×

Habari

Orodha ya Majina Walioitwa Mafunzo ya Jeshi la Zimamoto

Soma Majina ya Waliochaguliwa kuripoti Chuo cha Jeshi la Zimamoto kulichopo Chongo Wilayani Handeni, Tarehe 09/01/2022 bila kukosa.

READ MORE

Waziri Anusurika Kufa, Aogelea Saa 12 Kujiokoa

WAZIRI wa Ulinzi na Polisi wa Madagascar, Serge Gelle (57) ameogelea kwa saa 12 baharini hadi kufika nchi kavu baada...

READ MORE

Polisi: Mhitimu wa SUA Aliyeuawa, Alivutwa Shingo

Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia mtu mmoja kwa mahojiano kufuatia kifo cha mhitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo...

READ MORE

Wanafunzi Wasio na Sare Wasizuiliwe Shuleni

WAZIRI wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, amewataka wakuu wa shule wasiwazuie wanafunzi kuanza masomo pale wanapokuwa hawana sare za shule, bali...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Mkutano Maalum wa 18 wa Wakuu wa Nchi...

READ MORE

Simanzi Kuaga Mwili wa Mrembo wa SUA Aliyeuawa

Vilio na Simanzi vimetawala wakati wa ibada ya kumuaga Mwanafunzi ambaye amehitimu katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)  mkoani...

READ MORE

Waziri: Fedha Zimetafunwa Hapa, Aagiza Waliotafuta Wasakwe

Naibu Waziri Ofisi ya Rais tawala za Mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) anayeshghulikia Afya, Dkt. Festo Dugange ameagiza kufanyika...

READ MORE

🔴#LIVE: Diamond Ampanikisha Harmonize, Siri Queen Darleen Kuroga Wanaume Yavuja | HotPot

Karibu kutazama kipindi namba moja cha Udaku ‘HOTPOT’ kinachokuletea habari mbalimbali za mastaa ndani na nje ya Tanzania.   

READ MORE

Mamia ya Polisi Kumwagwa Mitaani Sikukuu

JESHI la Polisi mkoani Geita limejipanga kuwatumia maofisa wa jeshi hilo zaidi ya 754 waliotoka mafunzoni ili kusaidia kudhibiti matukio...

READ MORE

Mvua Yakosesha Makazi Kaya 65

ZAIDI ya kaya 65 katika Kijiji cha Imbilili Kata ya Signo wilayani Babati mkoani Manyara, zimekosa makazi baada ya nyumba...

READ MORE

Mifugo Kuanza Kuvikwa Hereni

MWONGOZO wa utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo kwa njia ya hereni za kieletroniki zinawekwa kwa mnyama mwenye umri zaidi...

READ MORE

Mwanafunzi Afia kwa Dereva Bodaboda

JESHI la Polisi nchini Kenya wanamshikilia Dereva Bodaboda kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule...

READ MORE

Mabasi Yang’olewa Namba Mwanza

Mabasi tisa ya abiria katika stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza yang’olewa namba na kuzuiwa kuendelea na safari...

READ MORE

Shehena ya Mionzi ya Nyuklia Haijafika Dar

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imesema shehena iliyokuwa na viasili vya mionzi ya nyuklia iliyokuwa kwenye meli MV...

READ MORE

Nabii Shilla Awaponza Wasafi Wapigwa Faini Ya Mil 2 na TCRA

MAMLAKA  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo Desemba 22, 2021 imetoa adhabu kwa Wasafi Media kutokana  na kurusha maudhui ya mahojiano...

READ MORE

100 Wapata Ajira Uwanja Unaojengwa na GGML Geita

NA MWANDISHI WETU ZAIDI ya Watanzani 100 wamepata ajira katika mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo unaojengwa...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lapatiwa Vifaa vya Kuongozea Usalama Barabarani na Coca-Cola Kwanza Ltd

Mkurugenzi wake wa Logistic Mr. Haji Ally (kulia) ilimkabidhi vifaa hivyo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinodoni,...

READ MORE

Mwanajeshi Akamatwa kwa Kuvalishwa Pete Akiwa na Sare za Jeshi

MWANAJESHI wa kike amekamatwa nchini Nigeria kwa kukubali ombi la kuolewa akiwa amevalia magwanda rasmi ya kijeshi jambo ambalo limetajwa...

READ MORE

Mwanamke Awapigia Simu Polisi Kulalamikia Kutopigwa Busu

Mwanamke mmoja amewapigia polisi simu huko Lincolnshire nchini Uingereza kuripoti kuwa mpenzi wake hakumpiga busu, kwa mujibu wa polisi wa...

