 4, 2024 ameongoza matembezi ya kuhamasisha ufanyaji wa mazoezi ill kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza....

READ MORE

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilosa na Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo Afariki

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilosa na Waziri wa Fedha katika serikali ya awamu ya nne, Mustafa Mkulo amefariki dunia usiku...

READ MORE

TANESCO Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Hitilafu ya Umeme Iliyojitokeza leo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ufafanuzi umma kuhusu hitilafu ya umeme kwenye Gridi ya Taifa iliyojitokeza leo Mei 4,...

READ MORE

TMA: Mwenendo wa kimbunga “HIDAYA”, Wananchi wanaojihusisha na shughuli baharini wanashauriwa kuchukua hatua

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo karibu na maeneo ya...

READ MORE

Wanajeshi DRC wahukumiwa kifo kwa kukimbia vita

Mahakama ya kijeshi katika mji wa Goma huko Kivu Kaskazini Mashariki mwa Congo imewahukumu kifo maafisa nane wa jeshi la...

READ MORE

Filamu Mpya ya “Amazing Tanzania” Ft. Rais Samia, Dkt. Mwinyi Kuzinduliwa China

Filamu mpya ya kuitangaza Tanzania iitwayo “Amazing Tanzania” sasa itazinduliwa rasmi Mei 15 mwaka huu jijini Beijing, China ikiwa imewashirikisha...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 4, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE