×

Habari

Bunge la Uturuki Laidhinisha Mswaada Unaoiruhusu Finland Kujiunga na NATO

Bunge la Uturuki Alhamisi limeidhinisha mswaada wa sheria ili kuiruhusu Finland kujiunga na NATO, na hivyo kuondoa pingamizi zote kwa...

READ MORE

Mtanzania Aibuka Kinara Tuzo Za Uvumbuzi Kwenye Teknolojia Barani Africa

Mtanzania Deogratius Mosha, ameibuka  mshindi katika kinyang’anyiro cha uvumbuzi kwenye teknalojia kwa wavumbuzi wenye umri chini ya miaka arobaini  kutoka...

READ MORE

Rais Samia Amuandalia Futari Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris Ikulu Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amuandalia Mgeni wake Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris...

READ MORE

Marekani Kuipatia Tanzania Msaada wa Dola za Kimarekani Milioni 560

Makamu wa Rais wa Marekani Kamla Harris ametangaza ushirikiano na Tanzania katika maeneo mbali mbali ya kiuchumi kisiasa na kijamii....

READ MORE

Shule 20 Tabora Zakabidhiwa Vifaa Vya TEHAMA Vyenye Thamani Ya Tsh Milioni 150 Na Vodacom

Tabora – Machi 30, 2023. Vodacom Tanzania Foundation imekabidhi msaada wa vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya zaidi ya shilingi...

READ MORE

Kiungo Simba Awataka Raja Casablanca Awaondoa Hofu Mashabiki

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mmalawi Peter Banda amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia kuwa amepona na yupo fiti...

READ MORE

Kamala Harris: Marekani Kusaidia Tanzania Upatikanaji wa Huduma ya Intaneti ya Garama Nafuu

MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, leo Machi 30, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam amesema Serikali yake kupitia...

READ MORE

Rais Dk. Mwinyi Akutana na Balozi Wa Uingereza Hapa Nchini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mh.David...

READ MORE

Papa Francis Alazwa Hospitalini Akiwa na Maambukizi ya Kupumua

Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis amelazwa hospitali Jumatano kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya...

READ MORE

Anayedaiwa Kumuua Mkewe na Kumchoma Kwa Magunia Ya Mkaa Aomba Aachiwe Huru

Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mke wake na kisha kuchoma mwili wake kwa magunia ya Mkaa, aneiomba mahakama imuachie...

READ MORE

Tuzo Ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi, Ubinifu Kufanyika Aprili

  Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es...

READ MORE

Rusesabagina Awasili Marekani Baada ya Rwanda Kumuachilia Huru

Paul Rusesabagina, aliyeachiliwa huru na serikali ya Rwanda wiki iliyopita, amewasili Marekani na kuungana ten ana familia yake baada ya...

READ MORE

DC Morogoro Apokea Vifaa Vya Shule, Chuo Cha FDC Kutoka Nmb

Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya ujenzi kwa shule ya msingi Sinyaulime na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa (FDC)...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris Atua Nchini na Kupokelewa na Dk. Mpango

    Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Makamu wa Rais wa Tanzania,...

READ MORE

Jukwa la Wahariri Wampa Tuzo ya Kihistoria Waziri Nape Nnauye

Jukwa la Wahariri Tanzania limempa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye Tuzo kwa Mchango wake mkubwa...

READ MORE

Promosheni mpya Meridianbet rudisha x100 ya dau lako ukichana mkeka?

Sub-Heading: Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link...

READ MORE

Rais Samia Apokea Taarifa Ya CAG Na Takukuru – Ikulu, Dar Es Salaam – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea ripoti ya taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

READ MORE

Baada ya Nigeria Kupigwa Stop, Tanzania, Kenya, Afrika Kusini, Congo Zakaribishwa Dubai

Baada ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutangaza kuwafungia visa raia wa Nigeria tangu Oktoba, 2022, Bodi ya Utalii...

READ MORE

Shirika la Ndege Nchini (ATCL) Lapata Hasara ya Bilioni 35.2, Reli 31.2 – Video

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imepata hasara ya Sh bilioni 35.23 katika mwaka wa fedha 2021/22. Ripoti ya Mdhibiti na...

READ MORE

Wanandoa Washangaza Kwa Kukataa Kupata Watoto Kwenye Ndoa Yao…

WANANDOA wawili kutoka huko Orange County California Marekani Taylor Vasu (28) na mume wake Justin (27) wamejikuta waki-trend maeneo mbalimbali...

