×

Habari

TCRA Yakifungia Kipindi cha Mch. Mwingira

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekifungia kwa miezi mitatu kipindi cha Efatha Ministry kinachorushwa kupitia kituo cha televisheni cha Star...

READ MORE

Mshumaa Ndio Umeteketeza Soko la Karume

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema uchunguzi umebaini kuwa mshumaa uliowashwa na mateja ndio sababu ya...

READ MORE

Maduka ya Dawa Nje Ya Hospitali Yaondolewe- Waziri Ummy

SERIKALI imewaagiza wamiliki wa maduka ya dawa yaliyopo mita 500 kutoka vituo vya afya nchini kuyaondoa ifikapo Juni 30 mwaka...

READ MORE

Waziri wa Habari Atembelea Vodacom Aisifu kwa Kukuza Uchumi wa Nchi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza kwenye mkutano na watendaji wakuu wa kampuni ya mawasiliano...

READ MORE

Akaa Kwenye Mataili ya Ndege kwa Saa 11 Angani

JESHI la Polisi wa Uholanzi wanasema wamempata mtu akiwa hai katika sehemu ya gurudumu la ndege iliyotua katika uwanja wa...

READ MORE

Rais Kaboré Azuiliwa Kwenye Kambi ya Kijeshi

Rais wa Burkina, Faso Roch Marc Christian Kaboré amezuiliwa katika kambi ya kijeshi, shirika la habari la Reuters limeripoti. Hatua...

READ MORE

Nape Nnauye Atua Airtel, Awahakikishia Ushirikiano

Airtel tunakushukuru sana Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Nape Nnauye kwa utayari wako na serikali wakushirikiana...

READ MORE

Mabasi Bila Dereva Kuanza Kufanya Kazi

NCHI ya Norway imesema inajiandaa kuanza majaribio ya mabasi ya abiria (ya umma) ambayo hayana dereva, kuanzia mweiz Aprili, mwaka...

READ MORE

Rais Ajiuzulu Kisa Katiba Haimpi Mamlaka ya Kutosha

Rais Armen Vardani Sarkissian wa Armenia ambaye ameongoza Nchi hiyo tangu 2018 amewasilisha maombi ya kujiuzulu akisema anaamini katiba ya...

READ MORE

Majaliwa: Wanafunzi Someni kwa Bidii

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watoto wa Kitanzania kujiwekea malengo na kusoma kwa bidii ili kupata maarifa yatakayolisaidia taifa kupata...

READ MORE

Abiria Aliyegoma Kuvaa Barakoa Asababisha Ndege Kukatisha Safari

Kampuni ya ndege ya Marekani – American Airlines iliyokuwa ikisafiri kutoka Miami kuelekea London Uingereza imelazimika kurudi ilikotoka kwasababu mmoja...

READ MORE

Mama Ajitolea Kumzalia Mtoto Mwanae

MAPYA yaibuka! Pichani Maree Arnold (54) kutoka Australia ameamua kumbebea mimba mwanae huyo wa kumzaa Meagan (28) hivyo kumzaa mjukuu...

READ MORE

Jay Z, Robin Thicke, Kelly Rowland, Meek Mill Waungana

Jay Z na wasanii wengine, akiwemo Robin Thicke, Kelly Rowland, Meek Mill, wamejitokeza na kuomba marekebisho sheria ya New York...

READ MORE

Mauaji Ya Kutisha , RC Atangaza Msako, Wabunge Wafunguka Uspika | Front Page-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Commercial Bank Yapokelewa Kwa Bashasaha Katavi

  Tanzania Commercial Bank (TCB) imezindua tawi jipya Mkoa wa Katavi Wilaya ya Mpanda ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma...

READ MORE

Rais Samia Ampongeza Dr. Salim Kwa Kutimiza Miaka 80

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia amepongeza Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania (1984-1985) Dr. Salim Ahmed Salim kwa...

READ MORE

Tanzia: Baba wa Balozi Nchimbi Afariki Dunia

Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Dkt. Emmanuel Nchimbi amefiwa na baba yake mzazi, John Nchimbi usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Watu Watano wa Familia Moja Wauawa Dodoma -Video

Watu watano wa familia moja wamekutwa wakiwa wameuawa nyumbani kwao eneo la Zanka wilayani Bahi mkoani Dodoma. Kamanda wa Polisi...

READ MORE

Idris Elba Kuigiza Kama James Bond

PRODUCERS  wa filamu za 007 James Bond, Barbara Broccoli na Michael G. Wilson wamethibitisha kuwa Jina la Idris Elba ni...

