×

Habari

Tembo Aliyejifungua Mapacha Apewa Ulinzi Maalum

MNYAMA aina ya Ndovu au Tembo wa Mbuga ya Kitaifa ya Samburu nchini Kenya, amejifungua ndama pacha katika kile ambacho...

READ MORE

Newala: Maajabu ya Mvuke Mweupe Unaotoka Kwenye Shimo la Mungu

MVUKE mweupe unaotoka kwenye shimo maarufu kwa jina la Shimo la Mungu lililopo wilayani hapa Mkoa wa Mtwara, umewashtua wenyeji...

READ MORE

Kili Marathon 2022 Yazinduliwa Moshi

    TOLEO la 20 la mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2022 limezinduliwa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, ikiwa ni...

READ MORE

NMB,Serikali ya Zanzibar Wasaini Mkataba Ukusanyaji Mapato Sekta ya Utalii

  Benki ya NMB imesaini makubaliano ya kimkakati na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kushirikiana katika kuimarisha na kukuza ukusanyaji wa...

READ MORE

Tutawabaini Laki 2 Wanaoishi na VVU bila kujua

MCHAKATO wa kuwapata watu 200,000 waishio na virusi vya ukimwi bila kujua ni mbinu mojawapo ambayo Wizara ya Afya imesema...

READ MORE

Zawadi’ NMB MastaBata-Kivyako Vyako’ Zafikia Mil. 30/-

WATEJA 100 wa Wiki ya Tatu ya Kampeni ya NMB MastaBata – Kivyako Vyako, wamepatikana jana (Alhamisi Januari 20), na...

READ MORE

Tanesco Yaomba Radhi

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma...

READ MORE

Hofu Yatanda, Vijana Watano Wapotea Katika Mazingira ya Kutatanisha

  TAHARUKI: Familia zilizopotelewa na ndugu zao watano katika mazingira ya kutatanisha tangu Desemba 26, 2021 maeneo ya Kariakoo ‘Kamata’...

READ MORE

Mgonjwa Mahututi Aamka Baada Kupewe Dawa ya Kuongeza Hisia za Ngono

KATIKA kile kimetajwa kama hatua kubwa kwenye tasnia ya utabibu, muuguzi mmoja kutoka nchini Uingereza ambaye alikuwa akipigania maisha yake...

READ MORE

Rais Samia Amteua Suzan Mkangwa Kuwa Kamishna wa Kazi

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Suzan William Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi, akichukua nafasi ya Brigedia Jenerali Francis Mbindi aliyepangiwa...

READ MORE

Moto Waitesa Dar

VISA vya ajali za moto kuteketeza majengo jijini Dar es Salaam vimezidi kuendelea ambapo leo, Alhamis, Kikosi cha Zimamoto kimembana...

READ MORE

CCM Yampitisha Dkt. Tulia Uspika

BREAKING NEWS: Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Alhamisi Januari 20, 2022 imempitisha Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia...

READ MORE

Dkt. Mpango Afiwa na Kaka Yake

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango (kulia) amefiwa na kaka yake, aliyekuwa Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana...

READ MORE

Mbowe: Shahidi wa Jamhuri ni Ndugu Yangu

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema hana ugomvi na shahidi wa Jamhuri, Innocent Mdowo (37),...

READ MORE

Kenya Kuingiza Sokoni Mabasi ya Umeme

Kampuni ya kutengeneza vyombo vya moto vinavyotumia umeme nchini Kenya ya Opibus imetangaza kujiandaa kuingiza sokoni mabasi mapya ya umeme...

READ MORE

Qatar Airways Yaadhimisha Miaka 15 ya Safari Zake Dar

Shirika la ndege la Qatar mwezi huu linaadhimisha miaka 15 ya mafanikio tangu ilipoanza safari yake ya kwanza kati ya...

READ MORE

Mtangazaji Maarufu wa Redio Ajiua Studio

Mtangazaji maarufu na mpakuaji miziki wa kituo cha redio cha Capital FM, Alex Nderi almaarufu DJ Lithium ameaga dunia. Kwa...

READ MORE

Mwanza: Wanawake Watatu Wauawa, Miili Yao Yatupwa

Mbunge wa Jimbo la Ilemela ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angelina Mabula ametuma...

