×

Habari

Wanandoa Ambao Hawajashiriki Tendo la Ndoa Miaka 18

WANANDOA wawili wanaotokea katika eneo la Murang’a nchini Kenya wamepata kila sababu ya kutabasamu baada ya wasamaria wema kuwazawadia nyumba...

READ MORE

Wafahamu Wanayama ‘Big Five’ Wanaopatikana Hifadhi ya Serengeti

KWA muda mrefu Tanzania imeendelea kusifi ka duniani kwa kuwa na utajiri mkubwa wa vivutio vya utalii ambavyo hapa nchini...

READ MORE

Mwanamke wa Miaka 51 Ajifungua Baada ya Miaka 20 ya Tasa

Shangwe na vigelegele zimeshamiri nyumbani kwa mwanamke mmoja nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 51, baada ya kujifungua watoto kwa...

READ MORE

Aliyeokoa Watu 1,200 Akutwa na Hatia ya Ugaidi

SHUJAA wa “Hotel Rwanda” ameshindwa kufi ka katika Mahakama ya Kigali, Jumatatu huku waendesha mashtaka wa serikali wakitaka kumuongezea kifungo...

READ MORE

Sabaya Awakana Mashahidi wa Jamhuri

MSHITAKIWA Lengai ole Sabaya anyekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi amepanda kizimbani kutoa utetezi dhidi ya tuhuma hizo ambapo amewakana...

READ MORE

Amuuwa Mkewe Mjamzito Kisha Kumchoma Moto

MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, Subira Kibona(16) amefariki dunia baada ya...

READ MORE

Meseji za Mbowe Akisaka Makomando wa JWTZ Zasomwa Mahakamani

JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi...

READ MORE

Kijana Ajinyonga Kwenye Goli Akiwa na Nguo ya Ndani za Kike

Tyson Kilasi (32) mkazi wa Kijiji cha Mawindi halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye...

READ MORE

Ajifungua Mtoto Akiwa Na Umri Wa Miaka 11

  Pichani Victoria Ajey mwenye miaka 11 amejifungua mtoto wa kiume baada ya kubakwa na mume wa shangazi yake, mwanaume...

READ MORE

Rais Samia Aweka Historia Maji kufika Kisiwa cha Jibondo – Mafia

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amezindua Mradi wa Maji wa Kisiwa Kidogo Cha Jibondo Wilayani Mafia Mkoa wa...

READ MORE

Dodoma: Mabasi ya Abiria Kusindikizwa na Polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma amesema kuanzia kesho mabasi ya abiria kutoka mkoani humo kwenda mikoa mingine yatakuwa yanasindikizwa...

READ MORE

Mlinzi Mbaroni kwa Kumpiga Risasi Bodaboda

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Panolama Bw. Elizeus Gabriel kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Matetemeko Mawili Yaua Watu 20 Afghanistan

MAOFISA Usalama nchini Afghanistan wamesema watu zaidi ya 20 wamefariki kufikia sasa baada ya matetemeko ya ardhi ya mfululizo kukumba...

READ MORE

Mlinzi Soko la Karume Asimulia Kila Kitu Alichokiona

KUFUATIA tukio la usiku wa kuamkia Jumapili, Januari 16, 2022 la soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga maeneo...

READ MORE

Serikali Imekana Kuchoma Soko Karume

MNAMO usiku wa kuamkia Jumapili ya Januari 16, 2022 soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga maeneo ya Mchikichini...

READ MORE

Tetemeko Lazua Taharuki Dodoma

Taasisi ya Jeolojia na Utafiti wa Madini (GST) imesema tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.5 katika kipimo cha richter...

READ MORE

Zimamoto: Taarifa za Soko la Karume Zilichelewa

Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Ilala Elisa Mugisha, amesema kwamba taarifa za kuungua kwa soko la Karume...

READ MORE

Rais Samia Ateua Naibu Kamishna Mkuu TRA

Rais Samia amefanya teuzi mbalimbali leo Januari 18, 2022, ambapo amemteua Bw. Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa...

READ MORE

Mwanaume Mweye Upara Akatwa Kichwa Wakiamini Kina Dhahabu

Polisi nchini Msumbiji wanasema kichwa cha mwanaume mmoja mwenye upara kimekatwa na kuondolewa na wahalifu waliotaka kukiuza kwa mteja wao...

READ MORE

Mfahamu Milionea Mtoto Anaetarajiwa Kustaafu na Miaka 15

Mtoto mmoja wa kike kutoka Australia anaelekea kustaafu akiwa milionea katika umri wa miaka 15 licha ya kuwa ni mwanafunzi...