READ MORE

Sifa kwa TGNP: Kikundi cha Sauti ya Jamii Kipunguni Chazindua Mradi wa Kuchakata Mkaa

    KIKUNDI cha Sauti ya Jamii cha Kipunguni jijini Dar, kilichopo kati ya vikundi vya taarifa na maarifa vilivyopo...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu wa Serikali vs BBC Kupelekana Kortini

SERIKALI ya Uingereza na Shirika la Utangazaji nchini humo huenda wakaingia katika mzozo mkali mahakamani kuhusu habari ambayo BBC inataka...

READ MORE

Samia: Mimi ni Chui Jike – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewapongeza wana Kilimanjaro kwa mapokezi yao kwake na kusema mwanzo...

READ MORE

Sabaya Akana Kununua GARI Milion 90 Wala Kutoa Mgao wa Pesa Kwa Vijana

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, amedai kuwa hakuwahi kutakatisha Sh. milioni 90 wala kutoa...

READ MORE

Mwalimu Ampa Mama Mkwe Figo Yake, Asalitiwa

MWALIMU mmoja aitwaye Uziel Martinez ameteka hisia za watu baada ya kuweka video zake katika mtandao wa TikTok akilia kwa...

READ MORE

Mke wa Mtu Auliwa na Mchepuko wake

MWILI wa mwanamke aliyetambulika kwa jina la Teddy Mallya mkazi wa Ilboru Kisiwani, Arumeru mkoani Arusha umekutwa umetupwa kwenye shamba...

READ MORE

Ukame Wasababisha Vifo vya Mifugo 1,257

Kufuatia hali ya ukame na ukosefu wa malisho unaoukabili mkoa wa Kilimanjaro umepelekea jumla ya ng’ombe 841, kondoo 406 na...

READ MORE

Mitandao Yasababishia Mwanamke Kunyongwa Hadi Kufa

Mwanamke mmoja amehukumiwa miaka 20 jela na baadaye kunyongwa hadi kufa na mahakama nchini Pakistani baada ya kukutwa na hatia...

READ MORE

Kitendawili! Nafasi ya Naibu Spika

Kuteuliwa kwa Dk Tulia Ackson kupeperusha bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania uspika wa Bunge la Tanzania kunahamishia vita...

READ MORE

Itel A58 Kutikisa Soko la Simu Tanzania

Taarifa zinazozagaa kwa sasa ni kuwa Kampuni ya simu za mkononi ya itel inatarajia kuachia simu kali inayotajwa kuwa ni...

READ MORE

Miili ya Wasichana Ndugu Waliouawa Mwanza Yazikwa Sengerema

MIILI ya wasichana watatu wa familia moja waliouawa jijini Mwanza Januari 18, 2022 imewasilia mjini Sengerema na kuzikwa jana usiku...

READ MORE

Chenge Ampongeza Dkt. Tulia Uspika

Aliyewahi kuwa mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, amempongeza mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, kwa kuchaguliwa na Kamati...

READ MORE

IGP Sirro Awavisha Nishani Maofisa, Wakaguzi na Askari 123

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, amewavalisha nishani maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali 123 waliotunukiwa...

READ MORE

Mbinu Wanazotumia Trafiki Kupokea Rushwa

VITENDO vya rushwa ni miongoopni mwa mambo yanayopigwa vita kutokana na kurudisha nyuma maendeleo baada ya sekta na taasisi mbalimbali...

READ MORE

Mabinti Waliokatiza Masomo Wamerudi Shule

Mabiti wa kike waliokatiza masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wamerejea shuleni ikiwa ni sehemu ya mpango wa serikali wa...

READ MORE

Mchungaji, Mkewe Wakamatwa kwa Kuwafungia Walemavu

MCHUNGAJI mmoja aliyetambulika kama Curtis Keith Bankston (55) na mkewe Sophia Simm Bankston wamekamatwa na maofisa wa Polisi kwa madai...

READ MORE

Ofisa wa Polisi Ajijengea Kaburi

YAKO mambo ya kushangaza, kuchekesha na hata kuhuzunisha. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Ofisa wa Jeshi la Polisi nchini, Mrakibu...

READ MORE

Nape Asitisha Kupanda kwa Vifurushi

Waziri wa Habari na Teknolojia ya Habari Mhe. Nnauye Nape ameiagiza TCRA kuyaagiza makampuni ya simu kusitisha upandishaji wa bei...

READ MORE

Dkt. Mpango Aaga Mwili wa Kaka Yake

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango, amewaongoza waombolezaji kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu kaka yake Askofu Gerald...

READ MORE

Waziri Akana Kumuomba Radhi Rais

Waziri wa Utalii wa nchini Afrika Kusini, Lindiwe Sisulu amekana kuomba msamaha kwa rais wa nchi hiyo, Cyril Ramaphosa kwa...

READ MORE