READ MORE

Skendo Rushwa Trafiki, Polisi Yafunguka

VITENDO vya kuomba na kupokea rushwa kwa baadhi ya askari vinazidi kulitikisa Jeshi la Polisi nchini, huku askari wawili katika...

READ MORE

Dar: Daladala Yagonga Treni, Wawili Wafariki

Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) umethibitisha kutokea kwa tukio la ajali lililotokea leo January 19, 2022 maeneo ya...

READ MORE

Mhudumu ‘Gesti’ Auawa Kinyama

MHUDUMU wa nyumba ya kulala wageni ya Peace Lodge iliyoko katika eneo la Matarawe Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambaye...

READ MORE

Mfahamu Ummy Doll wa Dar Ambaye Kitoweo Chake ni Mende

BAADHi ya wadudu hutajwa kuwa chakula bora chenye protini na kilicho chenye ladha nzuri katika jamii mbalimbali. Takriban spishi 20,000...

READ MORE

TANZIA: RC Shigella Afiwa na Mkewe

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Martine Shighela,amefiwa na mkewe usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Aghakhan Jijini Dar es...

READ MORE

Wanafunzi Walionusurika Ajali ya Lucky Vincent wafanya maajabu kidato cha IV

WANAFUNZI watatu walionusurika kwenye ajali ya Shule ya Lucky Vincent, wamefanya maajabu katika mtihani wa kidato cha nne na kufaulu...

READ MORE

5G Yaharibu Safari za Ndege Marekani

Mashirika makubwa ya ndege Emirates, Air India, Air Nippon na Japan Airlines yamesitisha safari zake za kwenda Marekani kutokana na...

READ MORE

Live: Skendo Ya Trafiki, Kesi Ya Makonda , Marufuku Majina Ya JPM, Samia Kutajwa. Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Maswali Magumu Masoko Kuteketea kwa Moto

Matukio ya ajali za moto katika masoko nchini yameibua maswali matano yanayokosa majibu kutoka mamlaka husika, huku yakizidi kuathiri maisha...

READ MORE

Kibaha Chalinze Jiandaeni

Serikali kupitia Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) inatarajia kuanza kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa Barabara ya njia nne...

READ MORE

Sabaya Adai Gari Lake Mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameiomba Mahakama imrudishie mapema gari yake alilonunua kwa fedha zake halali...

READ MORE

Sabaya Aangua Kilio Kortini

MSHTAKIWA namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na Machozi mahakamani hapo wakati...

READ MORE

Mjamzito Auawa Kisa Kukataa Kwenda kwa Mganga

Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mkazi wa Kata ya Mlale wilayani Ileje, Shukrani Kamwela mwenye umri wa miaka 16...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo tarehe...

READ MORE

Waliomuua Balozi wa Italia Nchini DRC Wakamatwa

Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika Jimbo la Kivu Kaskazini, limefanikiwa kuwakamata baadhi ya watuhumiwa...

READ MORE

Wasiojulikana Watokomea na Mwili wa Marehemu

Tukio lisilo la kawaida limetokea katika Kitongoji cha Kipondoda, Wilaya ya Manyoni mkoani Singida baada ya kaburi la mtoto Christina...

READ MORE

Simba Waambukizwa Corona

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Simba na Puma katika mbuga ya wanyamapori nchini Afrika Kusini imeelezwa kuwa huenda wameambukizwa virusi...

READ MORE

Sabaya Awakana Wenzake Mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuwa hawafahamu baadhi ya watuumiwa...

READ MORE

Ziara ya Rais Mwinyi Falme za Kiarabu Yaonesha Mafanikio Makubwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi anatarajiwa kuhitimisha ziara yake ya kikazi katika Falme...

READ MORE

Mahakama Yaruhusu Makonda Kufunguliwa Kesi ya Jinai

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeruhusu kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Simba Wamlilia Shabiki Wao Aliyejinyonga

Baada ya Taarifa kusambaa kuwa Kijana Khalfan Mwambena (17) mkazi wa Jijini Mbeya na Shabiki kindaki ndaki wa Simba kusambaa...

READ MORE

Bashe Aagiza Aliyekamatwa na Kiwanda Bubu cha Mawese Asaidiwe

BAADA ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kufanya msako mkali na kufanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Halifani Issa (42)...

READ MORE