READ MORE

Video: Mbunge Waitara Amwaga Machozi Kisa Mgogoro wa Ardhi, Awahofia Chadema

Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amezungumza na waandishi wa habari Mkoani Dodoma ambapo ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi kufuatia...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Marekani Kutua Nchini leo Katika Ziara ya Kidiplomasia na Uhusiano wa Kimataifa

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris Jumanne alitembelea kituo kimoja nchini Ghana ambako watumwa walikuwa wanasafirishwa kuelekea kanda ya...

READ MORE

Osam Aliyegongwa Na Basi La Mwendokasi Aruhusiwa, Moi Watoa Taarifa – Video

Majeruhi wa ajali ya basi la mwendokasi iliyotokea Februari 22, 2023, Osam Milanzi ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya afya yake...

READ MORE

Rais Samia Aunda Kamati ya Kutathmini Utendaji Kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara...

READ MORE

Dk. Mpango Aipongeza NMB Kampeni ya Upandaji Miti, Shule Zatengewa Mil. 472/-

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Isdor Mpango, ameipongeza Benki ya NMB na kuitaja kuwa...

READ MORE

Catholic Relief Services (CRS) Yajivunia Kutangaza Mwaka Wake Wa 60 Kuwepo Nchini Tanzania

Dar es  Salaam, Tanzania, Machi 2023 – Catholic Relief Services (CRS) inajivunia kutangaza mwaka wake wa 60 wa kuwepo nchini...

READ MORE

GGML, STAMICO wasaini mkataba wa Sh bilioni 55.2 kuchoronga miamba

    KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), imesaini mkataba wa miaka...

READ MORE

Safiri Bure na Chapride Kwenda Uwanja wa Taifa Kuishuhudia Taifa Stars Ikimenyana na Uganda Leo

Kampuni ya Chapride Tanzania ambayo ni ya usafirishaji abiria na huduma nyingine kwa njia ya mtandao, leo imetoa ofa kwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango Kumpokea Makamu wa Rais wa Marekani

MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho Machi 29,  2023 na kupokewa na Makamu wa...

READ MORE

Airtel, Benki Ya Letshego Wazindua Vimba Na Timiza Akiba Ushinde

Dar es Salaam, Jumanne tarehe 28 Machi 2023: KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel kupitia huduma yake ya Airtel money...

READ MORE

Shujaa wa Hoteli ya Rwanda Atua Qatar Baada ya Kuachiliwa Huru

Paul Rusesabagina, ambaye aliigiza kama shujaa katika filamu ya Hollywood Hotel Rwanda, amewasili Qatar baada ya kuachiliwa kutoka jela nchini...

READ MORE

Mshambuliaji Aua Watu 6 katika Shule ya Jimbo la Marekani la Tennessee

Mshambuliaji mwanamke Machi 27, 2023 ameua watoto watatu na watu wazima watatu katika shule ya sekondari ya kikatoliki katika jimbo...

READ MORE

Ghasia Zapamba Moto Kenya Mwanamme Apigwa Risasi Wakati wa Maandamano Kisumu

Mwanamme mmoja ambaye jina lake halija julikana aliuawa kwa kupigwa risasi siku ya Jumatatu wakati wa maandamano katika mji wa...

READ MORE

Kasino ya Mtandaoni Meridianbet Inakupa Mtonyo zaidi!

Sub-heading: Jisajili Meridianbet na upate mizunguko 50 ya bure ya kasino ya mtandaoni! Bonyeza hapa kujisajili https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF   Huenda wewe...

READ MORE

Serikali Yapongeza Program Atamizi ya Biashara ya CBE

  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), ili wapate ujuzi wa...

READ MORE

Polisi Wazingira Mitaa ya Nairobi Kudhibiti Maandamano Kenya

Askari wa kutuliza ghasia nchini Kenya wako katika mitaa ya mji mkuu, Nairobi, katika jitihada za kuzuia maandamano yaliyoitishwa na...

READ MORE

NALA Yapewa Leseni Ya Mtoa Huduma Za Malipo Na BOT, Yaahidi Kufanya Uwekezaji Wa Zaidi Ya Sh. Bilioni 2

Dar es Salaam, Mar 27, 2023NALA imepokea leseni ya mtoa huduma kwa malipo kutoka Benki Kuu ya Tanzania, ikiwa ni...

READ MORE

Naibu Waziri Mwana FA Aipongeza Benki Ya NBC Kwa Kusaidia Maendeleo Ya Michezo

Dar es Salaam, Tanzania: Machi 27, 2023 – Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa, na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma ameipongeza Benki ya...

READ MORE

Mama Janeth Maguful Atunukiwa Tuzo Ya Kimataifa, Mchango Wake Kwa Hayati Magufuli

Mama Janeth Magufuli, mke wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ametunukiwa Tuzo ya Heshima...

READ MORE