MTI wenye matunda ndiyo hupigwa mawe; ni msamiati ambao umekuwa ukijirudia kwenye maisha ya msanii Diamond au Mondi. Awali Mondi...
READ MOREALIYEKUWA Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu amewasili nchini Kenya akitokea Ubelgiji anapoishi kwa sasa, ambapo anatarajiwa kuzindua...
READ MOREWADAU wa usafirishaji katika bandari ya Dar es Salaam ukiwemo Uwakilishi wa Vyama vya usafirishaji na Chama cha Wakala wa...
READ MOREMkurugenzi wa mashtaka nchini (DPP) amewafutia shtaka la utakatishaji fedha wakurugenzi wa kampuni ya kuagiza vinywaji vikali nchini, Bevco Limited...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewataka wakazi wa mkoa huo kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa...
READ MOREWANAJESHI kadhaa wa Jeshi la Ulinzi Kenya (KDF) wanahofiwa kupoteza maisha baada ya helikopta ya kijeshi kupata ajali katika Milima...
READ MOREMAMLAKA ya mkoa wa Gauteng inasema kwamba wamefanya uchunguzi wa kina kubaini kwamba hakuna hospitali ya umma au ya kibinafsi...
READ MOREKOCHA wa viungo wa Simba, Adel Zrane, amemkingia kifua kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Mzimbabwe, Perfect Chikwende kwa kuweka wazi...
READ MOREWATUMISHI wa umma nchini, hususani walimu, wamekumbushwa umuhimu wa kukopa kwa malengo, sambamba na kuepuka mikopo kandamizi, huku wakielezwa...
READ MOREMWANAMKE mmoja ambaye alilipa mahari kubwa ili aolewe, lakini matokeo yake akaambulia kifo kwa mwanaume aliyemuoa Kuna jamaa kwa jina...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 23, 2021 amendoka nchini Msumbiji mara baada ya...
READ MOREWafanyakazi watatu wa Taasisi ya fedha ya Letshego maarufu kama Faidika Limited, wamefikishwa katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu...
READ MOREMahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imewahukumu raia kumi na wanne kutoka nchini Malawi kulipa faini ya shilingi milioni moja kwa...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali...
READ MORECUBA imesema kuwa dozi tatu za chanjo yake dhidi ya virusi vya corona kwa jina Abdala imethibitishwa kuwa na ufanisi...
READ MOREALLY Mohamed ambaye ni meneja wa winga wa Dodoma Jiji FC, Dickson Ambundo, amefunguka kuwa mteja wake huyo atakuwa mchezaji...
READ MORERAIS Samia Suluhu, leo Juni 22, 2021 amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya wawili kama ifuatavyo ⚫️ Kwa UPDATES zote,...
READ MOREZIMEBAKI alama tatu ndivyo walivyotoka uwanjani mashabiki wa Simba jana Juni 22. kwenye uwanja wa Mkapa baada ya kuipiga Mbeya...
READ MOREBenki ya NMB, imekuwa ya kwanza nchini kuzindua Klabu za Afya NMB Healthcare Club, mtandao unaowapa wadau wa Sekta...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mkurugenzi wa Jiji...
READ MORERais Samia akiagana na Viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango, katika Uwanja wa Ndege...
READ MOREKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, imemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida, Kenani Kihongosi...
READ MOREWAZIRI wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amesema Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF halina mipangilio inayoeleweka kimichezo...
READ MOREMkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amewafutia mashtaka na kuwaachia huru washtakiwa 14 waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka 41 yakiwemo ya...
READ MOREBUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Juni 22, 2021 limeikubali na kuipitisha bajeti ya mapato na matumizi ya...
READ MOREWaziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 22, 2021 amesema mfumo wa ulipaji Kodi ya Majengo kwa...
READ MOREMAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam imetengua uamuzi wa kamati ya maadili ya mawakili wa kumfutia moja...
READ MORE KATIKA hali ya kushangaza, Gari moja la kusambaza mafuta limepata ajali na kutumbukia kwenye nyumba ya mama mmoja huko...
READ MOREUNAAMBIWA nahodha wa Simba, John Bocco, amepambana kadiri ya uwezo wake kuhakikisha anambakiza kikosini hapo beki wa kushoto wa timu...
READ MOREUbora wa Benki ya NMB kiutendaji miaka ya hivikaribuni na mafanikio yake makubwa kifedha mwakajana ni miongoni mwa matokea ya...
READ MOREWATU saba wamefariki katika ajali iliyohusisha magari matatu iliyotokea eneo na Nanenane mkoani Morogoro usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni...
READ MOREAbdallah Mohamed Abdallah, mfanyabiashara na mkazi wa Morogoro vijijini ameshida zawadi ya gari mpya aina ya Toyota Fortuner yenye thamani...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makallaleo June 21 amewaapisha Wakuu wapya wa Wilaya za Kigamboni na Ubungo...
READ MORERAIS Samia Suluhu Hassan, leo Juni 21, 2021 amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Jamhuri ya Watu...
READ MOREKATIKA hali isiyo ya kawaida na kushangaza kiasi cha kusababisha sintofahamu ya kitabibu, mwanafunzi mwenye umri wa miaka minane anayesoma...
READ MORERASMI sasa, Tanzania itapeleka timu nne kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika (CAF) na kombe la shirikisho kwa msimu wa...
READ MORENickson Simon maarufu Nikk wa Pili ameapa mbele ya Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge kuwa mkuu wa wilaya...
READ MORENAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Godfrey Kasekenya, amempongeza Mbunge wa Mbulu Vijijini Flatei Massay, kwa kutopiga sarakasi Bungeni,...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumatatu,Juni 21 2021 awaapisha viongozi wawili, hafla hiyo imefanyika...
READ MORE