READ MORE

Mchumba wa Sabaya Aanika Walivyovamiwa Hotelini

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake, Jesca Thomas ameieleza mahakama...

READ MORE

Ripoti: Mabilonea Watajirika Zaidi Wakati wa COVID-19

Ripoti mpya ya Shirika la Oxfam inasema utajiri wa Mabilionea 10 wakubwa zaidi umeongezeka maradufu wakati wa CoronaVirus. Mapato ya...

READ MORE

Mvua Kubwa Kunyesha Siku Tatu Mfululizo

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa itakayonyesha hii leo Januari 17, 2022,...

READ MORE

Mfanyabiashara Amchinja Mwanae

Mfanyabiashara Mkubwa Jimbo la Zamfara nchini Nigeria amekamwatwa kwa kosa la kuua kwa kumchinja mtoto wa kiume wa miaka tisa....

READ MORE

Bibi Atamani Kuzaa Mtoto na ‘Mjukuu Wake’

Bibi Cheryl McGregor mwenye miaka 61, watoto 7 na wajukuu 17 anapanga kupata mtoto mwingine kwa njia mbadala ya kupandikiza...

READ MORE

Breaking: Ajali Yaua watau Dodoma

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali basi iliyotokea katika eneo la panda mbili wilayani Kongwa mkoani...

READ MORE

Msemaji wa Serikali Anusurika Katika Shambulio la Bomu

Waziri Mkuu wa Somalia, Mohamed Hussein Roble amesema msemaji wa serikali ya nchi hiyo, Mohamed Ibrahim Moalimuu amejeruhiwa katika shambulio...

READ MORE

Mhitimu Kidato cha Nne Ajiua

Mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021 Shule ya Sekondari Serengeti mkoani Mara Lucas Thomas (17) amekutwa amejinyonga kwa kamba...

READ MORE

Kimenuka! Mabomu ya Machozi Yarindima Dar

Polisi mkoani Dar es Salaam wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara wa soko la Karume (Mchikichini) ambao wameandamana na kufunga...

READ MORE

Mama Aua Wanaye Wawili

MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni Mama wa Watoto wawili amejiua kwa kujinyonga baada ya kuwaua kwa...

READ MORE

Mwanaume Adaiwa Kumuoa kwa Nguvu Binti wa Miaka 14

Jeshi la Polisi mkoani hapa linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Loswaki wilaya ya Simanjiro aliyejulikana kwa jina Lalahe...

READ MORE

Zoa Zoa Yaendesha Msako wa Kuwanasa Wanaoiga Bidhaa Zake

    Kampuni ya Grace Products au Zoa Zoa imeingia mitaani nchi nzima kwa lengo la kuwakamata wafanyabiashara wasiyo waaminifu...

READ MORE

Airtel Wape Tabasamu Yafaidisha Tena Vituo vya Watoto Yatima Mikoa Mitano Wiki Hii

      KAMPENI maalum ya kusaidia jamii na hasa kwa kipindi hiki cha msimu wa sikukuuu ambayo inalenga kuwanufaisha...

READ MORE

Breaking News: Rais Keita Afariki Dunia

Rais wa Mali aliyeondolea madarakani Ibrahim Boubacar Keita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Januari 17, 2022 akiwa na...

READ MORE

Wasakwa kwa Kuchana Quran

WATU kadhaa wanaotuhumiwa kuchana kitabu kitukufu cha Dini ya Kiislam, (Quran) hadharani katika maeneo ya Pandani-Mtemani Mkoa wa Kaskazini-Pemba wanasakwa...

READ MORE

Sita Wanusurika Kifo Gesti Ikiteketea Moto Arusha

Watu sita wamenusurika kifo baada ya nyumba ya kulala wageni ‘gesti’ iliyopo Maji ya Chai wilayani Arumeru mkoani Arusha kuteketea...

READ MORE

#LIVE: Chekeche La Uspika CCM Usipime Vikao Vyaanza, Janga La Moto Soko La Karume | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Ujenzi Ikulu Ya Chamwino Wafikia Asilimia 91

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Januari 16, 2022 amekagua maendeleo ya ujenzi wa Ikulu inayojengwa katika eneo la Chamwino, Jijini...

READ MORE

Banda La Tanzania Expo 2020 Dubai Laendelea Kuvutia Wageni Wengi

 Banda la Tanzania katika Maonesho ya EXPO 2020 Dubai limeendelea kuvutia wageni wengi kutokana na uwepo wa maudhui ya picha...

READ MORE

Rais Samia Awatembelea Mzee Pinda na Mzee Malecela Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Januari 15, 2022 amewatembelea kuwajulia Maaziri Wakuu Wastaafu Mzee...

READ MORE