×

Habari

IGP Sirro Apangua Tena Makamanda, Magiligimba Apelekwa Ilala

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro leo Juni 4,2021 amefanya mabadiliko ya Makamanda watatu wa Polisi wa...

READ MORE

Chanjo ya Covid-19 Yaruhusiwa Kuingizwa Nchini

Rais Samia Suluhu Hassan amesema leo Juni 4, 2021, balozi na taasisi za kimataifa zimeruhusiwa kuleta chanjo za #COVID19 nchini...

READ MORE

Rais Samia Apokea Mapendekezo Ya Kamati ya COVID-19 

  Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 4, 2021 amekutana na kupokea mapendekezo kutoka kwa Kamati ya COVID-19  Ikulu, Chamwino...

READ MORE

Mali Zote za Sabaya Kufaishwa? – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, amesomewa...

READ MORE

Rais Samia Amwaga Mil. 500

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameidhinisha kuingizwa kwa shilingi milioni 500 katika kila Jimbo ili...

READ MORE

Rais Samia Aagana na Aliyekuwa Balozi wa China Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 4, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi...

READ MORE

Breaking: Sabaya Ashtakiwa kwa Ujambazi – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, amesomewa...

READ MORE

Ajibu Awavuruga Yanga

MAPEMA tu kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa, tayari Kamati ya Usajili ya Yanga, inayoongozwa na kaimu wake, Eng. Hersi...

READ MORE

Breaking: Ole Sabaya Afikishwa Mahakamani – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa na...

READ MORE

Watoto 136 Watekwa Shuleni

MAOFISA wa Serikali katika Jimbo la Kaskakazini mwa Nigeria, wamethibisha kutekwa nyara kwa watoto 136 na kwamba wameanzisha mawasiliano na...

READ MORE

Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2021 Hawa Hapa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu leo Jumanne Juni Mosi,...

READ MORE

Jamaa Aliyewahi Kumshtaki Mungu Mahakamani, Yupo Hai

Seneta Ernie Chambers wa jimbo la Nebraska, Marekani mwaka 2008 alimshitaki Mungu akiiomba Mahakama itoe zuio la kudumu dhidi ya...

READ MORE

Gumzo Laibuka Nigeria Kutaka Kubadili Jina

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Nigeria kwa wiki mbili, wamekuwa wakikusanya mapendekezo ya kubadili Katiba ambapo mmoja wa raia...

READ MORE

Lori Nusura Liue Watu Ubungo – Video

LORI la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 106 DKD nusura liue watu baada ya kutokea ajali...

READ MORE

Mechi za Kimataifa za Kirafiki Kupigika Wikiendi Hii

Ukweli ni kwamba kujipima nguvu kabla ya mechi kubwa ni muhimu! Wikiendi hii inaweza kukupa ushindi mkubwa sana endapo ukifuata...

READ MORE

Hali Mbaya Kariakoo, Barabara Hazipitiki – Video

Wananchi na wafanyabiashara nyuma ya kituo cha mabasi yaendayo kasi- Gerezani, wameiomba serikali kuwasaidia kufanya maboresho ya barabara katika eneo...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Anyongwa na Mpenziwe Kisa Mapenzi

​​​​​​​MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake...

READ MORE

Simba Yaendeleza Dozi, Yainyuka Ruvu Shooting Kirumba

MABINGWA Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba, imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu dhidi ya Ruvu Shooting, katika mchezo...

READ MORE

Basata Wampongeza Diamond Kuwania Tuzo Ya BET 2021

Baraza la Taifa la Sanaa (BASATA) wametoa pongezi kwa msanii Staa wa Bongo Fleva, Nassibu Abdul, maarufu Diamond Platnumz kwa...

READ MORE

Shigongo: Wanasema Magufuli Aliwadhibiti, Nitashikilia Shilingi – Video

MBUNGE wa Buchosa (CCM) ameipongeza Serikali kwa kuhakikisha umeme unapatikana kwa asilimia kubwa, ambapo ameitaka kuendelea kuwekeza kwenye nishati ya...

READ MORE

Mchungaji Mgogo Apata Ajali, Aonywa

BAADHI ya Watanzania wamemuomba Mchungaji wa Kanisa la Baptist Tanzania, Daniel Andendekyse Mgogo kutoendelea na hulka ya kuendesha gari mwenyewe...

READ MORE

Mbaroni Kisutu Kwa Tuhuma za Kusafirisha Dawa za Kulevya

Watu watatu akiwemo Afisa Utawala wa kampuni ya ujenzi ya Makame Mwinyi Generals Supplies, Batuli Bakari (39) na fundi umeme...

READ MORE

Wanaharakati Walia Mbunge Kutolewa Nje Kisa Nguo

Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini yamekosoa hatua ya Spika wa Bunge Job Ndugai kumtoa nje Mbunge wa Momba,...

READ MORE

Majaliwa: Hakuna Makinikia Yanayouzwa Bila Kulipiwa – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema makinikia yote yanayosafirishwa yamefuata taratibu na hakuna makinikia yanayouzwa bila kulipiwa kwanza.   “Makontena yote...

READ MORE

Drake Atakomba Tuzo 18 BET?

TANGU alipodondosha mixtape yake ya So Far Gone, Drake amekuwa msanii mwenye uhakika wa ‘namba’ kwenye chati mbalimbali za muziki...

READ MORE

Bibi wa Miaka 72 Ateseka na Mimba ya Miaka 30

Bibi mmoja mwenye umri wa miaka 72 nchini Nigeria anakumbana na maisha magumu kutokana na hali yake isiyokuwa ya kawaida....

READ MORE

Rais Samia Akutana na Ujumbe Kutoka Kwa Rais Kagame

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo June 3 2021 Ikulu Dodoma amepokea ujumbe kutoka kwa...

READ MORE

Rwanda Yaahidi Kukuza Ushirikiano na Tanzania

SERIKALI ya Rwanda imesema ipo tayari kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wake na Tanzania, hasa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali....

READ MORE

Hatima ya Seth na Rugemarila Yamsubiri DPP

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, mazungumzo ya makubaliano (Plea bargain) ya kumaliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi...

READ MORE

Balozi Mulamula Awasilisha Bajeti Mambo ya Nje

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Liberata Rutageruka Mulamula (Mb), juzi aliwasilisha bungeni makadirio...

READ MORE

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Amnyonga Mwenzake

MWANAFUNZI  wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake....

READ MORE

Lukuvi Afuta Waraka Unaokataza Madiwani

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amefuta waraka namba moja  unaowaondoa madiwani kushiriki katika shughuli za...

READ MORE

Tanzia: Ismail Michuzi Afariki Dunia

  MWANAMUZIKI mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki dunia leo asubuhi Juni 3,  katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar...

READ MORE

Mbunge Akiri Kutumia Bangi: Ina faida Nyingi – Video

  MBUNGE Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu amekiri kuwa akiwa na umri mdogo aliwahi kutumia majani na Mbegu za Bangi kama...

READ MORE

Vodacom Yashiriki Upandaji Miti Kuelekea Kilele cha Siku ya Mazingira Duniani

Kampuni inayotoa huduma za simu ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Dodoma wameshirikiana kupanda mti katika eneo la...

READ MORE

Mbunge Aanika Sababu za Wanaume Kukosa Nguvu za Kiume – Video

Mbunge Viti Maalum anayewakilisha Vyuo Vikuu, Dkt. Tea Ntala Amesema Tatizo la ukosefu wa lishe Bora kwa wanaume kukosa limekuwa...

READ MORE

Tabasamu: Nimetishiwa Kuuawa Walinipigia Simu – Video

MBUNGE wa Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu amedai kutishiwa kuuawa na watu wasiowajua baada ya kuchangia bungeni kuwa kazi ya kuweka...

READ MORE

Mtoto wa Komba Ashushiwa Kipigo na Polisi, Chanzo Mkewe – Video

MTOTO wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM) na mwimbaji maaarufu wa nyimbo za siasa nchini Tanzania, hayati Kapteni John...

READ MORE

Mita za Maji za Malipo ya Kabla, Wateja Kuhamishiana Uniti za Maji

WIZARA ya Maji na Umwagiliaji inakusudia kuanza kufunga mita za maji za malipo ya kabla kwa ajili ya majaribio kati...

READ MORE

Manji Mikononi mwa Takukuru, Sababu Zatajwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imethibitisha kuwa inamshikilia mfanyabiashara Yusuph Manji kwa mahojiano. Manji, ambaye aliondoka nchini...

READ MORE