READ MORE

🔴#LIVE: Yanga Yamalizana Na Mashine Tano, Sakho Awagawa Mabosi Simba | Krosi Dongo

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Wabunge Wachapana Wakipinga Tozo ya Miamala ya Simu – Video

Mzozo umezuka katika ukumbi wa bunge huko #Ghana Jumatatu jioni wakati wabunge wakijadili mapendekezo ya kodi ya miamala ya kielektroniki...

READ MORE

🔴#LIVE: Vigogo CCM Watuhumiwa Kumpiga Polisi, Balozi Atia Mguu Sakata La Polepole | Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

NMB Yashinda Tuzo ya Benki Salama Zaidi Nchini

  NMB ndiyo benki salama zaidi nchini kwa miaka miwili mfululizo baada ya leo kutangaza kupokea tuzo ya ubora huo...

READ MORE

Ndoa Yavunjwa kwa Talaka ya tsh Tril 1.4

Wakati watu wakiendelea kufunga ndoa za gharama, pia kuna ndoa ambazo zinaendelea kuvunjika kwa gharama kubwa. Huko nchini Uingereza aliyekuwa...

READ MORE

Macho, Masikio kwa Polepole

Miongoni mwa makada watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walioitwa kujieleza mbele ya kikao cha Halmashauri Kuu, jina la Humphrey...

READ MORE

Rais Samia Afanya Ziara Katika Kituo cha Redio cha TBC Dar

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Desemba 21, 2021 amefanya ziara ya kutembelea Kituo...

READ MORE

Mama Lulu Diva Azikwa Muheza, Tanga

Mwili wa Mama Mzazi wa msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Lulu Abbas au Lulu Diva umezikwa nyumbani kwao...

READ MORE

Serikali Kuifuatilia Meli Iliyobeba Taka-Nyuklia

SERIKALI imesema haina taarifa za kushikiliwa kwa meli ya mizigo iliyobeba taka za nyuklia nchini Kenya ambayo iliripotiwa kuwa njiani...

READ MORE

Viongozi CCM Mbaroni kwa Tuhuma za Kumpiga Polisi

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki (52) na Katibu wa Jumuiya ya vijana UVCCM wa...

READ MORE

Ataka Kutapeli Familia ya Mtoto Aliyefufuka, Yamkuta

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema wanamshikilia Charles Christopher kwa kutaka kuitapeli familia ya Mtoto anaedaiwa kufufuka...

READ MORE

Wafungwa Watatu Wanyongwa Hadi Kufa

LEO Jumanne, Desemba 21, 2021, nchi ya Japan imewanyonga hadi kufa wafungwa watatu ikiwa ni mara ya kwanza kwa hukumu...

READ MORE

Mrembo Aliehitimu Chuo Kikuu SUA Auawa na Wasiojulikana

MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) ambaye amehitimu hivi karibuni aliyefahamika kwa jina la Magreth Mashue ameuwawa...

READ MORE

Mchungaji Mwanamke KKKT Auawa Kikatili

Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Iringa, Elizabeth Ng’unga (36) ameuawa kikatili kwa kutobolewa macho...

READ MORE

Waitara: Marufuku Kupandisha Nauli

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara ameagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) kuwachukulia hatua wamiliki na...

READ MORE

Aweso: Tumekwamua Miradi ya Maji Kichefuchefu 142 Kati ya 177

MBOZI-SONGWE WAZIRI wa Maji Mhe Jumaa Aweso akiwa mkoani Songwe ametoa taarifa maalumu juu ya mageuzi makubwa yaliofanyika katika kukwamua...

READ MORE

NEEC Yaitunuku GGML Tuzo ya Mwekezaji Bora kwa Watanzania

  BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limeitunuku Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) tuzo maalumu ya...

READ MORE

Lita 4,000 za Diesel Zaibiwa Mradi wa Reli ya SGR

JESHI la Polisi Mkoa wa Simiyu limekamata Lita 4,135 za mafuta aina ya Diesel ambazo zinadaiwa kuibiwa kutoka kwenye Mradi...

READ MORE

Yatima Walivyofanyiwa Sapraiz Kuelekea Sikukuu ya Krismasi

      WATOTO Yatima na wenye uhitaji maalum wa Kituo cha Mama wa Huruma kilichopo Madale,  Dar wamefanyiwa sapraiz...

READ MORE

🔴#LIVE: Umafia Watawala Usajili Simba, Yanga, Sure Boy Apewa Miaka Miwili Yanga | KROSI DONGO

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

🔴#LIVE: Mapya Mauaji Mchungaji KKKT, Serikali Yakwama Kumzuia Karume | Front Page…

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE