×

Habari

Bikra Mwenye Miaka 56, “Nimechoka Kuwa Singo”

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina Alvera Uwitonze mwenye ulemavu wa miguu, amefunguka na kusema amechoka kuwa single kwani sasa anaona...

READ MORE

Global Tv Yainusuru Familia Iliyotolewa Kimafia Kwenye Nyumba Arusha-Video

FAMILIA ya Fuljesi Gerivas ya Mtaa wa Sokoni 1 jijini Arusha hatimaye imerudi ndani ya nyumba yao baada ya Global...

READ MORE

Rasmi: Instagram yazimwa Urusi, wananchi wahaha

Watumiaji wa mtandao wa Instagram nchini Urusi wamepewa taarifa kuwa huduma hiyo imesitishwa kuanzia saa sita usiku Jumapili ya March...

READ MORE

Kamanda Murilo, Kamishna wa Zimamoto, Waipongeza SGA kwa Kufanikisha Kuzima Moto GSM

    KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Murilo Jumanne na Kamishna wa Jeshi la Zimamoto mkoa...

READ MORE

Kilio Kingine Kwa Askari Polisi, GSM Yafunguka Kiwanda Kuunguwa, Kitendawili Chanzo Chake..Front Page.

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Simba Yawatungua RS Berkane Kwa Mkapa -Video

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-0 RS Berkane katika mchezo wa Kombe ma Shirikisho uliochezwa leo Machi 13....

READ MORE

Breaking: Waziri TAMISEMI Awashusha Vyeo Wakuu wa Vitengo 23

#BREAKING Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Innocent Bashungwa amewashusha vyeo wakuu wa vitengo vya manunuzi na ugavi wapatao...

READ MORE

Urusi Yaishambulia Vibaya Kambi Ya Jeshi Ukraine

Takribani watu 9 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mashambulizi ya anga yaliyoendeshwa na majeshi ya Urusi leo Jumapili,...

READ MORE

Taharuki: Kiwanda cha GSM Chateketea kwa Moto Leo

    KIWANDA cha kutengeneza magodoro na mabati cha GSM kilichopo Mikocheni Jijini Dar, leo kimeteketea kwa moto na kuzua...

READ MORE

Live: Mapigano Yapamba Moto Nje ya Mji Mkuu Kyiv

 Vikosi vya Urusi vimeushambulia mji wa bandari wa Ukraine, Mariupol jana Jumamosi, huku wakaazi wakijificha katika msikiti wa kihistoria...

READ MORE

Zitto na Lema Waingia Katika Vita ya Maneno

Wanasiasa wawili maarufu, Godbless Lema ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, na Zitto Kabwe, kiongozi...

READ MORE

Mtoto akatwa nyeti Geita

Familia ya mtoto mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa wa Kitongoji cha Afya mji mdogo Katoro, imeiomba Serikali na...

READ MORE

Makonda: Nipo Tayari Kutoa Ushirikiano Kwa Polisi

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu, leo Machi 12, 2022 amezungumza na waandishi wa habari na kueleza...

READ MORE

Mikutano Vyama Vya Siasa Yanukia

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa agizo kwa Waziri wa Katiba na Sheria kuandaa kanuni zitakazoelezeka jinsi ya kufanya mikutano ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau Wa Demokrasia- Picha

RAIS Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi...

READ MORE

Walimu Wanawake Kilimanjaro Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa Kuwakumbuka Watoto Wenye Uhitaji

KATIKA kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani kitengo cha walimu wanawake mkoa wa Kilimanjaro kimeadhimisha siku hiyo kwa kuwakumbuka...

READ MORE

Imebainika! Eneo Analogombania Makonda Ni Mali Halali Ya GSM-Video

LEO Machi 12, 2022 Mwanasheria wa mmiliki wa makampuni ya GSM amezungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata linaloendelea kati...

READ MORE

Profesa:Mkinichagua Urais Nitaruhusu Bangi

PROFESA George Wajackoyah; ni mmoja wa wagombea urais nchini Kenya katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, mwaka huu ambaye ameahidi...

READ MORE

Mwanasheria Wa Gsm Afafanua- “Anayesema Mali Ni Yake Alete Vielelezo-Video

Leo Machi 12, 2022 Mwanasheria wa mmiliki wa makampuni ya GSM amezungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata linaloendelea kati...

READ MORE

Watalii Wachangia Figo kwa Watu Mbalimbali Baada ya Kushuka Mlima Kilimanjaro

    HIFADHI ya taifa ya Kilimanjaro imepokea jumla ya wageni 28 raia wa Marekani ambao walipanda mlima Kilimanjaro tar.04.03.2022...

READ MORE

Familia Yatolewa Nje Kimafia Arusha, Kisa Milioni 50 Za Kuazima

Familia ya Mr Fulujesi ya Jijini Arusha imelalamika kutolewa nje ya nyumba ya kwa kile wanaochodai kuonewa na mtu aliyewaazima...

READ MORE

Wolper Akiri Kumpiga Mtu Na Kitu Kizito

    JACQUELINE Wolper Massawe au Mama P; ni mwanamama wa Bongo Movies ambaye anakiri kuwa yeye ni mtu wa...

READ MORE

Dkt. Hashil Abdallah Aongoza Kikao Kazi Cha Wataalamu Kamati Ya Biashara

NAIBU Katibu Mkuu Viwanda na Biashara katika Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil T. Abdallah kwa niaba ya...

READ MORE

Mtoto wa Amina Chifupa: Walitaka Kunigombanisha na Familia ya Mpakanjia

ABDULRAHMAN Mohammed Mpakanjia almaarufu Rahmanino; ni mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa machachari nchini Tanzania, marehemu Amina Chifupa na mfanyabiashara marehemu Mohammed...

READ MORE

Tanzia: Rais Rupiah Banda Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Rais wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia leo Ijumaa, Machi 11, 2022 akiwa na umri wa miaka 85....

READ MORE

SGA Security Yapongezwa kwa Kuzingatia Vigezo vya Kitaaluma

    KAMPUNI kongwe ya Ulinzi hapa nchini, SGA Security, wamepongezwa na Jeshi la Polisi kwa kuzingatia vigezo vya kitaaluma...

READ MORE

Live Ukraine Updates: Lutsk na Dnipro Zashambuliwa Kwa Mara ya Kwanza

 Kumekuwa na ripoti za milipuko katika miji ya pande tofauti za nchi katika muda wa nusu saa iliyopita.  Vyombo...

READ MORE

Mayele Awapigia Tizi zito KMC, Ajiandaa Kutetema

HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa mshambuliaji wao kipenzi, Mkongomani Fiston Mayele yupo fiti na amejumuishwa katika kikosi...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukamatwa na Meno ya Tembo

JESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam kwa kus hirikiana na Kikosi Kazi cha Kuzuia na Kupambana na Ujangili...

READ MORE

Wanawake wa ZIC Arusha, Dodoma Wakamilisha Wiki ya Siku ya Wanawake Duniani

      KAMPENI ya ugawaji wa taulo za kike Kwa baadhi ya shule  kutoka Shirika la Bima Zanzibar (ZIC)...

READ MORE

EU Yakataa Kutoa Uanachama wa Haraka Kwa Ukraine

Viongozi wa Umoja wa Ulaya waliokutana nchini Ufaransa Alhamisi wamekataa kutimiza matakwa ya Ukraine ya kuingizwa haraka katika umoja huo,...

READ MORE

Yanga ya Mayele ni Noma, Ahmed Ally Akiri

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amekiri kuwa, watani wao wa jadi, Yanga SC, msimu huu...

READ MORE

Makonda, GSM Hapatoshi Adaiwa ‘Kupora’ Mali, Polisi Dar Watoa Tamko- Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

TCB Yazindua Tawi Jipya Usa River

  Tanzania Commercial Bank (TCB) yazidi kuchanja mbuga kutanua huduma zake imeendelea kuongeza jitihada kuwafikia Watanzania nchi nzima Tanzania Commercial...

READ MORE

Mwanaume Aliyepandikizwa Moyo Wa Nguruwe Afariki Dunia

Mwanaume aliyeingia kwenye rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza kupandikizwa moyo wa nguruwe, David Bennett Sr amefariki dunia akiwa na...

READ MORE

Polisi Amzaba Kofi Bosi Wake kwa Kumuuliza Mbona Hakufika Kazini 

Afisa mmoja wa Jeshi la Polisi ambaye alipewa majukumu ya kulinda shehena ya mitihani katika Kaunti ya Pokot Magharibi amemzaba...

READ MORE

Kijiji Ambacho Wakazi Hulala Kwenye Miti Licha ya Kuwa na Nyumba

WAKAZI wa Kijiji cha Malelei, kilichopo katika Kaunti ya Lamu sasa wanalazimika kulala juu ya miti licha ya kuwa na...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja

Rais Samia leo Machi 10, 2022 amezungumza na Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa...

READ MORE

Taulo za Kike 2000 Zatolewa Mashuleni Katika Matawi ya ZIC

    KATIKA Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Taasisi na Makampuni wasisitizwa kuwakumbuka watoto wakike Mashuleni na kuwapa Elimu ya...

READ MORE